CHADEMA yadai kwamba iliwasilisha Kwa Spika wa Bunge Taarifa ya Mdee na wenzake kushindwa kesi mara tu baada ya uamuzi wa Mahakama

CHADEMA yadai kwamba iliwasilisha Kwa Spika wa Bunge Taarifa ya Mdee na wenzake kushindwa kesi mara tu baada ya uamuzi wa Mahakama

Speaker anachukua hatua baada ya kupokea nakala ya court ruling na kuisoma. Hachukui hatua on the basis of what a party to the dispute is saying “the court said”!
mbona mambo yako wazi hata akichukua nakala hawezi fanya chochote apo speaker analaumiwa bure tu yeye hawezi chukua hatua yoyote bila chombo kinachohusika( tume ya uchaguzi) kumwandikia barua nafasi zipo wazi
 
Hebu tujaribu kuuliza, huyu Tulia Ackson, hivi hiki kiburi chote anachokionyesha, ni nani hasa anayempa jeuri hiyo?
hausiki na chochote kiongozi lawama za bure tu yeye ni mtu wa kusubiri kuambiwa na tume ya uchaguzi kwamba nafasi zipo wazi
 
hausiki na chochote kiongozi lawama za bure tu yeye ni mtu wa kusubiri kuambiwa na tume ya uchaguzi kwamba nafasi zipo wazi

..hapana.

..akipata taarifa mbunge amefukuzwa na chama chake anapaswa kumtoa mbunge huyo.

 
🐒🐒🐒
16559808700323.jpg
 
..Spika alikuwa anawakilishwa/anatetewa na mawakili wa ofisi ya AG.

..Na AG anahudhuria vikao vya bunge kutokana na nafasi yake.

..Pia hapa chini kuna maelezo ya Spika Tulia akizungumzia suala la JUDICIAL NOTICE linavyohusiana na shauri la kina Mdee.



Judicial notice inakupa tu reason ya kufuatilia kilichojiri. Ukweli ambao haubadiliki ni kwamba mahakama ndiyo inayotoa nakala ya ruling. Unfortunately, mahakama zetu hazina utamaduni wa kuchapa na kutoa nakala za rulings promptly. Nadhani ndiyo maana mpaka kufikia sasa bado hakuna nakala ya hiyo ruling inayozunguka kwenye social media platforms!
 
mbona mambo yako wazi hata akichukua nakala hawezi fanya chochote apo speaker analaumiwa bure tu yeye hawezi chukua hatua yoyote bila chombo kinachohusika( tume ya uchaguzi) kumwandikia barua nafasi zipo wazi

Your understanding is backward. Bunge ndiyo linaitaarifu Tume ya Uchaguzi kuhusu uwepo wa nafasi wazi Bungeni ili ianze mchakato wa kuzijaza!
 
Judicial notice inakupa tu reason ya kufuatilia kilichojiri. Ukweli ambao haubadiliki ni kwamba mahakama ndiyo inayotoa nakala ya ruling. Unfortunately, mahakama zetu hazina utamaduni wa kuchapa na kutoa nakala za rulings promptly. Nadhani ndiyo maana mpaka kufikia sasa bado hakuna nakala ya hiyo ruling inayozunguka kwenye social media platforms!

..Na kwamba Spika alikuwa anatetewa / anawakilishwa na mawakili toka Ofisi ya AG pia haina uzito?

..mimi nilidhani mahakama ikiamua hukumu inatekelezwa bila kuchelewa.

..Ni sawa na mtu ahukumiwe kifungo halafu adai hatakiwi kwenda magereza mpaka apewe nakala ya hukumu.
 
..Na kwamba Spika alikuwa anatetewa / anawakilishwa na mawakili toka Ofisi ya AG pia haina uzito?

..mimi nilidhani mahakama ikiamua hukumu inatekelezwa bila kuchelewa.

..Ni sawa na mtu ahukumiwe kifungo halafu adai hatakiwi kwenda magereza mpaka apewe nakala ya hukumu.
Aiseeeee !!!
 
..sikilizeni maelezo ya Spika.


Kwa maelezo yake Spika mwenyewe aliyoyatoa hapo, maana yake hao wabunge wameshapoteza nafasi zao za ubunge, kutokana na uamuzi huo wa Mahakama.

Ukimsikiliza kwa makini, ameelezea kuwa Mahakama ikishatoa tu uamuzi wake, haijalishi Mahakama hiyo imeleta taarifa hiyo kwa Spika, Mbunge huyo muhusika atakuwa amepoteza "automatically" ubunge wake
 
Kelele za nini?

