Pre GE2025 CHADEMA ya Lissu ijikite kwenye kuangazia kero za wananchi ipate uungwaji mkono dhidi ya CCM

Pre GE2025 CHADEMA ya Lissu ijikite kwenye kuangazia kero za wananchi ipate uungwaji mkono dhidi ya CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Katika vitu ambavyo vimeifanya CCM isurvive, au kupata ahueni ya kisiasa ni kwa sababu CHADEMA ya uongozi uliopita haikuchagua kuisagia kunguni CCM kisawasawa kwa wananchi juu ya kero zinazowasumbua wananchi. Wao walibaki kuongelea vitu secondary kama vile demokrasia na kuacha mambo ya maana yanayohusu uhai wao. Ninatambua kuwa Demokrasia ni muhimu lakini siyo kipaumbele kwa wananchi kama vile msosi mezani, maji etc.

Mimi naamini, kama CHADEMA itageuza KERO za WANANCHI kuwa ndiyo TALKING POINTS ZAO kila viongozi wao waongeapo na vyombo vya habari, na kila waongeapo na wananchi , basi uungwaji wao mkono utakuwa mkubwa sana. Kuna haya mambo lazima CHADEMA hususan Mwenyekiti wa sasa wa CHADEMA lazima ajikite kuyazungumzia.

1. MAJI
Amini usiamini shida ya Maji Dar es salaam ni kubwa mno. Tena miezi hii ya karibuni mpaka leo kuna mgao mkali mno na wa kutisha wa maji. Cha kushangaza hii hali hujitokeza kila mwaka lakini hakuna chama cha siasa kilichotokea na kuibeba hii kuwa ni Agenda ya kuitandikia CCM. Yaani kwa jinsi wananchi wanavyoteseka, wanavyoumia, iwapo CHADEMA itawaonyesha wananchi kuwa inajua hilo tatizo, na kwamba CCM imefeli, na kwamba wananchi waiunge Mkono CHADEMA katika kudemand reforms za msingi ili huko mbeleni tuweze kupata serikali zilizo accountable kwa wananchi, basi wananchi wataiunga mkono CHADEMA kwa kasi na kwa wingi mno.

2. AJIRA KWA VIJANA
Leo vijana ambao wanamaliza vyuo na ngazi mbalimbali za elimu wanasaga lami, hali ya ajira ni mbaya mno. Haijakuwepo sauti ya kutosha ya CHADEMA kuwagonganisha vijana na CCM ili waichukie CCM. CHADEMA inaweza kupata uungwaji mkono kutoka ktk kundi la vijana iwapo viongozi wakuu wa CHADEMA watakuwa wanakosoa mara kwa mara kushindwa kwa serikali ya CCM kupunguza hilo tatizo then wao kuonyesha mbadala wa mikakati. Wawaambie vijana kuwa mbadala huo wa mikakati hautawezekana chini ya katiba hii na mifumo hii ya uchaguzi, kwa hiyo vijana waiunge mkono CHADEMA ktk azma ya kufanya Reforms nchini ili hatimaye iwezekane kupatikana leadership ya kuweka mbele maslahi yao.

3. UFISADI NA UPIGAJI
Hii ni agenda mama, kamwe CHADEMA wasiitupe agenda hii. Ni lazima kuirudiarudia agenda hii kwenye masikio ya wananchi. Kipindi cha uongozi wa CHADEMA uliopita, hii agenda waliitupa, wakaachana nayo. Hiyo ilikuwa ni mistake kubwa. Lazima CHADEMA hii ya sasa ya Lissu iendelee kuzodoa mifisadi, kusagia kunguni mbele ya umma. Yaani hakuna kuacha mafisadi wakapumua, na pia hakuna kuacha kuuzungumzia upigaji wa kutisha.

4. ISHU YA HUDUMA ZA AFYA NA GHARAMA ZAKE.
Kipindi cha CHADEMA ya Dr Slaa, huyu mkuu wa mkoa wa Dar aliyewaambia wanawake wasio na hela wakazalie nyumbani isingeweza kupita hivihivi. Kwanza CCM ilikuwa ikiogopa kutoa kauli za hovyo namna hii. Hata hivyo hoja yangu ni kwamba gharama za huduma za afya zinaongezeka sana huku umasikini wa watu ukiendelea kuongezeka. Hii Agenda, haswa huduma za akina mama wanaojifungua ktk mazingira magumu ktk hospitali za serikali, inapaswa kuzungumziwa pia mara kwa mara. Hii itawavutia wananchi na kujikuta wanasimama upande wa CHADEMA.

5. KUNA ISHU YA MAKATO KIBAO KUPITIA SIMU

Kuna hii kodi ya majengo kupitia malipo ya LUKU, yaani mpangaji analazimishwa kulipa kodi ya jengo linalomilikiwa na mwenye nyumba kila mwezi mpangaji anunuapo umeme. Kuna kodi serikali inakata kwa mtu pindi amtumiapo let say bibi yake kodi kijijini. Huu ni wizi, hupaswi kukata kodi au ushuru kwenye hela ya mtu anayomtumia bibi yake akanunue dawa au vyovyote vile. CHADEMA waitumie hii agenda kuwasagia kunguni kwa wananchi. Tena wapige za utosini haswa mpaka umma uone CCM haifai.

MWISHO
Ninatambua kuwa Sehemu kubwa ya Maongezi ya Viongozi wa CHADEMA yanahusu terms za kisiasa kama vile "Democracy", "Katiba mpya", "Uchaguzi huru na haki", Nataka niwaeleze tu kuwa japo hayo mambo ni muhimu, Yataeleweka zaidi kwa wananchi iwapo yatafungamanishwa na vitu vya uhai wao kama vile maji safi na salama ya kunywa, kana vile ajira za vijana, kama vile upatikanaji dawa na huduma nzuri hospitalini etc.

