Pre GE2025 CHADEMA ya Lissu ijikite kwenye kuangazia kero za wananchi ipate uungwaji mkono dhidi ya CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwao hao hakuna mkweli hata mmoja,au japo mwenye uthubutu wa kusema ukweki
 
watafanya hivyo. kuna akili nyingi pale. Hata Heche amaekuwa akizitaja hizo hoja nimemsikia mara kadhaa
 
watafanya hivyo. kuna akili nyingi pale. Hata Heche amaekuwa akizitaja hizo hoja nimemsikia mara kadhaa

One good thing kuhusu uchaguzi huu wa Lissu plus watu ambao Lissu amewateua ni watu wenye akili, bila shaka wanatambua kinachowafanya wananchi watick.
 


Lisu akitaka kupata kura nyingi sana ni rahisi mno .

Kama yupo humu ndani anitafute in box nimpe mikakati na mipango 10 ya kupata kura nyingi sana na hata akisema no reform no Election basi atapata uungwaji mkono mkubwa sana.
Samia hakubaliki Mbingu ni na duniani kwa watenda haki na wapinga uonevu.


Samia alitumiwa na wapelelezi wa kiuchumi kuwa kama mvumbuzi na mtangulizi wa Ukoloni wa kiuchumi kupitia Filamu ya Royal tours . Wazungu wamebaini kuwa Tanzania ni Tajiri kukaribiana na Kongo .

Sasa nchi nivamiwa na mafisadi na matapeli kwa jina la uwekezaji huku maisha ya watanzania wengi ikiwa ni mbaya sana ikiwemo vyombo vya dola kama polisi na Magereza na hata migambo wanaotumika kusaidia ushindi wa wahalifu wa kisiasa ndani ya CCM hawalipwi na serikali ya CCM.

Lakini pia ni Lazima Lisu awe mkomavu sasa na ajue kuwa Anaelekea Ikulu kuwatumikia watanzania wote na kuwa mfano mzuri wa utawala bora unaofuata misingi ya kisheria .

Jambo muhimu ni kutangaza hadharani kuwa anajua kuwa waliompiga Risasi walikua wametumwa lakini Mungu amemponya na kumpa nguvu na ujasiri zaidi wa kupigania haki .
Lisu atangaze Msamaha kwa Waliomtendea uovu huo . Amwachie Mungu .

Siku Lisu alitakapotangaza msamaha kwa watesi wake ndio Siku Mungu au Karma itakapo lipa kisasi na kumpeleka juu ya watesi wake na hakika Lisu ataiangusha CCM .

Msamaha kwa watesi wake ni Msamaha kwa JPM na wale waliokubali kutengeneza njama za kumpiga Risasi . Mpaka sasa kwa yanayotokea ya kasi ya mudafupi wa waliokua wasaidizi wa JPM kujimilikisha mali nyingi na kuuza rasilimali za nchi na njama za kuagiza sukari nje kifisadi tena kwa kampuni isiyozalisha sukari . Kuna walakini sana kuwa mauaji na utekaji uliokuwepo wakati wa JPM wafadhili wake ndio waliopo leo au ilikua ni agenda ya ndani na nje ya vyama vya kisiasa visivyopenda mtu mwenye kusimamia rasilimali za nchi .

Lisu kwa sasa aachane na siasa za kumkejeli Magufuli bali sasa aonyeshe mafanikio yake ambayo yanagusa maisha ya watu kama kusimamia dawa hospitalini ,nidhamu ya kasi ,watumishi hewa , miundo mbinu . Haya yanawahusu wananchi na siyo wanasiasa wa upinzani .

Hapo ni lazima uyataje utakayo unachukua kwa JPM ,na kwa Samia pia lakini yale mabaya utakabiliana nayo vipi kisheria bila kutoa mwanya kwa vyombo vya dola kutumia nguvu au kuteka na mara nyingine kuua .
Lakini ni lazima Lisu aonyeshe Udhaifu wa serikali ya Samia ukilinganisha na ya JPM katika kulinda maslahi ya nchi na amani ya nchi kupitia ushindani wa kibiashara unaotoa mianya ya kuua mashirika ya ndani na kuleta bidhaa feki na sukari ya kiwango cha chini.

Lakini pia umuhimu wa kuwatumia wawekezaji wa ndani ya nchi zaidi na kuwawajibisha bila kujali urafiki na ukanda jambo lililopelekea Samia kuamua kuwapa wageni kila shirika lenye kuzalisha na kuajiri watu kwa ndugu zake wa Oman ambao kimsingi ni matajiri wakubwa na watanzania hasa Watanganyika wengi ni maskini sana . Wamebaki kuwa machawa na wasindikizaji tu na kujenga mifumo ya ubinafsi usiojali wale wasio na ajira wala ardhi ya kumiliki . Kila mahali thamani ya ardhi imepanda na wenye uwezo wa kuinunua ni waarabu na wachina na mafisadi walioko kwenye utawala .

