Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Nimeshamwambia sana huyo Erythcryote kuna baadhi ya viongozi hawajielewi hasa wa Mkoa na wa jimbo la Kinondoni."KWA KUTUMIA AKILI KUBWA"
Kufanya mambo kwa "mazoea" hakuna nafasi tena.
Naomba unisome hapo juu, na kama hunielewi sema nieleze. CHADEMA ni muhimu wajifanyie 'soul searching', ya haraka.