Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iwe kokote kule, ni ishakuwa Biashara. Na ndio hukoooo... Rushwa huanzia.S
Kwani ccm fomu ni bure shekhe
Hii akaunti kama imedukuliwa hiviNi utaratibu kaka wala hakuna ubabaishaji .. Na Lissu ndio chaguo la chama
Hoja ya zamani kweliMBOWE NI CHAGUO LA WACHAGA NA NDIYO WENYE CHAMA CHAO MTAWAAMBIA NINI?
Lakini Assad apumzike. Hapo tutaelewana.Sanduku la kura litazungumza....hyo ndo demokrasia.
Nyie lukeni wee, kwa macho yakawiada ukizungumza Mpinzani wakweli hapo CDM hata alieishia darasa la kwanza atakuambia ni Lisu.CCM ndiyo wanampenda Lissu awe mwenyekiti ndiyo cha kushangaza ,hata mkutano wa lissu umekuwa financed na Pastor Kinyambe Msigwa na waliohudhuria ni wanasisisemu waliovalia mavazi ya CDM.
Kila mwana CCM anamtaka Mbowe.Ukiona Mpinzani anakuunga mkono jua unaingia CHAKA ,kwanini haujiulizi CCM hawamtaki MBOWE wanamtaka TAL? Na kwanini Pastor Kinyambe Msigwa ndiyo a-finance mkutano wa Lissu? Na kwanini waliodhuria wengi pale kwqenye mkutano wa Lissu wengi walikuwa SISIEMU waliovalia mavazi ya CDM? Mimi nashangga jinsi sisisemu wanavyompigania Lissu awe mwenyekiti.
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika anazungumza na Waandishi wa habari muda huu, Makao Makuu ya Chama hicho, Mikocheni Dar es salaam.
Fuatilia live mazungumzo yake hapa
Katibu Mkuu anatangaza kuwa kutakuwa na uchaguzi wa Chama na Mabaraza kwa ngazi ya Taifa utakaofanyika Januari 2025.
- CHADEMA yatoa tamko la Uchaguzi wa Kitaifa kwa mwaka 2024
Fomu za kugombea ngazi ya Taifa zinapatikana katika ofisi za makao makuu ya Chama (Mikocheni), makao makuu ya Mabaraza, ofisi za Kanda, ofisi za Chama za mikoa na wilaya kuanzia tarehe 17 Desemba 2024. Mwisho wa kurejesha fomu ni Januari 5, 2025, saa 10 jioni katika ofisi za Makao Makuu ya Chama hicho, Mikocheni Dar es salaam au katika ofisi za Kanda anayotoka mgombea husika.
Wanachama wanaogombea katika mabaraza ya vijana, wanawake na wazee wanatakiwa kurejesha fomu hizo kwenye ofisi za makao makuu ya mabaraza ya Chama zilizoko mtaa wa Ufipa, Kinondoni, Dar es Salaam, au katika ofisi ya kanda anayotoka mgombea husika.
Gharama ya fomu itategemea nafasi ambayo mwanachama anagombea, na mgombea atatakiwa kuambatanisha risiti ya malipo ya fomu katika fomu yake. Fedha hiyo ilipwe kupitia akaunti ya chama au kwa kila baraza ambako mwanachama anatokea mgombea, na namba za akaunti zimeandikwa kwenye kila fomu ya mgombea.
Pia, Soma:
• Tundu Lissu: Nimewasilisha kusudio la kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA
Tangazo lote limeambatishwa hapo chini👇👇
Chadema haina uongozi wa kupewa kwa vimemo kama CCMCDM acheni ubabaishaji na kupoteza muda bure, Lisu apewe Uenyekiti mambo yasiwe mengi
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika anazungumza na Waandishi wa habari muda huu, Makao Makuu ya Chama hicho, Mikocheni Dar es salaam.
Fuatilia live mazungumzo yake hapa
Katibu Mkuu anatangaza kuwa kutakuwa na uchaguzi wa Chama na Mabaraza kwa ngazi ya Taifa utakaofanyika Januari 2025.
- CHADEMA yatoa tamko la Uchaguzi wa Kitaifa kwa mwaka 2024
Fomu za kugombea ngazi ya Taifa zinapatikana katika ofisi za makao makuu ya Chama (Mikocheni), makao makuu ya Mabaraza, ofisi za Kanda, ofisi za Chama za mikoa na wilaya kuanzia tarehe 17 Desemba 2024. Mwisho wa kurejesha fomu ni Januari 5, 2025, saa 10 jioni katika ofisi za Makao Makuu ya Chama hicho, Mikocheni Dar es salaam au katika ofisi za Kanda anayotoka mgombea husika.
Wanachama wanaogombea katika mabaraza ya vijana, wanawake na wazee wanatakiwa kurejesha fomu hizo kwenye ofisi za makao makuu ya mabaraza ya Chama zilizoko mtaa wa Ufipa, Kinondoni, Dar es Salaam, au katika ofisi ya kanda anayotoka mgombea husika.
Gharama ya fomu itategemea nafasi ambayo mwanachama anagombea, na mgombea atatakiwa kuambatanisha risiti ya malipo ya fomu katika fomu yake. Fedha hiyo ilipwe kupitia akaunti ya chama au kwa kila baraza ambako mwanachama anatokea mgombea, na namba za akaunti zimeandikwa kwenye kila fomu ya mgombea.
Pia, Soma:
• Tundu Lissu: Nimewasilisha kusudio la kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA
Tangazo lote limeambatishwa hapo chini👇👇
Sasa Ruzuku ya Mil 100 ni ulaji gani?