Kwa hiyo nategemea sasa kumsikia Lissu na Heche na makada wa CHADEMA wafanye adjustment kwenye maongezi yao pindi waongeapo kuhusu mambo ya nchi na siasa zake, yaani pamoja na mademokrasia yao wayapiganiayo lazima wajustify hayo kwa kugusa na kuisagia kunguni CCM kwa kuefeli kwenye social na economic fronts.
 
Kabisa. Maana hata kidogo walichonacho Ma CCM yanawanyang'anya. Mfano kuita watu interview elfu 28000 afu nafasi 184 ni kupotezeana rasilimali fedha.
Katika vitu ambavyo vimeifanya CCM isurvive, au kupata ahueni ya kisiasa ni kwa sababu CHADEMA ya uongozi uliopita haikuchagua kuisagia kunguni CCM kisawasawa kwa wananchi juu ya kero zinazowasumbua wananchi. Wao walibaki kuongelea vitu secondary kama vile demokrasia na kuacha mambo ya maana yanayohusu uhai wao. Ninatambua kuwa Demokrasia ni muhimu lakini siyo kipaumbele kwa wananchi kama vile msosi mezani, maji etc.

Mimi naamini, kama CHADEMA itageuza KERO za WANANCHI kuwa ndiyo TALKING POINTS ZAO kila viongozi wao waongeapo na vyombo vya habari, kila waongeapo na wananchi , basi uungwaji wao mkono utakuwa mkubwa sana. Kuna haya mambo lazima CHADEMA hususan Mwenyekiti wa sasa wa CHADEMA lazima ajikite kuyazungumzia.

1. MAJI
Amini usiamini shida ya Maji Dar es salaam ni kubwa mno. Tena miezi hii ya karibuni mpaka leo kuna mgao mkali mno na wa kutisha wa maji. Cha kushangaza hii hali hujitokeza kila mwaka lakini hakuna chama cha siasa kilichotokea na kuibeba hii kuwa ni Agenda ya kuitandikia CCM. Yaani kwa jinsi wananchi wanavyoteseka, wanavyoumia, iwapo CHADEMA itawaonyesha wananchi kuwa inajua hilo tatizo, na kwamba CCM imefeli, na kwamba wananchi waiunge Mkono CHADEMA katika kudemand reforms za msingi ili huko mbeleni tuweze kupata serikali zilizo accountable kwa wananchi, basi wananchi wataiunga mkono CHADEMA kwa kasi na kwa wingi mno.

2. AJIRA KWA VIJANA
Leo vijana ambao wanamaliza vyuo na ngazi mbalimbali za elimu wanasaga lami, hali ya ajira ni mbaya mno. Haijakuwepo sauti ya kutosha ya CHADEMA kuwagonganisha vijana na CCM ili waichukie CCM. CHADEMA inaweza kupata uungwani mkono kutoka ktk kundi la vijana iwapo viongozi wakuu wa CHADEMA watakapokuwa wanakosoa mara kwa mara kushindwa kwa serikali ya CCM kupunguza hilo tatizo na pia kwa kuonyesha mbadala wa mikakati. Lakini mbadala huo wa mikakati hautawezekana chini ya katiba hii na mifumo hii ya uchaguzi, kwa hiyo Vijana waiunge mkono CHADEMA ktk azma ya kufanya Reforms nchini ili iwezekane kupatikana leadership ya kuweka mbele maslahi yao.

3. UFISADI NA UPIGAJI
Hii ni agenda mama, kamwe CHADEMA wasiitupe agenda hii. Ni lazima kuirudiarudia agenda hii kwenye masikio ya wananchi. Kipindi cha uongozi wa CHADEMA uliopita, hii agenda waliitupa, wakaachana nayo. Hiyo ilikuwa ni mistake kubwa. Lazima CHADEMA hii ya sasa ya Lissu iendelee kuizodoa mifisadi, kuisagia kunguni mbele ya umma. Yaani hakuna kuacha mafisadi wakapumua, na pia hakuna kuacha kuuzungumzia upigaji wa kutisha.

4. ISHU YA HUDUMA ZA AFYA NA GHARAMA ZAKE.
Kipindi cha CHADEMA ya Dr Slaa, huyu mkuu wa mkoa wa Dar aliyewaambia wanawake wasio na hela wakazalie nyumbani isingeweza kupita hivihivi. Kwanza CCM ilikuwa ikiogopa kutoa kauli za hovyo namna hii. Hata hivyo hoja yangu ni kwamba gharama za huduma za afya zinaongezeka sana huku umasikini wa watu ukiendelea kuongezeka. Hii Agenda, haswa huduma za akina mama wanaojifungua ktk mazingira magumu ktk ofisi za serikali, inapaswa kuzungumziwa pia mara kwa mara. Hii itawavutia wananchi na kujikuta wanasimama upande wa CHADEMA.

MWISHO
Ninatambua kuwa Sehemu kubwa ya Maongezi ya Viongozi wa CHADEMA yanahusu terms za kisiasa kama vile "Democracy", "Katiba mpya", "Uchaguzi huru na haki", Nataka niwaeleze tu kuwa japo hayo mambo ni muhimu, Yataeleweka zaidi kwa wananchi iwapo yatafungamanishwa na vitu vya uhai wao kama vile maji safi na salama ya kunywa, kana vile ajira za vijana, kama vile upatikanaji dawa na huduma nzuri hospitalini etc.

Kwa hiyo nategemea sasa kumsikia Lissu na Heche na makada wa CHADEMA wafanye adjustment kwenye maongezi yao pindi waongeapo kuhusu mambo ya nchi na siasa zake, yaani pamoja na mademokrasia yao wayapiganiayo lazima wajustify hayo kwa kugusa na kuisagia kunguni CCM kwa kuefeli kwenye social na economic fronts.
 
