Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
😆😆😆 Bila kujua wewe ndio umeandika MheshimiwaUmeandika vizuri Freeman Mbowe not Mhe Freeman Mbowe, tunasubiri kwa hamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆 Bila kujua wewe ndio umeandika MheshimiwaUmeandika vizuri Freeman Mbowe not Mhe Freeman Mbowe, tunasubiri kwa hamu
Mimi CHADEMA nawasupport lakini sipendi mjikweze sijui Mhe, ndugu au kamanda inamake sense sn😆😆😆 Bila kujua wewe ndio umeandika Mheshimiwa
Unamaanisha, "fujo ndizo zitakomboa taifa"?Maandamano yasiyo na kibali cha polisi ndio yatakayotukomboa watanzania.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Ushaambiwa usiondoke. Bakia hapaHaya sasa utulie upewe taarifa.
Anza weweMaandamano yasiyo na kibali cha polisi ndio yatakayotukomboa watanzania.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
View attachment 2925847
Hii ndio Taarifa Mpya iliyosambazwa kwa dharula na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutoka huko Mtwara .
Endelea kubakia hapahapa JF kwa taarifa kamili
06 March 2024
Mtwara, Tanzania
LIVE: CHADEMA WANAZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI
View: https://m.youtube.com/watch?v=ebhU2B_SCm4
Safi sana !
Hivi mkuu utajaribu tena kalata yako ya Kawe?Asante sana kwa taarifa hii muhimu , tunaisubiria kwa hamu hiyo taarifa.
P
WEHU NYIE HAMNA KAZI ZA KUFANYAView attachment 2925847
Hii ndio Taarifa Mpya iliyosambazwa kwa dharula na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutoka huko Mtwara .
Endelea kubakia hapahapa JF kwa taarifa kamili
========
Maandamano kufanyika kwenye makao makuu Nchi nzima , kuanzia tarehe 22 April hadi 30 Aprili .
Hii ni kwa sababu hizi hapa
View attachment 2926106
View attachment 2926125
Inatisha !Mpaka kijiji kwa kijiji .....
Taarifa za idadi ya watu husaidia katika mamlaka za wilaya katika utekelezaji wa mipango ya maendeleo ambayo huakisi matakwa ya watu katika ngazi husika na kusaidia kwenye uwiano wa mgawanyo wa rasilimali;Takwimu sahihi za Sensa zinahitajika kwa ajili ya ugawaji wa majimbo ya uchaguzi
DaaahTundu Lissu asisitiza Mabonde, milima hayapigi kura bali ni watu na kuwa kura moja ya Dar es Salaam iwe sawa na kura moja Bukoba, Mbeya n.k na kurejea takwimu za Tume ya Uchaguzi :
bali watu Mtwara wapiga kura 930,000 marimba 10, huku Dar es Salaam watu 3,000,000 majimbo 10, Mbeya 1,000,000 majimbo 7
Kutoka maktaba :
SENSA NA DEMOKRASIA
Taarifa za idadi ya watu husaidia katika mamlaka za wilaya katika utekelezaji wa mipango ya maendeleo ambayo huakisi matakwa ya watu katika ngazi husika na kusaidia kwenye uwiano wa mgawanyo wa rasilimali;
Taarifa za msingi za hali ya kidemografia, kijamii na kiuchumi za idadi ya watu na makazi za mipango katika ngazi zote;
Kigawio katika kukokotoa viashiria vingine mfano Pato la mtu mmoja mmoja, Pato la Taifa, Ajira na ukosefu wa Ajira na kiwango cha uandikishaji wa wanafunzi;
Taarifa itakayowezesha serikali kujua ongezeko la idadi ya watu, kwa mgawanyo na viashiria vingine, ambavyo ni muhimu kwa usimamizi wa mazingira; na
Msingi wa utawala bora na ujumuishaji wa demokrasia. Takwimu sahihi za Sensa zinahitajika kwa ajili ya ugawaji wa majimbo ya uchaguzi kwa ufanisi, kurekebisha mipaka ya kiutawala katika serikali za mitaa.
Source : Hii ndiyo tofauti ya Sensa ya 2022 na zilizopita
Tume ya Uhusiano na Uratibu Rasimu ya Warioba ililenga kuhakikisha ... Warioba alisema idadi ya wabunge isizidi 75, Bunge Maalum likasema..... soma zaidi : source : Hotuba ya Jaji Josefu Warioba kuhusu Rasimu ya Katiba ya Tanzania