wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Sawa.Chadema siyo CCM ya Polepole inayowatisha wanachama wake.
Tayari yule kule ubelgiji kasema anaandika barua ya kuomba ridhaa ya kupeperusha kiti cha urais
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa.Chadema siyo CCM ya Polepole inayowatisha wanachama wake.
The GreatestSawa.
Tayari yule kule ubelgiji kasema anaandika barua ya kuomba ridhaa ya kupeperusha kiti cha urais
Yohana Mbatizaji alikuwa Mtu mwenye Roho Nzuri Sana!Nadhani atatangaza Chadema kususia uchaguzi mkuu na yeye kuhamia CCM!
Pamoja na hilo Chadema inakaribisha mazungumzo na majadiliano kutoka vyama vingine hali ni mbaya.
Atimae chadema imeomba (poo)msaada kwa vyama vingine
Mnyika ni kama mmechelewa katika hili. Kwa sasa muangalie Sana mtaji wenu. Hili laiti mngelifanya kwenye 2016 huko labda lingekuwa na tija ila mlishindwa kusoma alama za nyakati. Mlishindwa kuchukua hatua stahiki Kwa wakati stahiki, mshindani wenu alianza kuwatoa kwenye reli kidogo kidogo mkawa mnacheka Tu sasa mmetoka mazima Kwa hayo unayosema inaweza kuwa ngumu zaidi sasa hivi.
Mlijisahau Sana kama chama, mmepunguzwa nguvu Sana sasa hivi, na amini nakwambia asilimia kubwa ya mtaji wenu wa watu mmeupoteza. Either wamejiunga na mpinzani wenu au wameamua kuwa neutral Tu. Asilimia kubwa Sana ya watu wameamua kuachana na siasa kutokana na mtindo wa siasa ulivyo nchini sasa hivi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Safari hii mtampa bendera mwanaccm yupi?Katibu Mkuu wa CHADEMA , John Mnyika atatoa tamko muhimu la Chama kwa umma wa Watanzania kupitia vyombo vya habari, leo Jumatano, Juni 3, 2020.
Je, Atamjibu Msajili wa vyama kuhusu vyama kupeleka ratiba za kampeni ilhali mikutano bado imezuiliwa na haijulikani lini itaruhusiwa.
Je, Ataijibu NEC Taifa kuja na kanuni zake mfukoni, mjawapo ikiwa mawakala kutopewa nakala ya matokeo.
STAY TUNED.
=====
"Bado kuna mwanya katika muda huu wa Bunge uliobakia, upelekwe muswada Bungeni ambao utafanya tupate Tume Huru ya Uchaguzi, ila tumejiandaa kuhakikisha tunaitoa Ccm madarakani" Katibu Mkuu wa CHADEMA
"Tunatawaka watia nia wa CHADEMA kusoma miongozo vizuri, kuna muongozo mahsusi kabisa toka 2012, wazingatie muongozo katika hatua mbalimbali, wakikiuka Chama hakitasita kuwachukulia hatua,ili kuhakikisha tunapata viongozi walio bora katika Taifa" Katibu Mkuu Nyika
"CHADEMA kimefungua milango 2 muhimu, kuelekea Uchaguzi Mkuu, Mlango wa 1; ambao tunaufungua leo ni wa kuruhusu watia nia wa Urais kupitia Chadema na mlango wa 2; ni mlango wa majadiliano na vyama vyenye dhamira ya kweli ya kushirikiana kuitoa Ccm madarakani" Mnyika
"Tulitaka Tume Huru ya Uchaguzi ili kuwe na uchaguzi huru na wa haki, bado tunasisitiza kwa watawala tunahitaji Tume Huru ya Uchaguzi, ila tumejiandaa kwa njia nyingine kuhakikisha Ccm wanatoka madarakani, katika wakati muafaka tutawaongoza wananchi kudai haki" Mnyika
Membe ni mwanaCCM na atachukua form ya kugombea urais kupitia CCM
Kwani ccm tayari wamefungua milango ya mgombea urais?Hongereni chadema fomu shilingi ngapi ya kugombea uraisi Hamjaweka Bei? CCM huwa tunaweka wazi
Wamejikuta wamesuswa na vyama vyote vya upinzani utapeli haulipi walipoingia Ukawa vyama vingine ilibifi chadema iwe lovely to other parties lakini wakivyojiona wamepata wabunge wengi na uongozi wa KUB bungeni wakaota jeuri wanafiki wakubwa hawapati chama . Chadema is a no party material kwa Sasa!! Duni Haji alipowaambia chadema kila mtu ana ndevu hawakuelewa Mimi nilimwelewa.Wangem handle vizuri Baada ya mgogoro CUF wapemba wote wangejiunga chadema wasingeenda ACT wazalendo na hiyo ingeijenga chadema zaidi bara na visiwaniPamoja na hilo Chadema inakaribisha mazungumzo na majadiliano kutoka vyama vingine hali ni mbaya.
Atimae chadema imeomba (poo)msaada kwa vyama vingine
pale-pale mlipompia Mangula sumu.Atachukulia wapi?