Katika vitu ambavyo vimeifanya CCM isurvive, au kupata ahueni ya kisiasa ni kwa sababu CHADEMA ya uongozi uliopita haikuchagua kuisagia kunguni CCM kisawasawa kwa wananchi juu ya kero zinazowasumbua wananchi. Wao walibaki kuongelea vitu secondary kama vile demokrasia na kuacha mambo ya maana yanayohusu uhai wao. Ninatambua kuwa Demokrasia ni muhimu lakini siyo kipaumbele kwa wananchi kama vile msosi mezani, maji etc.

Mimi naamini, kama CHADEMA itageuza KERO za WANANCHI kuwa ndiyo TALKING POINTS ZAO kila viongozi wao waongeapo na vyombo vya habari, kila waongeapo na wananchi , basi uungwaji wao mkono utakuwa mkubwa sana. Kuna haya mambo lazima CHADEMA hususan Mwenyekiti wa sasa wa CHADEMA lazima ajikite kuyazungumzia.

1. MAJI
Amini usiamini shida ya Maji Dar es salaam ni kubwa mno. Tena miezi hii ya karibuni mpaka leo kuna mgao mkali mno na wa kutisha wa maji. Cha kushangaza hii hali hujitokeza kila mwaka lakini hakuna chama cha siasa kilichotokea na kuibeba hii kuwa ni Agenda ya kuitandikia CCM. Yaani kwa jinsi wananchi wanavyoteseka, wanavyoumia, iwapo CHADEMA itawaonyesha wananchi kuwa inajua hilo tatizo, na kwamba CCM imefeli, na kwamba wananchi waiunge Mkono CHADEMA katika kudemand reforms za msingi ili huko mbeleni tuweze kupata serikali zilizo accountable kwa wananchi, basi wananchi wataiunga mkono CHADEMA kwa kasi na kwa wingi mno.

2. AJIRA KWA VIJANA
Leo vijana ambao wanamaliza vyuo na ngazi mbalimbali za elimu wanasaga lami, hali ya ajira ni mbaya mno. Haijakuwepo sauti ya kutosha ya CHADEMA kuwagonganisha vijana na CCM ili waichukie CCM. CHADEMA inaweza kupata uungwani mkono kutoka ktk kundi la vijana iwapo viongozi wakuu wa CHADEMA watakapokuwa wanakosoa mara kwa mara kushindwa kwa serikali ya CCM kupunguza hilo tatizo na pia kwa kuonyesha mbadala wa mikakati. Lakini mbadala huo wa mikakati hautawezekana chini ya katiba hii na mifumo hii ya uchaguzi, kwa hiyo Vijana waiunge mkono CHADEMA ktk azma ya kufanya Reforms nchini ili iwezekane kupatikana leadership ya kuweka mbele maslahi yao.

3. UFISADI NA UPIGAJI
Hii ni agenda mama, kamwe CHADEMA wasiitupe agenda hii. Ni lazima kuirudiarudia agenda hii kwenye masikio ya wananchi. Kipindi cha uongozi wa CHADEMA uliopita, hii agenda waliitupa, wakaachana nayo. Hiyo ilikuwa ni mistake kubwa. Lazima CHADEMA hii ya sasa ya Lissu iendelee kuizodoa mifisadi, kuisagia kunguni mbele ya umma. Yaani hakuna kuacha mafisadi wakapumua, na pia hakuna kuacha kuuzungumzia upigaji wa kutisha.

4. ISHU YA HUDUMA ZA AFYA NA GHARAMA ZAKE.
Kipindi cha CHADEMA ya Dr Slaa, huyu mkuu wa mkoa wa Dar aliyewaambia wanawake wasio na hela wakazalie nyumbani isingeweza kupita hivihivi. Kwanza CCM ilikuwa ikiogopa kutoa kauli za hovyo namna hii. Hata hivyo hoja yangu ni kwamba gharama za huduma za afya zinaongezeka sana huku umasikini wa watu ukiendelea kuongezeka. Hii Agenda, haswa huduma za akina mama wanaojifungua ktk mazingira magumu ktk ofisi za serikali, inapaswa kuzungumziwa pia mara kwa mara. Hii itawavutia wananchi na kujikuta wanasimama upande wa CHADEMA.

5. KUNA ISHU YA MAKATO KIBAO KUPITIA SIMU

Kuna hii kodi ya majengo kupitia malipo ya LUKU, yaani mpangaji analazimishwa kulipa kodi ya jengo linalomilikiwa na mwenye nyumba kila mwezi mpangaji awekapo umeme. Kuna kodi serikali inakata kwa mtu pindi amtumiapo let say bibi yake kodi kijijini. Huu ni wizi, hupaswi kukata kodi au ushuru kwenye hela ya mtu anayomtumia bibi yake akanunue dawa au vyovyote vile. CHADEMA waitumie hii agenda kuwasagia kunguni kwa wananchi. Tena wapige za utosini haswa mpaka umma uone CCM haifai.

MWISHO
Ninatambua kuwa Sehemu kubwa ya Maongezi ya Viongozi wa CHADEMA yanahusu terms za kisiasa kama vile "Democracy", "Katiba mpya", "Uchaguzi huru na haki", Nataka niwaeleze tu kuwa japo hayo mambo ni muhimu, Yataeleweka zaidi kwa wananchi iwapo yatafungamanishwa na vitu vya uhai wao kama vile maji safi na salama ya kunywa, kana vile ajira za vijana, kama vile upatikanaji dawa na huduma nzuri hospitalini etc.

