CHADEMA yaiteua siku ya Jumamosi kuwa siku ya wananchi kuvaa sare za chama hicho nchi nzima

Mbowe hawezi kuwaambia wananchi maana si kiongozi hata wa mtaa bali anawaambia misukule yake ya Chadema
 
Hatutakamatwa na polisi?
 
Baada ya ruzuku kukosekana, Kamanda Mbowe kabuni mradi wa kuuza t-shirt nchi nzima.

Kwa wazo hili sasa hivi atampiku Fred Vunja Bei.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…