Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Acha bangeNaona Chadema wamerudia ule utaratibu wao " mkongwe" wa kuchomeka watu wao kwenye taasisi mbalimbali za kijamii
Nadhani sasa hata vyuo vikuu siasa itarejea kwa kasi.
Hongereni CCT kwa uchaguzi wa haki na amani.
Nawasalimu kwa jina la JMT!