Kwa hiyo nategemea sasa kumsikia Lissu na Heche na makada wa CHADEMA wafanye adjustment kwenye maongezi yao pindi waongeapo kuhusu mambo ya nchi na siasa zake, yaani pamoja na mademokrasia yao wayapiganiayo lazima wajustify hayo kwa kugusa na kuisagia kunguni CCM kwa kuefeli kwenye social na economic fronts.
Ndiyo maana hata maandamano yalikuwa yanafeli

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Katika vitu ambavyo vimeifanya CCM isurvive, au kupata ahueni ya kisiasa ni kwa sababu CHADEMA ya uongozi uliopita haikuchagua kuisagia kunguni CCM kisawasawa kwa wananchi juu ya kero zinazowasumbua wananchi. Wao walibaki kuongelea vitu secondary kama vile demokrasia na kuacha mambo ya maana yanayohusu uhai wao. Ninatambua kuwa Demokrasia ni muhimu lakini siyo kipaumbele kwa wananchi kama vile msosi mezani, maji etc.

Mimi naamini, kama CHADEMA itageuza KERO za WANANCHI kuwa ndiyo TALKING POINTS ZAO kila viongozi wao waongeapo na vyombo vya habari, kila waongeapo na wananchi , basi uungwaji wao mkono utakuwa mkubwa sana. Kuna haya mambo lazima CHADEMA hususan Mwenyekiti wa sasa wa CHADEMA lazima ajikite kuyazungumzia.

1. MAJI
Amini usiamini shida ya Maji Dar es salaam ni kubwa mno. Tena miezi hii ya karibuni mpaka leo kuna mgao mkali mno na wa kutisha wa maji. Cha kushangaza hii hali hujitokeza kila mwaka lakini hakuna chama cha siasa kilichotokea na kuibeba hii kuwa ni Agenda ya kuitandikia CCM. Yaani kwa jinsi wananchi wanavyoteseka, wanavyoumia, iwapo CHADEMA itawaonyesha wananchi kuwa inajua hilo tatizo, na kwamba CCM imefeli, na kwamba wananchi waiunge Mkono CHADEMA katika kudemand reforms za msingi ili huko mbeleni tuweze kupata serikali zilizo accountable kwa wananchi, basi wananchi wataiunga mkono CHADEMA kwa kasi na kwa wingi mno.

2. AJIRA KWA VIJANA
Leo vijana ambao wanamaliza vyuo na ngazi mbalimbali za elimu wanasaga lami, hali ya ajira ni mbaya mno. Haijakuwepo sauti ya kutosha ya CHADEMA kuwagonganisha vijana na CCM ili waichukie CCM. CHADEMA inaweza kupata uungwani mkono kutoka ktk kundi la vijana iwapo viongozi wakuu wa CHADEMA watakapokuwa wanakosoa mara kwa mara kushindwa kwa serikali ya CCM kupunguza hilo tatizo na pia kwa kuonyesha mbadala wa mikakati. Lakini mbadala huo wa mikakati hautawezekana chini ya katiba hii na mifumo hii ya uchaguzi, kwa hiyo Vijana waiunge mkono CHADEMA ktk azma ya kufanya Reforms nchini ili iwezekane kupatikana leadership ya kuweka mbele maslahi yao.

3. UFISADI NA UPIGAJI
Hii ni agenda mama, kamwe CHADEMA wasiitupe agenda hii. Ni lazima kuirudiarudia agenda hii kwenye masikio ya wananchi. Kipindi cha uongozi wa CHADEMA uliopita, hii agenda waliitupa, wakaachana nayo. Hiyo ilikuwa ni mistake kubwa. Lazima CHADEMA hii ya sasa ya Lissu iendelee kuizodoa mifisadi, kuisagia kunguni mbele ya umma. Yaani hakuna kuacha mafisadi wakapumua, na pia hakuna kuacha kuuzungumzia upigaji wa kutisha.

4. ISHU YA HUDUMA ZA AFYA NA GHARAMA ZAKE.
Kipindi cha CHADEMA ya Dr Slaa, huyu mkuu wa mkoa wa Dar aliyewaambia wanawake wasio na hela wakazalie nyumbani isingeweza kupita hivihivi. Kwanza CCM ilikuwa ikiogopa kutoa kauli za hovyo namna hii. Hata hivyo hoja yangu ni kwamba gharama za huduma za afya zinaongezeka sana huku umasikini wa watu ukiendelea kuongezeka. Hii Agenda, haswa huduma za akina mama wanaojifungua ktk mazingira magumu ktk ofisi za serikali, inapaswa kuzungumziwa pia mara kwa mara. Hii itawavutia wananchi na kujikuta wanasimama upande wa CHADEMA.

5. KUNA ISHU YA MAKATO KIBAO KUPITIA SIMU

Kuna hii kodi ya majengo kupitia malipo ya LUKU, yaani mpangaji analazimishwa kulipa kodi ya jengo linalomilikiwa na mwenye nyumba kila mwezi mpangaji awekapo umeme. Kuna kodi serikali inakata kwa mtu pindi amtumiapo let say bibi yake kodi kijijini. Huu ni wizi, hupaswi kukata kodi au ushuru kwenye hela ya mtu anayomtumia bibi yake akanunue dawa au vyovyote vile. CHADEMA waitumie hii agenda kuwasagia kunguni kwa wananchi. Tena wapige za utosini haswa mpaka umma uone CCM haifai.

MWISHO
Ninatambua kuwa Sehemu kubwa ya Maongezi ya Viongozi wa CHADEMA yanahusu terms za kisiasa kama vile "Democracy", "Katiba mpya", "Uchaguzi huru na haki", Nataka niwaeleze tu kuwa japo hayo mambo ni muhimu, Yataeleweka zaidi kwa wananchi iwapo yatafungamanishwa na vitu vya uhai wao kama vile maji safi na salama ya kunywa, kana vile ajira za vijana, kama vile upatikanaji dawa na huduma nzuri hospitalini etc.

Kwa hiyo nategemea sasa kumsikia Lissu na Heche na makada wa CHADEMA wafanye adjustment kwenye maongezi yao pindi waongeapo kuhusu mambo ya nchi na siasa zake, yaani pamoja na mademokrasia yao wayapiganiayo lazima wajustify hayo kwa kugusa na kuisagia kunguni CCM kwa kuefeli kwenye social na economic fronts.
Gentleman,
utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025 umefanyika kikamilifu kwenye maeneo yote uliyoyataja kwa maneno na vitendo,

na kwehivyo,
hakuna pa kuwadanganya wananchi 🐒
 
Ndiyo maana hata maandamano yalikuwa yanafeli

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Exactly.

