CHADEMA yaanzisha Harambee ya kuchangia familia za walioshitakiwa kwa ugaidi

CHADEMA yaanzisha Harambee ya kuchangia familia za walioshitakiwa kwa ugaidi

Tukisema kuwa chadema ni mkono wa Mungu ili kuwanusuru WATANZANIA tunakuwa tunamaanisha ukweewrrriiii.
Good move. I hope this will provide a substancial relief to those families if funds raised are purely going to be used accordingly.
 
Nami nitachangia. Wanayopitia ni udhalimu wa hali ya juu. Kumsaidia yeye aliyepo matesoni, ni ibada iliyo njema mbele za Mungu. Tujiweke karibu na kumkaribia Mungu wetu kwa kushikamana na wenye kudhulumiwa.

Nitachangia kila mwezi mpaka watakapokuwa huru. Shetani hajawahi kumshinda Mungu. Mungu atawashindia dhidi ya mabaradhuli wenye kufurahia mateso ya wanadamu wenzao.

Tunaweza kupata taarifa kwa uhakika hatima ya Lijenje?
Ubarikiwe Sana Mkuu.Wewe haupo mbali na Ufalme wa Mungu.
 
Taarifa ya sasa inaeleza kwamba Chadema kupitia BAWACHA inawaomba wananchi wote kuchangia Familia za Makomandoo Adamoo na wenzake , walioshitakiwa kwa tuhuma za ugaidi , ambao inadawa ulifadhiliwa na mshitakiwa mwenzao Freeman Mbowe kwa kitita cha Tsh Laki 6.


Tayari mchakato wa kampeni hiyo umekamilika kwa kufungua akaunti Maalum katika benki ya NMB , yenye namba 22601605514 kwa jina la BAWACHA TAIFA , ambapo yeyote atakayeguswa anaruhusiwa kuweka pesa ili ziweze kusaidia familia za wahanga .

KUTOA NI MOYO
Kwani wenyewe mpaka sasa wana Shilingi ngapi Mifukoni mwao au katika Akaunti zao?
 
Ujumbe mzuri sana kwa hao mafisadi
Ni kweli Mkuu.CCM wanatumia njia zisizo halali kupata pesa, Matharani kupora Wananchi Mali zao,Kuiba kwa njia ya kodi,Kijimilikisha rasilimali za nchi kwa mabavu mfano majengo,viwanja,shule na taasis zingine wanadai kuwa ni zao wakati sio kweli.CCM ni Wabaya zaidi shetani.
 
Ni kweli Mkuu.CCM wanatumia njia zisizo halali kupata pesa, Matharani kupora Wananchi Mali zao,Kuiba kwa njia ya kodi,Kijimilikisha rasilimali za nchi kwa mabavu mfano majengo,viwanja,shule na taasis zingine wanadai kuwa ni zao wakati sio kweli.CCM ni Wabaya zaidi shetani.
Hilo ndiyo tatizo linalo tufanya kupambana ili tupate katiba mpya ambayo itaondoa mapungufu kwenye katiba tuliyo nayo sasa hivi.
 
Hilo ndiyo tatizo linalo tufanya kupambana ili tupate katiba mpya ambayo itaondoa mapungufu kwenye katiba tuliyo nayo sasa hivi.
Hakika ni muhimu sana.Mataga wanajua kuwa Katiba mpya itawavua nguo ndio maana tunapodai kuhusu Katiba mpya wanatubambikizia kesi za Ugaidi.
 
Good move. I hope this will provide a substancial relief to those families if funds raised are purely going to be used accordingly.
Hakuna senti itakayotumika kinyume na kusudio
 
Lkn tuombe MUNGU, juhudi hizi za makamanda zizae matunda.
Mkuu duniani kote hakuna siku madai ya haki kutoka kwa watawala yaliwahi kuenda kwa wepesi.

Watu wengi wanafungwa na wengine wanapoteza maisha.

Inshahlla tutafanikiwa ndugu yangu.
 
Back
Top Bottom