CHADEMA yaanzisha Harambee ya kuchangia familia za walioshitakiwa kwa ugaidi

CHADEMA yaanzisha Harambee ya kuchangia familia za walioshitakiwa kwa ugaidi

Natamani ningepewa kila upande wa familia mtoto mmoja na hata mbowe mwenyewe Kama anamtoto anayesoma mdogo nipewe ,kumbukumbu yangu
Familia ya Mbowe yenyewe inaweza kusomesha ukoo wako kaka.
Saidia akina Adamoo inatosha
 
Kuendelea kuwaita makomandoo kana kwamba bado ni wanajeshi ni makosa na upotoshwaji mkubwa. Majina ya kijeshi waliyoyapata yalisimama mara tu utumishi wao jeshini uliposimama. Hao ni raia wa kawaida na tutawachukulia kama raia wengine wanaojifunza self defence kwenye madojo ya mitaani
 
Kuna ile michango ya faini ambazo baadae zilirudishwa. Zile hela zilirudi kwenye chama au watu binafsi maana hazikutolewa maelezo.
 
Vipi Kama mashitaka wanayoshitakiwa nayo ushahidi ukibainisha walikua ni magaidi kweli,tutaendelea kuwachangia?
 
Taarifa ya sasa inaeleza kwamba Chadema kupitia BAWACHA inawaomba wananchi wote kuchangia Familia za Makomandoo Adamoo na wenzake , walioshitakiwa kwa tuhuma za ugaidi , ambao inadawa ulifadhiliwa na mshitakiwa mwenzao Freeman Mbowe kwa kitita cha Tsh Laki 6.


Tayari mchakato wa kampeni hiyo umekamilika kwa kufungua akaunti Maalum katika benki ya NMB , yenye namba 22601605514 kwa jina la BAWACHA TAIFA , ambapo yeyote atakayeguswa anaruhusiwa kuweka pesa ili ziweze kusaidia familia za wahanga .

KUTOA NI MOYO
Tayari
IMG_20211007_102100.jpg
IMG_20211007_102102.jpg
 
Taarifa zilizotufikia ni kwamba wadau wanaendelea kumimina hela kwenye akaunti hiyo.

Mungu ibariki Chadema
 
Taarifa ya sasa inaeleza kwamba Chadema kupitia BAWACHA inawaomba wananchi wote kuchangia Familia za Makomandoo Adamoo na wenzake , walioshitakiwa kwa tuhuma za ugaidi , ambao inadawa ulifadhiliwa na mshitakiwa mwenzao Freeman Mbowe kwa kitita cha Tsh Laki 6.


Tayari mchakato wa kampeni hiyo umekamilika kwa kufungua akaunti Maalum katika benki ya NMB , yenye namba 22601605514 kwa jina la BAWACHA TAIFA , ambapo yeyote atakayeguswa anaruhusiwa kuweka pesa ili ziweze kusaidia familia za wahanga .

KUTOA NI MOYO
tayari mradi wa kupiga pesa kwa mazuzu ya chadema
 
Taarifa zilizotufikia ni kwamba wadau wanaendelea kumimina hela kwenye akaunti hiyo.

Mungu ibariki Chadema
Tukisema kuwa chadema ni mkono wa Mungu ili kuwanusuru WATANZANIA tunakuwa tunamaanisha ukweewrrriiii.
 
Wajeda nao waamke bwana! Mnatesewaje watu wenu hivyo nyie mko kimya tu?
Una maana gani mkuu. After all hakuna 'Mjeda' hata mmoja hapo. Ukisha kanyaga mkeka, ( Court Marshall) na kuamriwa kufukuzwa wewe kamwe hutakiwi uitwe askari.
 
Back
Top Bottom