CHADEMA iliacha kuzungumzia mambo yanayohusu maisha ya watu ikapoteza connection kwao.

Kama Lissu na Heche wataanza kuvizungumzia hivi vitu mara kwa mara, ngoma itakuwa ngumu kwa CCM.
 
Gentleman,
utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025 umefanyika kikamilifu kwenye maeneo yote uliyoyataja kwa maneno na vitendo,

na kwehivyo,
hakuna pa kuwadanganya wananchi 🐒

Ilani ya CCM ina almost mambo yaleyale toka mwaka 1965
 
Ilani ya CCM ina almost mambo yaleyale toka mwaka 1965
aliyoeleza muungwana hapo juu hakuna hata moja halijatekelezwa na CCM gentleman..

Lipi jipya kati ya hayo au nalofikiri wewe?

au ni yapi waTz wanayahitaji hayatimizwa na CCM?au una mbwelambwela tu 🐒
 
aliyoeleza muungwana hapo juu hakuna hata moja halijatekelezwa na CCM gentleman..

Lipi jipya kati ya hayo au nalofikiri wewe?

au ni yapi waTz wanayahitaji hayatimizwa na CCM?au una mbwelambwela tu 🐒

Kuna migao ya kutisha ya maji Dar es salaam hivi tunavyozungumza.

Hizo Ilani za CCM tangu enzi hizo mbona zimeshindwa kusaidia kudeal na hili tatizo?
 
Huyo Lisu unayemsema wa kuzungumzia kero za wananchi ni yupi, ni huyu huyu Tundu, au yule kaka yake? Kama ni tundu basi nakuhakikishia utasubiri sana. Mtu mwenye umimi wa kiwango cha juu kiasi hicho hawezi kukumbuka kero za wananchi.
 
Katika vitu ambavyo vimeifanya CCM isurvive, au kupata ahueni ya kisiasa ni kwa sababu CHADEMA ya uongozi uliopita haikuchagua kuisagia kunguni CCM kisawasawa kwa wananchi juu ya kero zinazowasumbua wananchi. Wao walibaki kuongelea vitu secondary kama vile demokrasia na kuacha mambo ya maana yanayohusu uhai wao. Ninatambua kuwa Demokrasia ni muhimu lakini siyo kipaumbele kwa wananchi kama vile msosi mezani, maji etc.

Mimi naamini, kama CHADEMA itageuza KERO za WANANCHI kuwa ndiyo TALKING POINTS ZAO kila viongozi wao waongeapo na vyombo vya habari, kila waongeapo na wananchi , basi uungwaji wao mkono utakuwa mkubwa sana. Kuna haya mambo lazima CHADEMA hususan Mwenyekiti wa sasa wa CHADEMA lazima ajikite kuyazungumzia.

1. MAJI
Amini usiamini shida ya Maji Dar es salaam ni kubwa mno. Tena miezi hii ya karibuni mpaka leo kuna mgao mkali mno na wa kutisha wa maji. Cha kushangaza hii hali hujitokeza kila mwaka lakini hakuna chama cha siasa kilichotokea na kuibeba hii kuwa ni Agenda ya kuitandikia CCM. Yaani kwa jinsi wananchi wanavyoteseka, wanavyoumia, iwapo CHADEMA itawaonyesha wananchi kuwa inajua hilo tatizo, na kwamba CCM imefeli, na kwamba wananchi waiunge Mkono CHADEMA katika kudemand reforms za msingi ili huko mbeleni tuweze kupata serikali zilizo accountable kwa wananchi, basi wananchi wataiunga mkono CHADEMA kwa kasi na kwa wingi mno.

2. AJIRA KWA VIJANA
Leo vijana ambao wanamaliza vyuo na ngazi mbalimbali za elimu wanasaga lami, hali ya ajira ni mbaya mno. Haijakuwepo sauti ya kutosha ya CHADEMA kuwagonganisha vijana na CCM ili waichukie CCM. CHADEMA inaweza kupata uungwani mkono kutoka ktk kundi la vijana iwapo viongozi wakuu wa CHADEMA watakapokuwa wanakosoa mara kwa mara kushindwa kwa serikali ya CCM kupunguza hilo tatizo na pia kwa kuonyesha mbadala wa mikakati. Lakini mbadala huo wa mikakati hautawezekana chini ya katiba hii na mifumo hii ya uchaguzi, kwa hiyo Vijana waiunge mkono CHADEMA ktk azma ya kufanya Reforms nchini ili iwezekane kupatikana leadership ya kuweka mbele maslahi yao.

3. UFISADI NA UPIGAJI
Hii ni agenda mama, kamwe CHADEMA wasiitupe agenda hii. Ni lazima kuirudiarudia agenda hii kwenye masikio ya wananchi. Kipindi cha uongozi wa CHADEMA uliopita, hii agenda waliitupa, wakaachana nayo. Hiyo ilikuwa ni mistake kubwa. Lazima CHADEMA hii ya sasa ya Lissu iendelee kuizodoa mifisadi, kuisagia kunguni mbele ya umma. Yaani hakuna kuacha mafisadi wakapumua, na pia hakuna kuacha kuuzungumzia upigaji wa kutisha.

4. ISHU YA HUDUMA ZA AFYA NA GHARAMA ZAKE.
Kipindi cha CHADEMA ya Dr Slaa, huyu mkuu wa mkoa wa Dar aliyewaambia wanawake wasio na hela wakazalie nyumbani isingeweza kupita hivihivi. Kwanza CCM ilikuwa ikiogopa kutoa kauli za hovyo namna hii. Hata hivyo hoja yangu ni kwamba gharama za huduma za afya zinaongezeka sana huku umasikini wa watu ukiendelea kuongezeka. Hii Agenda, haswa huduma za akina mama wanaojifungua ktk mazingira magumu ktk ofisi za serikali, inapaswa kuzungumziwa pia mara kwa mara. Hii itawavutia wananchi na kujikuta wanasimama upande wa CHADEMA.

