CHADEMA watoa tamko zito, John Mnyika aanika gharama za fomu za kugombea na kutoa mwongozo

CCM wanaumizwa sana na mambo yanavyoenda kimpangilio na kimkakati CHADEMA .. Hapa wale chawa kunguni na viroboto wao wamehazana kama wote
 
Siasa za Jino kwa Jino ndio zinafaa kwa sasa Nchini Tanzania, huyu Mama kaanza kuuwa na kupoteza Siasa za Kistaarabu za nini?!

Kumbukeni Wafanyabiashara wa Kariakoo walipofunga Maduka Serikali ya CCM yote ilihamia huko unajua ni kwanini?!

Lissu atafanya Siasa zihamie Mabarabarani ule Uwanja wa Mnazimmoja tunaenda kuweka kijiwe pale Occupy na kuipressure Serikali ya huyu Bibie tunataka REFORMS kwenye mfumo wetu wa Uchaguzi pamoja na KATIBA ILIYO BORA.
 
CCM ndiyo wanampenda Lissu awe mwenyekiti ndiyo cha kushangaza ,hata mkutano wa lissu umekuwa financed na Pastor Kinyambe Msigwa na waliohudhuria ni wanasisisemu waliovalia mavazi ya CDM.
Nyie lukeni wee, kwa macho yakawiada ukizungumza Mpinzani wakweli hapo CDM hata alieishia darasa la kwanza atakuambia ni Lisu.
 
Kila mwana CCM anamtaka Mbowe.
 
CCM kwasasa wanafurahia hiyo Strategy ya Lissu kwamba NO REFORMS NO ELECTIONS hawajui kwamba tukianza Pressure kwa mwezi mmoja kila siku Mabarabarani mpaka Stock zao za Mabomu ya Machozi ziishe halafu waje Mezani tufanye REFORMS😁😄

Hakuna Lugha nyingine.
 
Lissu alikuwa na kiherehere cha nini kutangaza nia kabla chama hakijatangaza uchaguzi?
 
CHADEMA ni Chama Bora na mambo yake yako kisomi zaidi.
 
Kama fomu zinaanza kutolewa kesho, Lissu ya kwake aliipata wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…