Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) katika taarifa yake iliyosainiwa na Mkuu wa kitengo chake cha habari , Tumaini Makene , imeipongeza Timu ya Taifa kwa Ushindi mnono dhidi ya Uganda na hivyo kufuzu kwa Michuano hiyo ambayo mara ya mwisho kushiriki ilikuwa 1980
Pongezi za Chadema zimeelekezwa kwa wachezaji , benchi la ufundi na washangiliaji waliojituma bila kuchoka ili kuipa hamasa timu yao .