5. KUNA ISHU YA MAKATO KIBAO KUPITIA SIMU

Kuna hii kodi ya majengo kupitia malipo ya LUKU, yaani mpangaji analazimishwa kulipa kodi ya jengo linalomilikiwa na mwenye nyumba kila mwezi mpangaji awekapo umeme. Kuna kodi serikali inakata kwa mtu pindi amtumiapo let say bibi yake kodi kijijini. Huu ni wizi, hupaswi kukata kodi au ushuru kwenye hela ya mtu anayomtumia bibi yake akanunue dawa au vyovyote vile. CHADEMA waitumie hii agenda kuwasagia kunguni kwa wananchi. Tena wapige za utosini haswa mpaka umma uone CCM haifai.

MWISHO
Ninatambua kuwa Sehemu kubwa ya Maongezi ya Viongozi wa CHADEMA yanahusu terms za kisiasa kama vile "Democracy", "Katiba mpya", "Uchaguzi huru na haki", Nataka niwaeleze tu kuwa japo hayo mambo ni muhimu, Yataeleweka zaidi kwa wananchi iwapo yatafungamanishwa na vitu vya uhai wao kama vile maji safi na salama ya kunywa, kana vile ajira za vijana, kama vile upatikanaji dawa na huduma nzuri hospitalini etc.

Kwa hiyo nategemea sasa kumsikia Lissu na Heche na makada wa CHADEMA wafanye adjustment kwenye maongezi yao pindi waongeapo kuhusu mambo ya nchi na siasa zake, yaani pamoja na mademokrasia yao wayapiganiayo lazima wajustify hayo kwa kugusa na kuisagia kunguni CCM kwa kuefeli kwenye social na economic fronts.
Jitu kutwa nzima linaasama mdomo Kama mamba na lile tumbo lake kutukana na kubagaza wenzie unafikiri Ana sera gani zaidi ya kuimba katiba mpya?? CDM imepotea kuruhusu wahuni kukiongoza
 
MWISHO
Ninatambua kuwa Sehemu kubwa ya Maongezi ya Viongozi wa CHADEMA yanahusu terms za kisiasa kama vile "Democracy", "Katiba mpya", "Uchaguzi huru na haki", Nataka niwaeleze tu kuwa japo hayo mambo ni muhimu, Yataeleweka zaidi kwa wananchi iwapo yatafungamanishwa na vitu vya uhai wao kama vile maji safi na salama ya kunywa, kana vile ajira za vijana, kama vile upatikanaji dawa na huduma nzuri hospitalini etc.
Sasa tupo kwenye ukurasa mmoja! Lissu hajui political economy, hajui techno-econo-social development!!! Lissu ni mtu wa uanasheria wa kiharakati na si mwanaharakati wa kisheria...! Kama wapinga mlete hapa ajieleze mambo haya kama hatakimbilia ChatGPT kutafuta majibu ya kubumba!!! Ajipange Ndugu yetu Antipasu!!!
 
Ushauri wa hovyo kuwahi kutolewa Karne hii. Chadema ilete maji na ajira? How?
 
Katika vitu ambavyo vimeifanya CCM isurvive, au kupata ahueni ya kisiasa ni kwa sababu CHADEMA ya uongozi uliopita haikuchagua kuisagia kunguni CCM kisawasawa kwa wananchi juu ya kero zinazowasumbua wananchi. Wao walibaki kuongelea vitu secondary kama vile demokrasia na kuacha mambo ya maana yanayohusu uhai wao. Ninatambua kuwa Demokrasia ni muhimu lakini siyo kipaumbele kwa wananchi kama vile msosi mezani, maji etc.

Mimi naamini, kama CHADEMA itageuza KERO za WANANCHI kuwa ndiyo TALKING POINTS ZAO kila viongozi wao waongeapo na vyombo vya habari, kila waongeapo na wananchi , basi uungwaji wao mkono utakuwa mkubwa sana. Kuna haya mambo lazima CHADEMA hususan Mwenyekiti wa sasa wa CHADEMA lazima ajikite kuyazungumzia.

1. MAJI
Amini usiamini shida ya Maji Dar es salaam ni kubwa mno. Tena miezi hii ya karibuni mpaka leo kuna mgao mkali mno na wa kutisha wa maji. Cha kushangaza hii hali hujitokeza kila mwaka lakini hakuna chama cha siasa kilichotokea na kuibeba hii kuwa ni Agenda ya kuitandikia CCM. Yaani kwa jinsi wananchi wanavyoteseka, wanavyoumia, iwapo CHADEMA itawaonyesha wananchi kuwa inajua hilo tatizo, na kwamba CCM imefeli, na kwamba wananchi waiunge Mkono CHADEMA katika kudemand reforms za msingi ili huko mbeleni tuweze kupata serikali zilizo accountable kwa wananchi, basi wananchi wataiunga mkono CHADEMA kwa kasi na kwa wingi mno.

2. AJIRA KWA VIJANA
Leo vijana ambao wanamaliza vyuo na ngazi mbalimbali za elimu wanasaga lami, hali ya ajira ni mbaya mno. Haijakuwepo sauti ya kutosha ya CHADEMA kuwagonganisha vijana na CCM ili waichukie CCM. CHADEMA inaweza kupata uungwani mkono kutoka ktk kundi la vijana iwapo viongozi wakuu wa CHADEMA watakapokuwa wanakosoa mara kwa mara kushindwa kwa serikali ya CCM kupunguza hilo tatizo na pia kwa kuonyesha mbadala wa mikakati. Lakini mbadala huo wa mikakati hautawezekana chini ya katiba hii na mifumo hii ya uchaguzi, kwa hiyo Vijana waiunge mkono CHADEMA ktk azma ya kufanya Reforms nchini ili iwezekane kupatikana leadership ya kuweka mbele maslahi yao.

