Ni fursa nyingine ya upigajiView attachment 1394118
Hii ndiyo Taarifa mpya kwa sasa , Tuendelee kutega sikio kwa Taarifa zaidi .
Mungu ibariki Chadema
Ni kama wakati ule mlipo chapisha fulana za mabadiliko na ukuta
Mask inatakiwa ivaliwe kwa masaa manne tu itupwe,kwa hiyo tume inadaiwa kwa masaa manne tu
Peni inatumia wastani wa wiki mbili kuisha wino,inatupwa
Chadema ni wezi tu,hamjawahi kuwa serious