Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 12,000
Nani huyo? Mbowe!
Kama zile za Yule Aliyehonga Nyumba za Umma?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama zile za Yule Aliyehonga Nyumba za Umma?
Kweli kabisa mnachukua nchi mwaka huu na kwa Sasa rais Magufuli anawajengea bonge la ikulu chamwino keshamwekea rais Mbowe wanyama, ndege tausi nk. Hongrezi chadema kwa kushinda urais 2020-2025.Chadema ndiyo Chama Tawala kuanzia October 2020 mwaka huu lazima nzi wa kijani wakae..
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huo ndio ukweli kama wabunge wenu zaidi ya nusu wamemuunga mkono wewe ni nani hata umpinge?!
Bwashee ishi katika uhalisia!
Mbowe aliwai kua Waziri? Yule alikua waziri baadae akusukumiziwa kwenye UraisNani huyo? Mbowe!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kweli kabisa mnachukua nchi mwaka huu na kwa Sasa rais Magufuli anawajengea bonge la ikulu chamwino keshamwekea rais Mbowe wanyama, ndege tausi nk. Hongrezi chadema kwa kushinda urais 2020-2025.
Sent using Jamii Forums mobile app
unachotakiwa kujua ni kwamba Chadema haikushindwa 2015Chadema tunawaangalia tu,sasa na hapa 2020 fateni upepo wa kisiasa muone mtakavyoumia tena.
Wakirudia huu mchezo,sina jinsi nitaamua kujikusanya kusanya tu niunge mkono juhudi maana sasa itakua ni kama kutengeneza ngoma kwa kutumia ngozi ya kuku.
Hapa walikuwa wanafanyaje ?unachotakiwa kujua ni kwamba Chadema haikushindwa 2015View attachment 1467708
Katibu Mkuu wa CHADEMA , John Mnyika atatoa tamko muhimu la Chama kwa umma wa Watanzania kupitia vyombo vya habari, leo Jumatano, Juni 3, 2020.
Je, Atamjibu Msajili wa vyama kuhusu vyama kupeleka ratiba za kampeni ilhali mikutano bado imezuiliwa na haijulikani lini itaruhusiwa.
Je, Ataijibu NEC Taifa kuja na kanuni zake mfukoni, mjawapo ikiwa mawakala kutopewa nakala ya matokeo.
STAY TUNED.
=====
"Bado kuna mwanya katika muda huu wa Bunge uliobakia, upelekwe muswada Bungeni ambao utafanya tupate Tume Huru ya Uchaguzi, ila tumejiandaa kuhakikisha tunaitoa Ccm madarakani" Katibu Mkuu wa CHADEMA
"Tunatawaka watia nia wa CHADEMA kusoma miongozo vizuri, kuna muongozo mahsusi kabisa toka 2012, wazingatie muongozo katika hatua mbalimbali, wakikiuka Chama hakitasita kuwachukulia hatua,ili kuhakikisha tunapata viongozi walio bora katika Taifa" Katibu Mkuu Nyika.
"CHADEMA kimefungua milango 2 muhimu, kuelekea Uchaguzi Mkuu, Mlango wa 1; ambao tunaufungua leo ni wa kuruhusu watia nia wa Urais kupitia Chadema na mlango wa 2; ni mlango wa majadiliano na vyama vyenye dhamira ya kweli ya kushirikiana kuitoa Ccm madarakani" Mnyika.
"Tulitaka Tume Huru ya Uchaguzi ili kuwe na uchaguzi huru na wa haki, bado tunasisitiza kwa watawala tunahitaji Tume Huru ya Uchaguzi, ila tumejiandaa kwa njia nyingine kuhakikisha Ccm wanatoka madarakani, katika wakati muafaka tutawaongoza wananchi kudai haki" Mnyika.
kinana na january kwenye bao la mkono masakiHapa walikuwa wanafanyaje ?
KUBWA jingaNadhani atatangaza Chadema kususia uchaguzi mkuu na yeye kuhamia CCM!
Chadema imeishiwa pumzi by Lijualikali!KUBWA jinga
Ukitangaza kupitia CCM unapewa sumu.Mimi mmh natangaza kugombea uraisi kupitia cdm naombeni kura zenu.
Lijualikali ndo kakata pumzi bungeni labda atarudi kwa kupitia baba mkwe japo nayeye kule kongwa kashakataliwa na wananchi tena mbele ya jiwe labda akagombee kwenye jimbo la chamwino ikuluChadema imeishiwa pumzi by Lijualikali!
nasikia huko MATAGA kwa jiwe hakuna wakusogeza pua analambwa mchana kweupeNi muda wa mzee wa MIGA mlamba viatu wa mabeberu kuchukua fomu