Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
matapeli nyie mnataka muanze biashara ya Sare tena Nawaambieni watu hawatapeliwi tena Chadema is gone limebaki jina tu shida ni kuwa na kiongoji katili jizi jambazi na tapeli Mr Zero brain i can't breathe Nkyyaaa MbooyeMimi ntavaa gwanda zangu nyeusi zile!
Nyie hamuhusiki, yenu mafuta huko Kisongo!Nyie wenzetu medula imecheza? Tukishavaa?
Jamaa ameamua kuanza kuuza bidhaa sasa kwa kutumia mgongo wa oparesheni okoa chama!! ha ha ha ha ama kweli wajinga ndio waliwao!Nyie wenzetu medula imecheza? Tukishavaa?
Nyani Ngabu sio busara kutukana watu eti Wana upumbavu huo sio ustalabu.Pia kumbukeni kuwa na vyama vingi ndo uhai wa nchi .[emoji23][emoji23]
Makamanda mna upumbavu sana aisee.
Masukuma gang mna utopolo sana!😂😂
Makamanda mna upumbavu sana aisee.
Wewe akili zako ni Kama za mwendazake ,subtype ya SABAYA, matusi kila ya kila aina, alafu wajiona mzima, utakufa KWA msongo wa mawazo kisa Chademamatapeli nyie mnataka muanze biashara ya Sare tena Nawaambieni watu hawatapeliwi tena Chadema is gone limebaki jina tu shida ni kuwa na kiongoji katili jizi jambazi na tapeli Mr Zero brain i can't breathe Nkyyaaa Mbooye
Kamanda utavaa gwanda Jumamosi? Ukivaa jipige selfie halafu uirushe hapa JF.Masukuma gang mna utopolo sana!
Hapana kamanda, tufanye sitavaa, kwa sababu kama nikiweka ushahidi hapa itakuwa ni kujianika na kuyafanya mateso ya Melo kuwa bure!! Ntavaa nyuma ya keabord!Kamanda utavaa gwanda Jumamosi? Ukivaa jipige selfie halafu uirushe hapa JF.
Sawa kamanda?
Hahahaha hahahaha [emoji23][emoji23] jiwe amesha kufa mbona hamuelewi nyie Mataga???matapeli nyie mnataka muanze biashara ya Sare tena Nawaambieni watu hawatapeliwi tena Chadema is gone limebaki jina tu shida ni kuwa na kiongoji katili jizi jambazi na tapeli Mr Zero brain i can't breathe Nkyyaaa Mbooye
Kisa ?Write your reply...nikimuona mtu kavaa nguo za chadema nampopoa na mawe
Kuvalishana hayo mavitu ni upumbavu mkubwa sana. Nlidhani mngesema ni siku ya watu kujadiliana madhaifu ya katiba ya sasa au kuelimishana mambo mbalimbali.Hili ndilo Tamko jipya la Chama hicho lililotolewa na Mwenyekiti wake Mwamba Freeman Mbowe akiwa kwenye mpango wa OPERESHENI HAKI inayoendelea mkoani Morogoro , lengo la Mkakati huu ni kuongeza uzalendo na kuihifadhi Chadema ndani ya vichwa vya wananchi ili kuhamasisha ukombozi
Kama ni Gwanda , M4C , Mwamba Tuvushe , Chadema Digital , kofia au Skafu uchaguzi utakuwa ni wako
Mwaka huu ndugu yangu watakupanda wengiHili ndilo Tamko jipya la Chama hicho lililotolewa na Mwenyekiti wake Mwamba Freeman Mbowe akiwa kwenye mpango wa OPERESHENI HAKI inayoendelea mkoani Morogoro , lengo la Mkakati huu ni kuongeza uzalendo na kuihifadhi Chadema ndani ya vichwa vya wananchi ili kuhamasisha ukombozi
Kama ni Gwanda , M4C , Mwamba Tuvushe , Chadema Digital , kofia au Skafu uchaguzi utakuwa ni wako
Kuwa mwangalifu na matusi , mimi natokea Tandika Mwembeyanga , huku kwetu matusi ni kama salamu tu , nikiamua kufunguka hapa utakimbia , halafu hii jf huwezi kujua nani ni nani kwa kuangalia Avatar tuMwaka huu ndugu yangu watakupanda wengi
Lazima mrukwe akili safari hiiUjinga mtupu.
Badala ya kuhubiri Tanzania ya viwanda wanahubiri kuvaa sare.!!! Shame
Sijawahi kutukana katika maisha yangu. Ila huwa nasema ukweli tu. Tusi si tusi hadi mtusiwa aone ni tusi.Kuwa mwangalifu na matusi , mimi natokea Tandika Mwembeyanga , huku kwetu matusi ni kama salamu tu , nikiamua kufunguka hapa utakimbia , halafu hii jf huwezi kujua nani ni nani kwa kuangalia Avatar tu