Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,183
- 2,479
Wewe unacho? Wana vyeti vingi pamoja na vya kuzaliwa, uraia, na ubatizo.Sugu na lema hawana vyeti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unacho? Wana vyeti vingi pamoja na vya kuzaliwa, uraia, na ubatizo.Sugu na lema hawana vyeti
Sitegemei hata wewe uwe Mburula, ujinga waachie kina Bia yenu na Kawe.Dr Magufuli
Uleleke kwenye website ya chadema maana hapa wanaccm tutauvamia mpaka uufuteMkuu uzi huu ni kwa wanachadema tu
Mkuu uzi huu ni kwa wanachadema tu
Huo ndio ukweli kama wabunge wenu zaidi ya nusu wamemuunga mkono wewe ni nani hata umpinge?!Sitegemei hata wewe uwe Mburula, ujinga waachie kina Bia yenu na Kawe.
Unauhakika na unachosema Canali Daudi MchambuziMembe ni mwanaCCM na atachukua form ya kugombea urais kupitia CCM
Kama zile za Yule Aliyehonga Nyumba za Umma?Tatizo lema anakashfa
hahaha CCM mnamuhofia sana Membe sijui hata kwaniniHapa tunaongelea habari ya mgombea chadema
Mashoga Mnajuana, vip wewe Umestaafu ushoga?huyo shoga nani anamtaka sasahivi?
Wewe unacho? Wana vyeti vingi pamoja na vya kuzaliwa, uraia, na ubatizo.
CHADEMA hawashiriki uchaguzi 2020 kuogopa aibu ya kushindwa vibayaKama tunavyo jua MBOWE hua anasubir CCM imfukuze mtu ili wamchukue aende kuongeza Kura
So napenda kuishaur CCM imfukuze hata January makamba ili ndugu zetu chadema wamtangaze mgombea wao wa Urais kwa ticket ya chadema
Pia nahis mh Alie timuliwa CCM hajaweza kufika Bei ya kumlipa mh mwenyekit
Au chadema twende na halima mdee namkubal Sana Yule Dada
Au esta bulaya