Pre GE2025 CHADEMA yaitisha Mkutano na Waandishi wa Habari. Mbowe kuweka hadharani Azimio la Mtwara

Pre GE2025 CHADEMA yaitisha Mkutano na Waandishi wa Habari. Mbowe kuweka hadharani Azimio la Mtwara

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
""WAMEPEWA LIFT WANATAKA KUPIGA NA HORN""
°Watanzania sio wajinga kiasi hicho,
°Tumechoka watu ambao kila uchao, wamejawa na uchu, hawapendi kuona taifa likistawi, they are based unto nation negativities!..
How shits are them!?.
CCM, Chapa kazi, tatua kero za watanzania, it's a main key, that frustrate them.
°Umeme wa uhakika
°Maji ya uhakika
°Huduma za afya za uhakika
°masoko ya mazao ya uhakika
°Pembejeo kwa wakati,
~Hawana hoja ya msingi.
---AZIMIO UCHWARA - - -
Sisi tukisema siyo vya Uhakika wewe sema ni vya uhakika , halafu wananchi waamue
 
Sisi tukisema siyo vya Uhakika wewe sema ni vya uhakika , halafu wananchi waamue
Huu ujinga ukichekewa taifa litaharibika, nimepata tetesi na ccm nao wanataka kuandamana kuyapinga maandamano yenu, sasa huoni hii ni vurugu,
Maandamano yote yapigwe marufuku kwa vyama vyote, CCM NA CHADEMA!
-Kibaya zaidi na CCM wamepanga tarehe hiyo hiyo, sasa unfortunately yagongane, hapa ni maafa waziwazi,
Tufute maandamano kwa wakati huu kwa usalama na amani ya Taifa letu.
 
Tundu Lissu asisitiza Mabonde, milima hayapigi kura bali ni watu na kuwa kura moja ya Dar es Salaam iwe sawa na kura moja Bukoba, Mbeya n.k na kurejea takwimu za Tume ya Uchaguzi :

bali watu Mtwara wapiga kura 930,000 marimba 10, huku Dar es Salaam watu 3,000,000 majimbo 10, Mbeya 1,000,000 majimbo 7

Kutoka maktaba :

SENSA NA DEMOKRASIA

Taarifa za idadi ya watu husaidia katika mamlaka za wilaya katika utekelezaji wa mipango ya maendeleo ambayo huakisi matakwa ya watu katika ngazi husika na kusaidia kwenye uwiano wa mgawanyo wa rasilimali;

Taarifa za msingi za hali ya kidemografia, kijamii na kiuchumi za idadi ya watu na makazi za mipango katika ngazi zote;

Kigawio katika kukokotoa viashiria vingine mfano Pato la mtu mmoja mmoja, Pato la Taifa, Ajira na ukosefu wa Ajira na kiwango cha uandikishaji wa wanafunzi;

Taarifa itakayowezesha serikali kujua ongezeko la idadi ya watu, kwa mgawanyo na viashiria vingine, ambavyo ni muhimu kwa usimamizi wa mazingira; na

Msingi wa utawala bora na ujumuishaji wa demokrasia. Takwimu sahihi za Sensa zinahitajika kwa ajili ya ugawaji wa majimbo ya uchaguzi kwa ufanisi, kurekebisha mipaka ya kiutawala katika serikali za mitaa.

Source : Hii ndiyo tofauti ya Sensa ya 2022 na zilizopita
Kumbe Makonda alikuwa Sahihi Chadema wanataka majimbo yaongezwe
 
""WAMEPEWA LIFT WANATAKA KUPIGA NA HORN""
°Watanzania sio wajinga kiasi hicho,
°Tumechoka watu ambao kila uchao, wamejawa na uchu, hawapendi kuona taifa likistawi, they are based unto nation negativities!..
How shits are them!?.
CCM, Chapa kazi, tatua kero za watanzania, it's a main key, that frustrate them.
°Umeme wa uhakika
°Maji ya uhakika
°Huduma za afya za uhakika
°masoko ya mazao ya uhakika
°Pembejeo kwa wakati,
~Hawana hoja ya msingi.
---AZIMIO UCHWARA - - -
Miaka zaidi ya 60 ya uhuru,ni kero gani ambayo CCM imeitatua!!??

Njoo hapa Masasi uone hali ilivyo mbaya ya barabara tuu,kuongelea kimoja!

Zama za propaganda ya "Mwalimu" kujifungia ikulu na kuwaambia wananchi kutatokea hiki na kile zimepita.
 
No, sitajaribu tena kwasababu aliyepo unatosha, kipindi hiki kati ya sasa na uchaguzi wa 2025, najikita kwenye kupigania haki ya Mtanzania kugombea uongozi na sio sasa haki hiyo imeporwa!.
P
Mungu akubariki sana kwa kuwa na wazo hili.

Mimi nitakuwa wa kwanza kuwa mgombea binafsi ama mgombea wa "CCM" wakiruhusu kila mwanachama kugombea urais.
 
Kuwaagiza diaspora wafuasi wa Chadema Kufanya Maandamo huko waliko duniani maana yake ni nini?

Ni hilo tu

Mlale unono 😄🔥
 
Ndiyo hivyo hivyo ulivyoandika.

Lkn unajua madhara ya maandamano ya chadema ktk upatikanaji wa chochote kwenye bakuli analotembeza mama huko duniani?
 
Back
Top Bottom