3. UFISADI NA UPIGAJI
Hii ni agenda mama, kamwe CHADEMA wasiitupe agenda hii. Ni lazima kuirudiarudia agenda hii kwenye masikio ya wananchi. Kipindi cha uongozi wa CHADEMA uliopita, hii agenda waliitupa, wakaachana nayo. Hiyo ilikuwa ni mistake kubwa. Lazima CHADEMA hii ya sasa ya Lissu iendelee kuizodoa mifisadi, kuisagia kunguni mbele ya umma. Yaani hakuna kuacha mafisadi wakapumua, na pia hakuna kuacha kuuzungumzia upigaji wa kutisha.

4. ISHU YA HUDUMA ZA AFYA NA GHARAMA ZAKE.
Kipindi cha CHADEMA ya Dr Slaa, huyu mkuu wa mkoa wa Dar aliyewaambia wanawake wasio na hela wakazalie nyumbani isingeweza kupita hivihivi. Kwanza CCM ilikuwa ikiogopa kutoa kauli za hovyo namna hii. Hata hivyo hoja yangu ni kwamba gharama za huduma za afya zinaongezeka sana huku umasikini wa watu ukiendelea kuongezeka. Hii Agenda, haswa huduma za akina mama wanaojifungua ktk mazingira magumu ktk ofisi za serikali, inapaswa kuzungumziwa pia mara kwa mara. Hii itawavutia wananchi na kujikuta wanasimama upande wa CHADEMA.

5. KUNA ISHU YA MAKATO KIBAO KUPITIA SIMU

Kuna hii kodi ya majengo kupitia malipo ya LUKU, yaani mpangaji analazimishwa kulipa kodi ya jengo linalomilikiwa na mwenye nyumba kila mwezi mpangaji awekapo umeme. Kuna kodi serikali inakata kwa mtu pindi amtumiapo let say bibi yake kodi kijijini. Huu ni wizi, hupaswi kukata kodi au ushuru kwenye hela ya mtu anayomtumia bibi yake akanunue dawa au vyovyote vile. CHADEMA waitumie hii agenda kuwasagia kunguni kwa wananchi. Tena wapige za utosini haswa mpaka umma uone CCM haifai.

MWISHO
Ninatambua kuwa Sehemu kubwa ya Maongezi ya Viongozi wa CHADEMA yanahusu terms za kisiasa kama vile "Democracy", "Katiba mpya", "Uchaguzi huru na haki", Nataka niwaeleze tu kuwa japo hayo mambo ni muhimu, Yataeleweka zaidi kwa wananchi iwapo yatafungamanishwa na vitu vya uhai wao kama vile maji safi na salama ya kunywa, kana vile ajira za vijana, kama vile upatikanaji dawa na huduma nzuri hospitalini etc.

Kwa hiyo nategemea sasa kumsikia Lissu na Heche na makada wa CHADEMA wafanye adjustment kwenye maongezi yao pindi waongeapo kuhusu mambo ya nchi na siasa zake, yaani pamoja na mademokrasia yao wayapiganiayo lazima wajustify hayo kwa kugusa na kuisagia kunguni CCM kwa kuefeli kwenye social na economic fronts.
Kero mpaka usemewe na mtu? Kwani we huna mdomo. Na huko shiule ulienda kufanya nini kama hujiwezi kujielezea?
 
Sasa tupo kwenye ukurasa mmoja! Lissu hajui political economy, hajui techno-econo-social development!!! Lissu ni mtu wa uanasheria wa kiharakati na si mwanaharakati wa kisheria...! Kama wapinga mlete hapa ajieleze mambo haya kama hatakimbilia ChatGPT kutafuta majibu ya kubumba!!! Ajipange Ndugu yetu Antipasu!!!

Ngoja tuone atajitune vipi. But I wish siasa zake pamoja na kudai mambo kama vile "tume huru", "katiba mpya" etc, ziwe pia ni kuibananisha CCM kwenye masuala yanayogusa maisha ya kila siku ya watu kama haya niliyoyaandika.
 
I wish
Nchi masikini viongozi wanaangalia matumbo yao tu, ndio maana hawana mda wa kuongelea hayo
Sio kwamba hawajui shida za wananchi La hasha wanazijua sana na wanaishi nasi ila njaa zao tu
Leo mjamzito ananyanyaswa kisa gloves
Kwa wenzetu ingekuwa issue kubwa sana, kelele mpaka mtu anaondolewa
Haya huwa tunayaona sana, wao wanasubiri hela ziingie tu
 
Katika vitu ambavyo vimeifanya CCM isurvive, au kupata ahueni ya kisiasa ni kwa sababu CHADEMA ya uongozi uliopita haikuchagua kuisagia kunguni CCM kisawasawa kwa wananchi juu ya kero zinazowasumbua wananchi. Wao walibaki kuongelea vitu secondary kama vile demokrasia na kuacha mambo ya maana yanayohusu uhai wao. Ninatambua kuwa Demokrasia ni muhimu lakini siyo kipaumbele kwa wananchi kama vile msosi mezani, maji etc.

Mimi naamini, kama CHADEMA itageuza KERO za WANANCHI kuwa ndiyo TALKING POINTS ZAO kila viongozi wao waongeapo na vyombo vya habari, kila waongeapo na wananchi , basi uungwaji wao mkono utakuwa mkubwa sana. Kuna haya mambo lazima CHADEMA hususan Mwenyekiti wa sasa wa CHADEMA lazima ajikite kuyazungumzia.

