CHADEMA yadai kwamba iliwasilisha Kwa Spika wa Bunge Taarifa ya Mdee na wenzake kushindwa kesi mara tu baada ya uamuzi wa Mahakama


Mkuuu hacheni kupotosha sheria mana mnapotosha jamiii na kujenga chuki....Akina halima hawajashindwa kesi Bali mapingamizi yao waliomba mahakamani dhidi ya Chama chao yamekataliwa kwa sababu yana mapungufu katika uwasilishaji,so wanachotakiwa kukufanya ni kuyalekebisha na kurudi mahakamani mana mirango bado IPO wazi!!
 
Bi kizee tulia yuko anawaandalia rufaa chap kesho utasikia tamko,hawa covid 19 wana baraka zote za muimba taarab wa kazimkazi
 
Hiyo umetunga wewe au ndivyo alivyosema Jaji ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…