CHADEMA yaanzisha Harambee ya kuchangia familia za walioshitakiwa kwa ugaidi

CHADEMA yaanzisha Harambee ya kuchangia familia za walioshitakiwa kwa ugaidi

Taarifa ya sasa inaeleza kwamba Chadema kupitia BAWACHA inawaomba wananchi wote kuchangia Familia za Makomandoo Adamoo na wenzake , walioshitakiwa kwa tuhuma za ugaidi , ambao inadawa ulifadhiliwa na mshitakiwa mwenzao Freeman Mbowe kwa kitita cha Tsh Laki 6.


Tayari mchakato wa kampeni hiyo umekamilika kwa kufungua akaunti Maalum katika benki ya NMB , yenye namba 22601605514 kwa jina la BAWACHA TAIFA , ambapo yeyote atakayeguswa anaruhusiwa kuweka pesa ili ziweze kusaidia familia za wahanga .

KUTOA NI MOYO
Asante kwa taarifa hii mkuu.
 
Mambo ndio kama hivi mnavyoona

Tunashukuru_mnaoendelea_kuwa_sehemu_ya_jamii_ambayo_inasaidia_familia_za_(washtakiwa_wenzake_n...jpg
 
Taarifa ya sasa inaeleza kwamba Chadema kupitia BAWACHA inawaomba wananchi wote kuchangia Familia za Makomandoo Adamoo na wenzake , walioshitakiwa kwa tuhuma za ugaidi , ambao inadawa ulifadhiliwa na mshitakiwa mwenzao Freeman Mbowe kwa kitita cha Tsh Laki 6.


Tayari mchakato wa kampeni hiyo umekamilika kwa kufungua akaunti Maalum katika benki ya NMB , yenye namba 22601605514 kwa jina la BAWACHA TAIFA , ambapo yeyote atakayeguswa anaruhusiwa kuweka pesa ili ziweze kusaidia familia za wahanga .

KUTOA NI MOYO
Yaani Chadema ya Mwamba kila kitu kwao ni fursa ya kupiga mahela. Haya kusanyeni hizo fedha Mwamba anazihitaji haraka
 
Naomba M-PESA account ya mke wa mmoja ya walioshtakiwa, nichangie. Tuma kwenye inbox yangu.
 
Una maana gani mkuu. After all hakuna 'Mjeda' hata mmoja hapo. Ukisha kanyaga mkeka, ( Court Marshall) na kuamriwa kufukuzwa wewe kamwe hutakiwi uitwe askari.
Hiyo ni kwenye vitabu au maandishi lkn moyoni watu wana upendo na wafanyakazi wenzao.
 
Back
Top Bottom