wewe unamuona huyo ataendeshaje nchi wakati kishafundishwa ushoga huko hujui au unajifanya hujuimatusi hayatakusaidia lolote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe unamuona huyo ataendeshaje nchi wakati kishafundishwa ushoga huko hujui au unajifanya hujuimatusi hayatakusaidia lolote
huyo shoga nani anamtaka sasahivi?
Wewe ni nani??Mimi mmh natangaza kugombea uraisi kupitia cdm naombeni kura zenu.
ni hivi , Chadema inaenda kushinda urais wa Tanzania octoba 2020 , Liwake jua ama inyeshe mvua , kwa hili naishukuru Kamati Kuu ya Chadema kwa mipango mizito ya ndani na nje .
[emoji115][emoji115][emoji115]
Unajuwa kucheza na akili za misukule yenzako [emoji23][emoji1787][emoji2960]
LISSUBaada ya Tangazo la Katibu Mkuu John Mnyika , hii maana yake ni kwamba kipyenga sasa kimepulizwa , labda kwa taarifa tu na hasa kwa wenye ubongo usioelewa haraka kutokana na matatizo ya kuzaliwa ( low score ) , ni hivi , Chadema inaenda kushinda urais wa Tanzania octoba 2020 , Liwake jua ama inyeshe mvua , kwa hili naishukuru Kamati Kuu ya Chadema kwa mipango mizito ya ndani na nje .
Kwahiyo basi unapoweka jina la Mgombea wako unayependekeza ufahamu kwamba unayempendekeza huenda akawa Rais wa Tanzania iwapo chama kitampitisha , hivyo zingatia sana weledi , uungwana , afya ya akili pamoja na Uhusiano mzuri wa kimataifa ( hapa pamejaa mambo yote ikiwemo haki za kikatiba na haki za binadamu )
Karibuni kwa mchakato .
Wanatupa burudani tuHawa jamaa kwa comedy wapo vizuri
Ushauri wako si wa kidemokrasiaInamaana hamjapanga na kumwandaa mgombea wa kumsidikiza jpm katika ushindi wake .chadema unamatatizo gani tuleteeni msindikizaji
Kama wewehuyo shoga nani anamtaka sasahivi?
Mbowe hana cheti
Wanavyo vya kuzaliwa.Sugu na lema hawana vyeti
Chadema ndiyo Chama Tawala kuanzia October 2020 mwaka huu lazima nzi wa kijani wakae..
MEMBE ATAGOMBEA NDANI YA CCM NA ATAPITANenda kachukue fomu pale, yule waliemtegemea kaona maji marefu kupambana na daktari katafuta sababu nyingi ili aendele kubaki huko huko.
Chadema huwa hawana mambo mengi sana hasa kama utaweza kuongea vizuri na Mbowe au fanya mawasiliano kwanza na Lowassa kujua kiasi gani kinahitajika kupeperusha bendera.
Huu ndio wakati wa kazi na bata sio kila siku kumtuma mtoto mdogo Zitto kukuongelea. Njoo upambane kianaume uone maana ya mtu kuitwa chuma Magufuli.
Wanavyo vya kuzaliwa.
MEMBE NI TISHIO KWA CCM CHOTARACCM mbona mnahofia Membe kukutana na JPM kwenye kura za maoni?
Hapa tunaongelea habari ya mgombea chademaCCM mbona mnahofia Membe kukutana na JPM kwenye kura za maoni?
Mimi ninasubiri tume huru ya uchaguzi, kufutwa kwa kifungu cha kutopewa nakala ya matokeo ya kura kwa wawakilishi wa vyama vya siasa ikiwa mojawapo ya maadili ya uchaguzi, na ikiwezekana ipatikane katiba mpya; ndipo nitachukua form ya kugombea urais kupitia chama chochote kile ikiwemo Ccm! Chadema na Act-wazalendo hoyeeeee!Mimi mmh natangaza kugombea uraisi kupitia cdm naombeni kura zenu.
Baada ya Tangazo la Katibu Mkuu John Mnyika , hii maana yake ni kwamba kipyenga sasa kimepulizwa , labda kwa taarifa tu na hasa kwa wenye ubongo usioelewa haraka kutokana na matatizo ya kuzaliwa ( low score ) , ni hivi , Chadema inaenda kushinda urais wa Tanzania octoba 2020 , Liwake jua ama inyeshe mvua , kwa hili naishukuru Kamati Kuu ya Chadema kwa mipango mizito ya ndani na nje .
Kwahiyo basi unapoweka jina la Mgombea wako unayependekeza ufahamu kwamba unayempendekeza huenda akawa Rais wa Tanzania iwapo chama kitampitisha , hivyo zingatia sana weledi , uungwana , afya ya akili pamoja na Uhusiano mzuri wa kimataifa ( hapa pamejaa mambo yote ikiwemo haki za kikatiba na haki za binadamu )
Karibuni kwa mchakato .
Ndo huo umoja uliwapa kura nyingi na wabunge wengi chadema,kwa kupata kura za CUF,NCCR,NLD na kura za wanachama wa CCM waliokua na mahaba na Edlow.Hata uchaguzi uliopita kulikuwa na huo umoja.