CHADEMA yafungua rasmi pazia la mbio za Urais. Wanaotaka kuomba ridhaa hiyo waruhusiwa

CHADEMA yafungua rasmi pazia la mbio za Urais. Wanaotaka kuomba ridhaa hiyo waruhusiwa

Kama Kaunga mkono juhudi Slaa watu hatuyumbi, ndio itakuwa Mnyika? Kizazi cha kuisujudia ccm kiliisha na Nyerere, hiki sio kizazi cha ccm.
Matokea ya hiki kifo cha chadema ni kwa sababu ya kisalitiwa kwa Dr Slaa.
 
"Bado kuna mwanya katika muda huu wa @bunge_tz uliobakia, upelekwe muswada Bungeni ambao utafanya tupate Tume Huru ya Uchaguzi, ila tumejiandaa kuhakikisha tunaitoa Ccm madarakani" Katibu Mkuu wa @ChademaTz Mhe @jjmnyika (Mb).
 
.
IMG_20200531_072737_186.jpg


Jr[emoji769]
 
Matokea ya hiki kifo cha chadema ni kwa sababu ya kisalitiwa kwa Dr Slaa.

Cdm ni taasisi, na Slaa alikuwa kiongozi tu. Kama mlitegemea mtachezea chaguzi za nchi hii kwa kuihujumu cdm, kisha mpitishe propaganda mfu eti Cdm imekufa kisa Dr. Slaa kaondoka, basi mmechemsha. Wajinga wa hivyo hawapo tena kizazi hiki.
 
"@Chadematz kimefungua milango 2 muhimu, kuelekea Uchaguzi Mkuu, Mlango wa 1 ambao tunaufungua leo ni wa kuruhusu watia nia wa Urais kupitia Chadema na mlango wa 2 ni mlango wa majadiliano na vyama vyenye dhamira ya kweli ya kushirikiana kuitoa Ccm madarakani" Mhe @jjmnyika (Mb).
 
Cdm ni taasisi, na Slaa alikuwa kiongozi tu. Kama mlitegemea mtachezea chaguzi za nchi hii kwa kuihujumu cdm, kisha mpitishe propaganda mfu eti Cdm imekufa kisa Dr. Slaa kaondoka, basi mmechemsha. Wajinga wa hivyo hawapo tena kizazi hiki.
Mazishi ya chadema October 2020.
baada ya uchaguzi utahamia chama gani mpwa NCCR au ACT?
 
Katibu Mkuu wa Chadema, Mheshimiwa John Mnyika,  amesema kuanzia leo Juni 3, 202 ( 480 X 640 ).jpg

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ) Kuanzia leo kimefungua rasmi pazia kwa Wagombea Urais wa Tanzania kupitia Chama hicho kuomba nafasi hiyo kwa kufuata utaratibu halali ulioainishwa kikatiba , ambapo anayetaka nafasi hiyo anapaswa kuandikia barua kwa ofisi ya Katibu Mkuu wa Chama.

Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu wa Chama hicho Mh John Mnyika alipokuwa anaongea na waandishi wa habari.

Pamoja na hilo CHADEMA imekaribisha mazungumzo na majadiliano kutoka vyama makini vyenye nia thabiti kwa lengo la kuweka ushirikiano imara wa kuhakikisha kwamba CCM inang'olewa bila huruma na kuleta uhuru kamili ndani ya nchi.
 
"Tulitaka Tume Huru ya Uchaguzi ili kuwe na uchaguzi huru na wa haki, bado tunasisitiza kwa watawala tunahitaji Tume Huru ya Uchaguzi, ila tumejiandaa kwa njia nyingine kuhakikisha Ccm wanatoka madarakani, katika wakati muafaka tutawaongoza wananchi kudai haki" Mhe @jjmnyika.
 
Pamoja na hilo Chadema inakaribisha mazungumzo na majadiliano kutoka vyama vingine hali ni mbaya.
Atimae Chadema imeomba (poo)msaada kwa vyama vingine.
 
  • Thanks
Reactions: mmh
"Tulitaka Tume Huru ya Uchaguzi ili kuwe na uchaguzi huru na wa haki, bado tunasisitiza kwa watawala tunahitaji Tume Huru ya Uchaguzi, ila tumejiandaa kwa njia nyingine kuhakikisha Ccm wanatoka madarakani, katika wakati muafaka tutawaongoza wananchi kudai haki" Mhe @jjmnyika.
Mtawaongoza wananchi gani?

Ongeeni katika uhalisia siyo hisia bwashee!
 
Mnyika ni kama mmechelewa katika hili. Kwa sasa muangalie Sana mtaji wenu. Hili laiti mngelifanya kwenye 2016 huko labda lingekuwa na tija ila mlishindwa kusoma alama za nyakati. Mlishindwa kuchukua hatua stahiki Kwa wakati stahiki, mshindani wenu alianza kuwatoa kwenye reli kidogo kidogo mkawa mnacheka Tu sasa mmetoka mazima Kwa hayo unayosema inaweza kuwa ngumu zaidi sasa hivi.

Mlijisahau Sana kama chama, mmepunguzwa nguvu Sana sasa hivi, na amini nakwambia asilimia kubwa ya mtaji wenu wa watu mmeupoteza. Either wamejiunga na mpinzani wenu au wameamua kuwa neutral Tu. Asilimia kubwa Sana ya watu wameamua kuachana na siasa kutokana na mtindo wa siasa ulivyo nchini sasa hivi.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom