Precision au?Sasa mbona wametulipia faini ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Precision au?Sasa mbona wametulipia faini ?
Mnapoteza pesa bure! Watz hawana mpango na nyinyi wameshawachoka na uongo wenu!
Precision au?
Subiri October ndiyo utaelewa watz. Nakuomba ukapige kura mkuu October.Kuna tofauti ya wanaccm maslahi na wananchi. Jitahidi kutenganisha hayo makundi mawili tafadhali.
Kumbe?Acha precision, sema hata Fly Emirates lakini habari ndio hiyo.
Hapa sasa sawa!View attachment 1394118
Hii ndiyo Taarifa mpya kwa sasa , Tuendelee kutega sikio kwa Taarifa zaidi .
Mungu ibariki Chadema
Subiri October ndiyo utaelewa watz. Nakuomba ukapige kura mkuu October.
Hapa sasa sawa!
Hata mimi nawaunga mkono, tumieni rudhuku na michango ya wanachama kwa mbinu za kisasa, cyo kuandamana, kuitisha mikutano isiyo halali, na kutukana serikari au kufanya vurugu ktk majeshi.
Nawaunga mkono chadema kwa mbinu hizi100%.
Siasa safi ndio hizi.
View attachment 1394118
Hii ndiyo Taarifa mpya kwa sasa , Tuendelee kutega sikio kwa Taarifa zaidi .
Mungu ibariki Chadema
Tatizo kwa hii jamuhuri ilipofikia kwa sasa ukikutwa na hyo kalamu au nembo yoyote ya opposition unabandikwa kesi ya uhujumu uchumi fasta.Zinagawiwa bure kila mahali , ukiona kijana yeyote ana fulana au kofia iliyoandikwa M4C mwambie akupatie
View attachment 1394118
Hii ndiyo Taarifa mpya kwa sasa , Tuendelee kutega sikio kwa Taarifa zaidi .
Mungu ibariki Chadema
Tunga sentensi kuhusu picha hii ya octoba 2015 Masaki Jijini Dar es salaamSubiri October ndiyo utaelewa watz. Nakuomba ukapige kura mkuu October.
Lengo letu ni kushawishi ummaMaoni yangu nikwamba peni na mask hazitaleta Tija kumshawishi Magu kwaajili ya Tume Huru.
Kama viongozi wanahisi Hiyo ndio njia na mbinu yakisasa kuna shida mahala kwenye namna yetu yakufikiri.
Sent using Jamii Forums mobile app