CHADEMA yafungua rasmi pazia la mbio za Urais. Wanaotaka kuomba ridhaa hiyo waruhusiwa

Pamoja na hilo Chadema inakaribisha mazungumzo na majadiliano kutoka vyama vingine hali ni mbaya.
Atimae chadema imeomba (poo)msaada kwa vyama vingine

Hata uchaguzi uliopita kulikuwa na huo umoja.
 

Mkuu una angalizo la msingi, believe me watanzania wana uwezo wa kugeuka usiku mmoja. Kimsingi uhuru wa kufanya siasa kwa cdm umebanwa ndio maana unachookiona huamini kama watu wana msukumo tofauti. Kinachotakiwa ni mzungumzaji mzuri mwenye mvuto kwa cdm. Kama wananchi hawa hawa waliambiwa na cdm zaidi ya miaka 7 kuwa Lowasa ni fisadi, lakini ndani ya miezi 2 gia ikabadilishwa angani wakamkubali unategemea nini?
 
Safari hii mtampa bendera mwanaccm yupi?
 

Baada ya Tangazo la Katibu Mkuu John Mnyika, hii maana yake ni kwamba kipyenga sasa kimepulizwa, labda kwa taarifa tu na hasa kwa wenye ubongo usioelewa haraka kutokana na matatizo ya kuzaliwa (low score). Ni hivi, Chadema inaenda kushinda urais wa Tanzania octoba 2020, liwake jua ama inyeshe mvua, kwa hili naishukuru Kamati Kuu ya Chadema kwa mipango mizito ya ndani na nje.

Kwahiyo basi unapoweka jina la Mgombea wako unayependekeza ufahamu kwamba unayempendekeza huenda akawa Rais wa Tanzania iwapo chama kitampitisha, hivyo zingatia sana weledi, uungwana, afya ya akili pamoja na Uhusiano mzuri wa kimataifa (hapa pamejaa mambo yote ikiwemo haki za kikatiba na haki za binadamu)


Karibuni kwa mchakato .
 
Nenda kachukue fomu pale, yule waliemtegemea kaona maji marefu kupambana na daktari katafuta sababu nyingi ili aendele kubaki huko huko.
Chadema huwa hawana mambo mengi sana hasa kama utaweza kuongea vizuri na Mbowe au fanya mawasiliano kwanza na Lowassa kujua kiasi gani kinahitajika kupeperusha bendera.
Huu ndio wakati wa kazi na bata sio kila siku kumtuma mtoto mdogo Zitto kukuongelea. Njoo upambane kianaume uone maana ya mtu kuitwa chuma Magufuli.
 
Safari hi CDM hawaokoti dodo chini ya mnazi
 
Hongereni chadema fomu shilingi ngapi ya kugombea uraisi Hamjaweka Bei? CCM huwa tunaweka wazi
 
Hongereni japo mmebanwa sana mbavu na vyombo vya dola.Kule ccm marufuku mwanaccm kugusa fomu ya urais.ukigusa tu unafukuzwa.polepole anasema tayari ana mgombea wake tayari
 
Pamoja na hilo Chadema inakaribisha mazungumzo na majadiliano kutoka vyama vingine hali ni mbaya.
Atimae chadema imeomba (poo)msaada kwa vyama vingine
Wamejikuta wamesuswa na vyama vyote vya upinzani utapeli haulipi walipoingia Ukawa vyama vingine ilibifi chadema iwe lovely to other parties lakini wakivyojiona wamepata wabunge wengi na uongozi wa KUB bungeni wakaota jeuri wanafiki wakubwa hawapati chama . Chadema is a no party material kwa Sasa!! Duni Haji alipowaambia chadema kila mtu ana ndevu hawakuelewa Mimi nilimwelewa.Wangem handle vizuri Baada ya mgogoro CUF wapemba wote wangejiunga chadema wasingeenda ACT wazalendo na hiyo ingeijenga chadema zaidi bara na visiwani

Mbowe na genge lake hawana long term Vision.Sasa hivi wamechelewa wapambane na hali Yao wakidhani kupata wabunge na madiwani wengi na ruzuku kubwa kuliko vyama vingine vya upinzani wao ndio super kwa utapeli wao imekula kwao
 
Mpaka saizi bado mnapambana kuitoa ccm madarakani badala ya kupambana na kutoa ujinga na umasikini kwa watu unaofanya ccm waendelee kubaki madarakani.

Kuitoa ccm bila mipango madhubuti na mikakati ya muda mrefu, ni kujidanganya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…