Hao wote tunaishi nao mitaani nashangaa mnatupigia kelele.
 
Kwa maelezo yake Spika mwenyewe aliyoyatoa hapo, maana yake hao wabunge wameshapoteza nafasi zao za ubunge, kutokana na uamuzi huo wa Mahakama.

Ukimsikiliza kwa makini, ameelezea kuwa Mahakama ikishatoa tu uamuzi wake, haijalishi Mahakama hiyo imeleta taarifa hiyo kwa Spika, Mbunge huyo muhusika atakuwa amepoteza "automatically" ubunge wake
sasa kigugumizi chake leo kimetoka wapi ?
 
Lakini kesi si inaweza kurekebishwa ikaendelea[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Nchi hii ina tatizo kubwa kuliko inavoonekana kwa juu! Kesi iliyotolewa uamuzi na Jaji inawezaje kurekebishwa na kuendelea? Au unasema kesi mpya inaweza kufunguliwa na akina Mdee??

Hivi ni kweli uwezo wako ni wa kiwango hiki au unafanya mzaha?? So sad!!
 
Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Salum Mwalimu, amesema kwamba chama chake kiliwasilisha kwa Spika wa Bunge la Tanzania taarifa ya kutupwa kwa kesi iliyofunguliwa na Halima Mdee na wenzake mara tu baada ya Uamuzi wa Mahakama kutolewa.

Kwahiyo visingizio vyovyote vitakavyoletwa na Spika wa Bunge hilo, vya kuwabeba wabunge wale 19 wasio na chama chochote cha siasa, kama Katiba ya Nchi inavyoelekeza ni Ukaidi na Kiburi chake mwenyewe ili kukidhi matakwa yake, na ni UVUNJIFU WA MAKUSUDI WA KATIBA YA NCHI, kama alivyozoea kuivunja mara zote.

Bali jambo kubwa linalopaswa kufahamika na Tulia Ackson na wapambe wake ni hili, KILA UBAYA UTALIPWA.

Pia soma - Wabunge waliofukuzwa CHADEMA wapo Bungeni leo Juni 23, 2022, Spika kawaruhusu kuuliza maswali
Huyu spika huku kanisa kwetu anajitia muumini kumbe hovyoo, yaani ukimwona kanisani, kipumbavu kabisa hiki kicheusi mangala
 
Sina tatizo na maamuzi yoyote atakayotoa Spika juu ya uamuzi huu wa Mahakama. Mimi na Watanzania kwa ujumla tunahaka kujua, Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilipata wapi haya Majina hata kuyapeleka Bungeni? Na kwa kuwa wao ndio chanzo cha mkanganyiko huu wanatakiwa wawajibishwe ikiwezekana kwa maamuzi haya ya mahakama, ivunjwe. Hatuwezi kukubali tabia hii ya kuzalisha migogoro ya kimihimili yaani Serikali, Bunge na Mahakama na wazalishaji (Tume inayoongozwa na Jaji) wakiwa kimya. Hii ni Kashfa na Aibu kwa watendaji wote wa Tume.
 
Sina tatizo na maamuzi yoyote atakayotoa Spika juu ya uamuzi huu wa Mahakama. Mimi na Watanzania kwa ujumla tunahaka kujua, Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilipata wapi haya Majina hata kuyapeleka Bungeni? Na kwa kuwa wao ndio chanzo cha mkanganyiko huu wanatakiwa wawajibishwe ikiwezekana kwa maamuzi haya ya mahakama, ivunjwe. Hatuwezi kukubali tabia hii ya kuzalisha migogoro ya kimihimili yaani Serikali, Bunge na Mahakama na wazalishaji (Tume inayoongozwa na Jaji) wakiwa kimya. Hii ni Kashfa na Aibu kwa watendaji wote wa Tume.
CCM hawaumizani kwenye maslahi
 
Judicial notice inakupa tu reason ya kufuatilia kilichojiri. Ukweli ambao haubadiliki ni kwamba mahakama ndiyo inayotoa nakala ya ruling. Unfortunately, mahakama zetu hazina utamaduni wa kuchapa na kutoa nakala za rulings promptly. Nadhani ndiyo maana mpaka kufikia sasa bado hakuna nakala ya hiyo ruling inayozunguka kwenye social media platforms!
Mbona ipo tayari ina kurasa 33.
 
Back
Top Bottom