CHADEMA yaanza kutumia mbinu za kisasa kudai Tume Huru ya Uchaguzi. Kalamu na Mask zenye maneno "TUME HURU" zaanza kusambazwa mitaani

Hebu tufafanuliwe huo muundo wa tumefanya huru...fafanueni kuhusu composition yake ...na uteuzi wa tume hiyo inayoitwa huru...pia mfafanue kwanini tume ya Sasa mnaona siyo huru...haitoshi tu kusema tume huru ...fafanua zaidi ili watu waelewe....

Asiyejua maana haambiwi maana...!!!
Kama hujui TUME HURU INAUNDWAJE NA INAHUSISHA VITU GANI Kaa kimya..!!!
Watz na dunia inajua CCM ndiyo mlivuruga Bunge Maalunlmu la Katiba kwasababu hiihii ya Kutaka KUZUIA MABADILIKO AMBAYO YANGEHUSISHA NA UUNDWAJI WA TUME HURU...!!

Tunajua CCM NA SERIKALI yenu mnang'ang'ania hii Katiba yenye TUME ISIYO HURU inayowabeba kwenye Chaguzi zisizo HURU, KIHUNI na KIBABE. !!!!
 
Hizi ni political gimmicks hazina impact yeyote ina zero impact on ground. Wapiga kura wengi hawana matumizi ya kalamu. Another proof that Nyalandu is hopeless polical strategist. Time will tell
 

Hapo ndipo lilipo tatizo la upinzani nchini mwetu...kudhani kuwa kila mmoja kwa maana ya kila mtanzania anafahamu mambo yote ya siasa...baadala ya kujikita katika kutoa Civic education au elimu ya uraia kwa wananchi nyie mmekalia ubishi...unafikiri mwananchi wa kijijini ndani kabisa anaelewa Nini kuhusu tume huru??!! Hopeless kabisa...baadala ya kuchukua ushauri mnakaa mnapinga each and everything...yaani nyie ndio werevu...haya endeleeni kuvaa hivyo vi-mask vya 'tume huru' muone Kama watavaa watu wengi...
 
Neno sahihi ni ruzuku, na sio rudhuku, hakuna neno serikali, bali serikali.

Kuna watu shule imewapita pembeni sana au huwa wanajitamkia maneno tu bila ya kuelewa hata yana andikweje...!!!
 
Hebu ww mwandishi mzuri nieleze niwapi nimeandika vibaya.
Sasa hum jf mnataka nyie machadema tuandikaje? Tukikosoa ni kosa, tukipongeza napo Turudi shule! Sasa mnataka tuandike mnayotaka?

Narudia tena! Nawapongeza chadema kwa 100% kwa mbinu hizi za kisasa walizoanza kuzitumia kudai mambo ambayo wanaamini yatawasaidia kutawala.

Hii ndiyo siasa safi , make pesa mnazo, na kuchanga tunachanga, lazima muwe wabunifu kudai vitu vyenu kisayansi badara yakutumia pesa kulipa mawakiri!

Jifunzeni kula na kipofu, hizo karama hata mimi nitanunua hata km ni 2000 ili kuwaunga mkono.
 
We nawe siuwaunge mkono tu? Make ukikosoa ni MATUSI
 
Kuna watu shule imewapita pembeni sana au huwa wanajitamkia maneno tu bila ya kuelewa hata yana andikweje...!!!
Ona huyu naye! Anajamba harafu anafunika pua! Ulichorekebisha wewe ninini sasa! Angalia hapo chini! Mina wambia mtakuwa na raana ya cyo bure.
 
Kujiangusha ndani ya penalty box dk ya 88 ili uhurumiwe upate goal wakati huna uwezo wa kufunga.

Yaani wapinzani ni wa kujiangusha ndani ya 18 kwa chama kizee, ambacho polisi wanataratibu mabox ya kura kutolewa vituoni kwenda kujazwa kura za ccm? Hicho chama chenye mwenyekiti anayewaagiza wasimamizi wa uchaguzi kujificha kupokea fomu za wagombea wa upinzani, na kugoma kuwaapisha mawakala wa upinzani? Kweli kuna mpinzani anaweza kujiangusha kwenye chama kilichoishiwa mbinu hivyo? Ni hivi, tunataka tume huru ya uchaguzi ili kila mtu ashinde Mechi zake fullstop.
 

Kamwulize Babu yako Magufuli KWANINI hataki CHADEMA na Wapinzani wote kufanya mikutano ya kuwaelimisha Watz maana na umuhimu wa TUME HURU YA UCHAGUZI...!
Hapo ndipo penye TATIZO LILIPO wala SIYO CHADEMA wala Upinzani.... .!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…