mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Inasemekana alikuwa mbwii akateleza. Usiwe mwepesi wa kuamini ya kusikia.Huu ni uonevu mkubwa..
Kama kuna kiongozi anayewatuma hao watu.
Hafanyi kitu kizuri.
waziri wa mambo ya ndani.
JITAFAKARI.
kama serikali haihusiki na wewe umekaa kimya BASI HAUFAI maana hatuko salama
Inasemekana alikuwa mbwii akateleza. Usiwe mwepesi wa kuamini ya kusikia.View attachment 1473326
Kweli? We mtalaamu wa sauti? Kwa hiyo sio lijualikali?Hyo sauti mbona kama ya kutengeneza?
Una ushahidi na maneno yako ama uropoka tu kama mwehu?Inasemekana alikuwa mbwii akateleza. Usiwe mwepesi wa kuamini ya kusikia.View attachment 1473326
Kweli? We mtalaamu wa sauti? Kwa hiyo sio lijualikali?
Kwa hiyo huyo mbunge wa Chadema humsikii na kumuona anasema nini?Una ushahidi na maneno yako ama uropoka tu kama mwehu?
Angalia mdomo kwa umakini.Sauti haiendani na matendo ya mzungumzaji.
Labda useme walirekodi vibaya.
Na wengine wanasema ni kumtisha Lissu asije. Maana CHADEMA haiwezi kumhakikishia usalama wake.Wengine wanasema ni ugomvi wa kimapenzi tusubiri uchunguzi
Angalia mdomo kwa umakini.