CHADEMA yafanya Uteuzi wa Viongozi wa Kanda ya Kaskazini na Kati

CHADEMA yafanya Uteuzi wa Viongozi wa Kanda ya Kaskazini na Kati

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Kamati Kuu ya CHADEMA, katika kikao chake kilichofanyika tarehe 14 Desemba 2024 jijini Dar es Salaam, ilitangaza uteuzi wa wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi kwa Kanda ya Kaskazini na Kati.

Uteuzi huo umefanywa kwa mujibu wa Katiba ya chama, ibara ya 7.7.16(s), ambayo inatoa jukumu kwa Kamati Kuu kufanya uteuzi wa wagombea wa nafasi za Uenyekiti, Makamu Mwenyekiti, na Mtunza Hazina wa Kanda.
IMG_1639.jpeg
IMG_1640.jpeg
IMG_1641.jpeg
IMG_1642.jpeg
 
Kamati Kuu ya CHADEMA, katika kikao chake kilichofanyika tarehe 14 Desemba 2024 jijini Dar es Salaam, ilitangaza uteuzi wa wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi kwa Kanda ya Kaskazini na Kati.

Uteuzi huo umefanywa kwa mujibu wa Katiba ya chama, ibara ya 7.7.16(s), ambayo inatoa jukumu kwa Kamati Kuu kufanya uteuzi wa wagombea wa nafasi za Uenyekiti, Makamu Mwenyekiti, na Mtunza Hazina wa Kanda.
View attachment 3177312View attachment 3177313View attachment 3177314View attachment 3177315
Yaani hili li chama bana,wegombea uwenyekiti kanda ya kaskazini wote ni ndugu zake Mbowe na kanda ya kati wamepenyeza ndugu yake Mzee Mbowe mmoja,muwe mnaona hata aibu basi .Nchi hii ni yetu wote jamani.
 
Kagombee wewe uache ujinga. Kwani ndugu zake hawana haki? Mijitu kama wewe inatakiwa ikaishi Rwanda na Burundi huko.
Yaani hili li chama bana,wegombe uwenyekiti kanda ya kaskazini wote ni ndugu zake Mbowe na kanda ya kati wameoenyeza ndugu yake Mzee Mbowe mmoja,muwe mnaona hata aibu basi .Nchi hii ni yetu wote jamani.
 
Kagombee wewe uache ujinga. Kwani ndugu zake hawana haki? Mijitu kama wewe inatakiwa ikaishi Rwanda na Burundi huko.
Kwa hiyo nia ya hii saccos viongozi wote watoke kaskazini siyo?hujui Tanzania ni zaidi ya kaskazini?
 
Yaani hili li chama bana,wegombea uwenyekiti kanda ya kaskazini wote ni ndugu zake Mbowe na kanda ya kati wamepenyeza ndugu yake Mzee Mbowe mmoja,muwe mnaona hata aibu basi .Nchi hii ni yetu wote jamani.
Ccm mapumbavu ndio maana mnapelekwa kizmkazi Kwa upumbavu uliowajaa kichwani.
 
We fala hujui point yangu, Kanda ya kati kwa wagogo, wanyaturu na wanyiramba ila mchaga ni mgombea kwenye uchaguzi wa chama Cha wachaga halafu unalinganisha huo usenge wenu na ccm
 
Wewe ni mpuuzi tu, nimekwambia nenda kagombee acha ujinga.
Mnao uhakika kuwa kanda ya kasakazini ni ndugu yake Mzee Mbowe atakuwa Mwenyekiti,hapo kanda ya kati mmelazimisha kumweka nae ndugu yake Mzee Mbowe ,Tanzania ni zaidi ya kaskazini Mangi .Nyumbu wakubwa nyie
 
We fala hujui point yangu, Kanda ya kati kwa wagogo, wanyaturu na wanyiramba ila mchaga ni mgombea kwenye uchaguzi wa chama Cha wachaga halafu unalinganisha huo usenge wenu na ccm
Hiyu Minja anaegombea kanda ya kati ni Mnyaturu ehe?hawana hata aibu basi loh
 
Kwa hiyo nia ya hii saccos viongozi wote watoke kaskazini siyo?hujui Tanzania ni zaidi ya kaskazini?
kwani uchaguzi huu si unahusu kanda ya kaskazini kwa hiyo iwapo kama watachaguliwa watu wa huko ni kawaida maana hata kanda ya kusini au kanda nyingine waliochaguliwa ni watu toka kanda husika
 
Kamati Kuu ya CHADEMA, katika kikao chake kilichofanyika tarehe 14 Desemba 2024 jijini Dar es Salaam, ilitangaza uteuzi wa wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi kwa Kanda ya Kaskazini na Kati.

Uteuzi huo umefanywa kwa mujibu wa Katiba ya chama, ibara ya 7.7.16(s), ambayo inatoa jukumu kwa Kamati Kuu kufanya uteuzi wa wagombea wa nafasi za Uenyekiti, Makamu Mwenyekiti, na Mtunza Hazina wa Kanda.
View attachment 3177312View attachment 3177313View attachment 3177314View attachment 3177315
Kanda ya kaskazini mwenyekiti angefaa Amani Golugwa na hapo kanda ya kati wangempandisha Aisha Madogga. Anyway naona Team Lissu (David Djumbe) vs Team Mbowe (Devotha Minja) hii itatoa picha muelekeo wa Uchaguzi kama atashinda Devotha basi itakua indicator kuwa Mbowe anabeba tena uenyekiti
 
Natamani kujibu lakini naona wakati fulani kujibizana na watu wanaotoa propaganda za kijinga ni kujishusha.

Samaki ukimkuta majini sio ajabu ila ukimkuta nchi kavu anaogolea kwenye vumbi ndio la kushangaa.

Hivi wachaga wanaishi Kanda gani?
 
Kwa hiyo nia ya hii saccos viongozi wote watoke kaskazini siyo?hujui Tanzania ni zaidi ya kaskazini?
Hebu kwanza mkuu 'Makupa'. Naelewa unacho llamikia, lakini kwani kufikia kwenye ngazi hii pamekuwepo na mchujo wa hao wagombea, au ni hiari ya mtu kujitokeza mbele kugombea?

Hili unalo lilalamikia wewe ni sawa na hili jingine ambalo ni kubwa zaidi,.... Tazama vizuri hayo majina. Unaweza kusema CHADEMA imewabagua watu kwa sababu ya imani zao ndiyo sababu hawaonekani kwenye orodha hizo?

Sijui kama CHADEMA wanyayo sera ya kuwakataa watu kwa misingi ya wanako tokea au imani zao. Ila kama ni lawama, labda tuseme hawajafanya bidii ya kutosha kukifanya chama kiwe na mwonekano wa kitaifa zaidi. Inabidi waongeze bidii katika eneo hilo.
 
Back
Top Bottom