1. MAJI
Amini usiamini shida ya Maji Dar es salaam ni kubwa mno. Tena miezi hii ya karibuni mpaka leo kuna mgao mkali mno na wa kutisha wa maji. Cha kushangaza hii hali hujitokeza kila mwaka lakini hakuna chama cha siasa kilichotokea na kuibeba hii kuwa ni Agenda ya kuitandikia CCM. Yaani kwa jinsi wananchi wanavyoteseka, wanavyoumia, iwapo CHADEMA itawaonyesha wananchi kuwa inajua hilo tatizo, na kwamba CCM imefeli, na kwamba wananchi waiunge Mkono CHADEMA katika kudemand reforms za msingi ili huko mbeleni tuweze kupata serikali zilizo accountable kwa wananchi, basi wananchi wataiunga mkono CHADEMA kwa kasi na kwa wingi mno.

2. AJIRA KWA VIJANA
Leo vijana ambao wanamaliza vyuo na ngazi mbalimbali za elimu wanasaga lami, hali ya ajira ni mbaya mno. Haijakuwepo sauti ya kutosha ya CHADEMA kuwagonganisha vijana na CCM ili waichukie CCM. CHADEMA inaweza kupata uungwani mkono kutoka ktk kundi la vijana iwapo viongozi wakuu wa CHADEMA watakapokuwa wanakosoa mara kwa mara kushindwa kwa serikali ya CCM kupunguza hilo tatizo na pia kwa kuonyesha mbadala wa mikakati. Lakini mbadala huo wa mikakati hautawezekana chini ya katiba hii na mifumo hii ya uchaguzi, kwa hiyo Vijana waiunge mkono CHADEMA ktk azma ya kufanya Reforms nchini ili iwezekane kupatikana leadership ya kuweka mbele maslahi yao.

3. UFISADI NA UPIGAJI
Hii ni agenda mama, kamwe CHADEMA wasiitupe agenda hii. Ni lazima kuirudiarudia agenda hii kwenye masikio ya wananchi. Kipindi cha uongozi wa CHADEMA uliopita, hii agenda waliitupa, wakaachana nayo. Hiyo ilikuwa ni mistake kubwa. Lazima CHADEMA hii ya sasa ya Lissu iendelee kuizodoa mifisadi, kuisagia kunguni mbele ya umma. Yaani hakuna kuacha mafisadi wakapumua, na pia hakuna kuacha kuuzungumzia upigaji wa kutisha.

4. ISHU YA HUDUMA ZA AFYA NA GHARAMA ZAKE.
Kipindi cha CHADEMA ya Dr Slaa, huyu mkuu wa mkoa wa Dar aliyewaambia wanawake wasio na hela wakazalie nyumbani isingeweza kupita hivihivi. Kwanza CCM ilikuwa ikiogopa kutoa kauli za hovyo namna hii. Hata hivyo hoja yangu ni kwamba gharama za huduma za afya zinaongezeka sana huku umasikini wa watu ukiendelea kuongezeka. Hii Agenda, haswa huduma za akina mama wanaojifungua ktk mazingira magumu ktk ofisi za serikali, inapaswa kuzungumziwa pia mara kwa mara. Hii itawavutia wananchi na kujikuta wanasimama upande wa CHADEMA.

5. KUNA ISHU YA MAKATO KIBAO KUPITIA SIMU

Kuna hii kodi ya majengo kupitia malipo ya LUKU, yaani mpangaji analazimishwa kulipa kodi ya jengo linalomilikiwa na mwenye nyumba kila mwezi mpangaji awekapo umeme. Kuna kodi serikali inakata kwa mtu pindi amtumiapo let say bibi yake kodi kijijini. Huu ni wizi, hupaswi kukata kodi au ushuru kwenye hela ya mtu anayomtumia bibi yake akanunue dawa au vyovyote vile. CHADEMA waitumie hii agenda kuwasagia kunguni kwa wananchi. Tena wapige za utosini haswa mpaka umma uone CCM haifai.

MWISHO
Ninatambua kuwa Sehemu kubwa ya Maongezi ya Viongozi wa CHADEMA yanahusu terms za kisiasa kama vile "Democracy", "Katiba mpya", "Uchaguzi huru na haki", Nataka niwaeleze tu kuwa japo hayo mambo ni muhimu, Yataeleweka zaidi kwa wananchi iwapo yatafungamanishwa na vitu vya uhai wao kama vile maji safi na salama ya kunywa, kana vile ajira za vijana, kama vile upatikanaji dawa na huduma nzuri hospitalini etc.

Kwa hiyo nategemea sasa kumsikia Lissu na Heche na makada wa CHADEMA wafanye adjustment kwenye maongezi yao pindi waongeapo kuhusu mambo ya nchi na siasa zake, yaani pamoja na mademokrasia yao wayapiganiayo lazima wajustify hayo kwa kugusa na kuisagia kunguni CCM kwa kuefeli kwenye social na economic fronts.
🌤️🙋‍♂️💭✍️🎯👏👌👍👊🤝🙏 💐🎁🗼🎖️🛡️
 
Gentleman,
utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025 umefanyika kikamilifu kwenye maeneo yote uliyoyataja kwa maneno na vitendo,

na kwehivyo,
hakuna pa kuwadanganya wananchi 🐒
🤣 🤣 🤣
 
Ilani ya CCM ina almost mambo yaleyale toka mwaka 1965
Mkuu sio kweli, ilani ya CCM nimepitiwa na kuhuishwa mara nyingi na ni moja ya ilani nzuri sana.

Yaani ukiisoma vizuri unajiuliza shida iko wapi??

Laiti wangeisimamia na kuitekeleza kama ilivyo nakuambia upinzani usinge pata cha kusema.

Wanachama wa CCM pia anatakiwa kupaza sauti kushinikiza viongozi wao kutekeleza ilani yao vizuri.

Kuhusu ilani, CCM ina ilani nzuri sana barani afrika. itafute uisome sio dhambi.
 
Back
Top Bottom