LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Uko sahihi, kwa tume hii ambayo copy ya matokeo kumpa wakala Wa chama Ni hiari sio lazimaHakuna jipya
Mwaka huu Kura 2m Hamta ziona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi, kwa tume hii ambayo copy ya matokeo kumpa wakala Wa chama Ni hiari sio lazimaHakuna jipya
Mwaka huu Kura 2m Hamta ziona
HAHAHAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAWpale-pale mlipompia Mangula sumu.
Bro mshana Hii picha inaongea maana zaidi ya million....aliyeipiga sijui alifikiria nini kuipiga katika angle hiyo
Hahah huku hamna kura za maoni ,mpaka 2025Membe ni mwanaCCM na atachukua form ya kugombea urais kupitia CCM
acheni ukatili nyie matagaHahah huku hamna kura za maoni ,mpaka 2025
Mkuu uzi huu ni kwa wanachadema tuInamaana hamjapanga na kumwandaa mgombea wa kumsidikiza jpm katika ushindi wake .chadema unamatatizo gani tuleteeni msindikizaji
huyu ni mwanachama wa chadema ?Bernad Membe
Sugu au Mdee au hata Lema
huyu ni mwanachama wa chadema ?
nimepiga kiberiti kichaka panya wote wamekurupuka !Twendeni na bulaya
nimepiga kiberiti kichaka panya wote wamekurupuka !