Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Iweke utakavyo, lakini madaraka ya urais kwa mwenyekiti wa ccm ndio nguzo halisi ya ccm. Siku vyeo hivi vinatenganishwa, ccm itaungana na KANU ya Kenya, UNIP ya Zambia nk kwenye historia.Kwa mujibu wa utaratibu wa CCM Rais ni lazima awe mwenyekiti wa chama.
Unakuwa Rais kwanza.