CHADEMA yaanza kutumia mbinu za kisasa kudai Tume Huru ya Uchaguzi. Kalamu na Mask zenye maneno "TUME HURU" zaanza kusambazwa mitaani

CHADEMA yaanza kutumia mbinu za kisasa kudai Tume Huru ya Uchaguzi. Kalamu na Mask zenye maneno "TUME HURU" zaanza kusambazwa mitaani

Sihitaji kusaidiwa na nyie.,.Sana Sana Mimi nawahurumia tu mnavyopata taabu na hicho kinachoitwa tume huru...yaani ni wazi inaelekea hamna strategies kabisa namna ya kufikisha ujumbe kwa wananchi...yaani mwananchi anawauliza mfafanue eti jibu lenu ni Tume ya warioba ambayo eti ilipita Kila Kijiji...you guys you are not serious at all...mmesikia kwa mabeberu kuhusu Tume huru na nyie mnaimba hivyo hivyo...mwanachi anawauliza more details nyie mnajibu kwa kejeli eti wewe mwanachi unatoka Kijiji gani.,yaani hamna hata diplomacy ...hoja zenu ni za kibabe kibabe...yaani happy jf ilikuwa nafasi ya nyie kutiririka kuhusu details za kinachoitwa na siyo kujibu kwa kejeli kuwa Tume ya Warioba ilifafanua Kila kitu na ambayo ni ya miaka karibu nane iliyopita....nyie ndugu zetu hamna approach nzuri kwa wapiga kura na wananchi kwa ujumla wake...mnatanguliza uanaharakati zaidi...hamtaki kuelimisha wananchi...mnadhani nyie mnaelewa zaidi kuliko wananchi wengine...wote wasiokubaliana nanyi mnawaona ni hopeless kabisa na kwamba hawajui kitu...lakini ndani ya upjnzani Kuna baadhi wanna uelewa mzuri ila nadhsni wanazidiwa na wanaharakati...yaani unawaona kiongozi wanakwenda gerezani kutaka kufungua gate kwa nguvu. utadhani ni zile movie za prison break...wanaumizwa halafu wanasema wanaonewa...dah...hivi chama hiki kikubwa Cha upjnzani nchini mwetu kwa Sasa ni mbadala kweli wa CCM...No way...hamuwexi kukabidhiwa dola kwa tabia hi...come 2020 general elections, and all things being equal, Hilo li- CCM...litashinda kwa zaidi ya asilimia 90...wabunge wa upjnzani kwa Bara watakaoshinda hawatazidi kumi.,
Wewe huna nia ya kujifunza chochote , unalenga kusumbua tu .
 
Jiwe atake asitake tume huru lazima kwa msaada mkubwa wa mabeberu, Jiwe mwaka huu atakuwa tope kwelikweli.
 
View attachment 1394118

Hii ndiyo Taarifa mpya kwa sasa , Tuendelee kutega sikio kwa Taarifa zaidi .

Mungu ibariki Chadema
Kwa hiyo hapo wako Hi-Tech! Very illogical CHADEMA. Tatizo siyo kudai tume huru, ni kudai tume mwaka wa uchaguzi. Lakini pia kuna mambo ya msingi yanayoweza kudaiwa kuliko hata tume ya uchaguzi. Ipo sheria ya kuzuia matokeo ya rais kupelekwa mahakamani. Kwa jinsi ilivyo, hakuna upinzani unaoweza kuingia ikulu. CHADEMA wanafahamu na wako kimya na badala yake wanapiga kelele na tume huru. Ninavyowaelewa, wanawinda kuingia bungeni tu, waendelee na ajira zao za upigaji. CDM hawako serious na siasa. ni biasahara tu.
 
Hapo ndipo lilipo tatizo la upinzani nchini mwetu...kudhani kuwa kila mmoja kwa maana ya kila mtanzania anafahamu mambo yote ya siasa...baadala ya kujikita katika kutoa Civic education au elimu ya uraia kwa wananchi nyie mmekalia ubishi...unafikiri mwananchi wa kijijini ndani kabisa anaelewa Nini kuhusu tume huru??!! Hopeless kabisa...baadala ya kuchukua ushauri mnakaa mnapinga each and everything...yaani nyie ndio werevu...haya endeleeni kuvaa hivyo vi-mask vya 'tume huru' muone Kama watavaa watu wengi...
Kwa hivyo sisi wanakijiji mazuzu hatujui nini tume huru ya uchaguzi? Tunajitambua , the revolutuion would be televised.
 
Kwa hiyo hapo wako Hi-Tech! Very illogical CHADEMA. Tatizo siyo kudai tume huru, ni kudai tume mwaka wa uchaguzi. Lakini pia kuna mambo ya msingi yanayoweza kudaiwa kuliko hata tume ya uchaguzi. Ipo sheria ya kuzuia matokeo ya rais kupelekwa mahakamani. Kwa jinsi ilivyo, hakuna upinzani unaoweza kuingia ikulu. CHADEMA wanafahamu na wako kimya na badala yake wanapiga kelele na tume huru. Ninavyowaelewa, wanawinda kuingia bungeni tu, waendelee na ajira zao za upigaji. CDM hawako serious na siasa. ni biasahara tu.
Huna hoja wewe .
 
Back
Top Bottom