Lisu kwa miaka mitano amemsema sana JPM kwa ubaya tu jambo linalowatumiza sana wananchi wengi sana sana kwa sababu nchi huo sio ya wana CCM na Chadema tu na tu chama tudogo tudogo bali ni ya watu mil. 65 kati yao wenye umri zaidi ya miaka 18 ni zaidi ya mili 35 kati yao zaidi ya mil. 28 wanaokumbuka sana JPM . Hao wanasiasa wachache tena wengi wakiwa ni mlafisdi na wachache wasiozidi mil .4 ndio wanaielewa ubaya wa JPM .

Kwa hali hiyo ili kuigawa CCM ni lazima Lisu amsamehe JPM . Ameshalipa kisasi kwa kuwashinda majangili yaliyokuwa yanatumika kuhujumu wapinzani mpaka wanatekwa . Sasa ni wakati wa kumtangazia msamaha . Jambo hili litampa heshima kubwa sana ndani ya nchi hii lakini pia viongozi na waumini wa dini zote watamuunga mkono maana wanajua nguvu ya msamaha .


Nimefuatilia sana kauli za Musiba nikagundua kuwa ndani ya CCM kampeni zitakua ngumu sana . Hivi mtu kama Bashiru Ali atasimama aseme nini kuhusu Ufisadi na udalali wa ardhi na rasilimali za umma unaofanywa na Samia !?
Pole pole atasema nini kumpigia kampeni Samia aliyeuza nusu ya ardhi ya Tanganyika kwa miaka mitatu tu. Ardhi imekwenda yote na misitu yote na bandari zote .

CCM hawatapata kura zaidi ya mili. 6 kati ya watanzania zaidi ya mil.28 wenye uwezo wa kupiga kura .

Pia kumkashifu JPM ni kuwaumiza watu wa ukanda ya Ziwa wanaoamini mpaka kesho kuwa JPM kilikua ni chuma kweli kweli.
Hata mikoa ya Kusini pamoja na kunyang'anywa korosho lakini wamachinga wengi wanakumbuka JPM kwa kuwaondolea unyanyaswaji kwenye biashara zao.

Vyombo vya dola hasa Jeshi la wananchi na Polisi hata Magereza na JKT wanajua kuwa JPM alikua ni mzalendo aliyekomesha ugaidi na uingiaji na uingizwaji holela wa bidhaa na hata fedha haramu kutoka nje na kutoa mianya ya ufadhili wa magaidi na wauza madawa ya kulevya .

Sera nzuri zitampa ushindi mkubwa sana Lisu dhidi ya yule Rais Mgeni toka nchi jirani ambaye ni dalali wa mabeberu akishirikiana na bilionea Dakawa Kiwewe .
 
kwa kweli Mungu atusaidie tupate wa kutuamsha. Tumelala mno! kama mazombie


Ni kweli kabisa mfano leo kuna Marais wamekuja kukaa Tanganyika wakati Tanganyika haina Rais aliyewakilisha .

Yaani marais wageni wamekuja kujadili mambo yao hapa Tanganyika bila kuwa na mwenyeji .

Kikao cha marais wageni peke yao ndani ya Tanganyika , Wanajadili nini kwenye nchi yetu kama sio kuihujumu .

Huu ujinga tusiukubali kulazimishwa na akina Wasira na machawa wao.

Hivi kweli CCM inashindwa kutumetea Majaliwa Kasimu Majaliwa Mtanganyika Mwenzetu na mzalendo wa kuipgania nchi yetu inatumetea Rais mgani aliyekua anakaimu tu kwa Muda kutolana na Rais wetu kufia madarakani ?
Hapana ni Lazima CCM tuiadhibu vibaya sana mwaka huu . Ndio wataheshimu watu na kujua uchungu wanaoupata wakulima na wafugaji wanaoporwa ardhi zao na kupewa waarabu na wachina na wazungu na pesa kuishia kwenye rushwa za uchaguzi ili nchi iwe kama Kongo . Mabeberu kazi yao ni kutoa pesa kwa majeshi ya Kimataifa kwenda kulinda uporaji wao huku wakiwaletea Wananchi maskini wasio na elimu wala ajira silaha za kuuana na kumalizana .

Yote ni kwasababu ya kukosa uzalendo kwenye nchi zao na kuthamini wageni kama anavyofanya Samia kwa waarabu ,wazungu na wachina kwa sababu ya pesa za kampeni .
Aishiye zake 2025 hatutaki tena mafisadi kuuza nchi kwa sababu ya kuiweka CCM madarakani bila kujali vijana mamilio wasio na ajira .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…