Familia ya Mbowe yenyewe inaweza kusomesha ukoo wako kaka.Natamani ningepewa kila upande wa familia mtoto mmoja na hata mbowe mwenyewe Kama anamtoto anayesoma mdogo nipewe ,kumbukumbu yangu
Kamuulize CAG ndiye mwenye mamlaka ya kuhojiKuna ile michango ya faini ambazo baadae zilirudishwa. Zile hela zilirudi kwenye chama au watu binafsi maana hazikutolewa maelezo.
TayariTaarifa ya sasa inaeleza kwamba Chadema kupitia BAWACHA inawaomba wananchi wote kuchangia Familia za Makomandoo Adamoo na wenzake , walioshitakiwa kwa tuhuma za ugaidi , ambao inadawa ulifadhiliwa na mshitakiwa mwenzao Freeman Mbowe kwa kitita cha Tsh Laki 6.
Tayari mchakato wa kampeni hiyo umekamilika kwa kufungua akaunti Maalum katika benki ya NMB , yenye namba 22601605514 kwa jina la BAWACHA TAIFA , ambapo yeyote atakayeguswa anaruhusiwa kuweka pesa ili ziweze kusaidia familia za wahanga .
KUTOA NI MOYO
SolidalityAmina
Tambua tofauti kati ya m na tChama cha bakuli Kwani zile million 300 na ushee zishaliwa
tayari mradi wa kupiga pesa kwa mazuzu ya chademaTaarifa ya sasa inaeleza kwamba Chadema kupitia BAWACHA inawaomba wananchi wote kuchangia Familia za Makomandoo Adamoo na wenzake , walioshitakiwa kwa tuhuma za ugaidi , ambao inadawa ulifadhiliwa na mshitakiwa mwenzao Freeman Mbowe kwa kitita cha Tsh Laki 6.
Tayari mchakato wa kampeni hiyo umekamilika kwa kufungua akaunti Maalum katika benki ya NMB , yenye namba 22601605514 kwa jina la BAWACHA TAIFA , ambapo yeyote atakayeguswa anaruhusiwa kuweka pesa ili ziweze kusaidia familia za wahanga .
KUTOA NI MOYO
Ubarikiwe sana mtanzania mwenzetu mwenye kujali mateso ya wenzetu.
Pamoja sana mzareeeendo wa kweeeriiiiSolidality
Tukisema kuwa chadema ni mkono wa Mungu ili kuwanusuru WATANZANIA tunakuwa tunamaanisha ukweewrrriiii.Taarifa zilizotufikia ni kwamba wadau wanaendelea kumimina hela kwenye akaunti hiyo.
Mungu ibariki Chadema
Uongo utakusaidia nini ?tayari mradi wa kupiga pesa kwa mazuzu ya chadema
HakikaTukisema kuwa chadema ni mkono wa Mungu ili kuwanusuru WATANZANIA tunakuwa tunamaanisha ukweewrrriiii.
It's to much pain mkuu. Most of Tanzanians suffer in their life just because of misconductions of Tanzania PoliceDah! I can only imagine their pain
Una maana gani mkuu. After all hakuna 'Mjeda' hata mmoja hapo. Ukisha kanyaga mkeka, ( Court Marshall) na kuamriwa kufukuzwa wewe kamwe hutakiwi uitwe askari.Wajeda nao waamke bwana! Mnatesewaje watu wenu hivyo nyie mko kimya tu?