CHADEMA yafungua rasmi pazia la mbio za Urais. Wanaotaka kuomba ridhaa hiyo waruhusiwa

CHADEMA yafungua rasmi pazia la mbio za Urais. Wanaotaka kuomba ridhaa hiyo waruhusiwa

Wakirudia huu mchezo,sina jinsi nitaamua kujikusanya kusanya tu niunge mkono juhudi maana sasa itakua ni kama kutengeneza ngoma kwa kutumia ngozi ya kuku.
 
Chadema tunawaangalia tu,sasa na hapa 2020 fateni upepo wa kisiasa muone mtakavyoumia tena.
unachotakiwa kujua ni kwamba Chadema haikushindwa 2015
2332550_matokeo_uchaguzi_3.jpg
 
Hahaha labda watu wasifike Bei mwenyekit lazima apige mkimuuliza na mlivyo wajinga Ana jubu simple tu ,"tumemchukua ili tuongeze Kura [emoji1787]
Wakirudia huu mchezo,sina jinsi nitaamua kujikusanya kusanya tu niunge mkono juhudi maana sasa itakua ni kama kutengeneza ngoma kwa kutumia ngozi ya kuku.
 


Katibu Mkuu wa CHADEMA , John Mnyika atatoa tamko muhimu la Chama kwa umma wa Watanzania kupitia vyombo vya habari, leo Jumatano, Juni 3, 2020.

Je, Atamjibu Msajili wa vyama kuhusu vyama kupeleka ratiba za kampeni ilhali mikutano bado imezuiliwa na haijulikani lini itaruhusiwa.

Je, Ataijibu NEC Taifa kuja na kanuni zake mfukoni, mjawapo ikiwa mawakala kutopewa nakala ya matokeo.

STAY TUNED.

=====

"Bado kuna mwanya katika muda huu wa Bunge uliobakia, upelekwe muswada Bungeni ambao utafanya tupate Tume Huru ya Uchaguzi, ila tumejiandaa kuhakikisha tunaitoa Ccm madarakani" Katibu Mkuu wa CHADEMA

"Tunatawaka watia nia wa CHADEMA kusoma miongozo vizuri, kuna muongozo mahsusi kabisa toka 2012, wazingatie muongozo katika hatua mbalimbali, wakikiuka Chama hakitasita kuwachukulia hatua,ili kuhakikisha tunapata viongozi walio bora katika Taifa" Katibu Mkuu Nyika.

"CHADEMA kimefungua milango 2 muhimu, kuelekea Uchaguzi Mkuu, Mlango wa 1; ambao tunaufungua leo ni wa kuruhusu watia nia wa Urais kupitia Chadema na mlango wa 2; ni mlango wa majadiliano na vyama vyenye dhamira ya kweli ya kushirikiana kuitoa Ccm madarakani" Mnyika.

"Tulitaka Tume Huru ya Uchaguzi ili kuwe na uchaguzi huru na wa haki, bado tunasisitiza kwa watawala tunahitaji Tume Huru ya Uchaguzi, ila tumejiandaa kwa njia nyingine kuhakikisha Ccm wanatoka madarakani, katika wakati muafaka tutawaongoza wananchi kudai haki" Mnyika.

Niko tayari kumsindikiza Mbowe kwenda kuchukua form pale makao makuu 😛 😛 😛 😛 😛
 
Unakwenda kujaza fomu ya Uraisi ukiwa unaamini kabisa lazima ugalagazwe!! Hiyo kazi inawahitaji wavuta bangi ambapo akivuta bangi inamfanya ajione Yuko juuu na tayari Yuko ikuru

Wenye akiri zao hawawezi Kufanya kazi ya kijinga au la, lazima kuwepo makubaliano maalumu ili kuwapata wenye akiri zao, kwamba kabla na baada ya kugalagazwa alipwe Kwa miaka yote hiyo mitano

La sivyo, hiyo kazi ni ya mtu aliyekosa mwelekeo
 
Tatizo hata yeye mnyika kwenye jimbo lake anang'oka.
 
Back
Top Bottom