Pre GE2025 CHADEMA yaitisha Mkutano na Waandishi wa Habari. Mbowe kuweka hadharani Azimio la Mtwara

Pre GE2025 CHADEMA yaitisha Mkutano na Waandishi wa Habari. Mbowe kuweka hadharani Azimio la Mtwara

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kumbe Makonda alikuwa Sahihi Chadema wanataka majimbo yaongezwe

Lissu hoja yake ni mfano ikubalike kwa Tanganyika majimbo bunge yalingane idadi ya watu, hiyo ndiyo itafanya kura kuwa una uzito unaolingana. Kwa maneno mengine mipaka ya eneo jimbo bunge linatakiwa kuwa na wapiga kura 300,000 haijalishi ukubwa wa eneo bali idadi ya binadamu.
 
Lissu hoja yake ni mfano ikubalike kwa Tanganyika majimbo bunge yalingane idadi ya watu, hiyo ndiyo itafanya kura kuwa una uzito unaolingana. Kwa maneno mengine mipaka ya eneo jimbo bunge linatakiwa kuwa na wapiga kura 300,000 haijalishi ukubwa wa eneo bali idadi ya binadamu.
Hakika
 
Mwanahistoria nguli Mohamed Said wa JamiiForums anatukumbusha - ''Zanzibar chini ya utawala Waingereza hapakuwa na wizi wa kura. ASP walikuwa wanashindwa kupitia gerrymandering. Huu ni ujanja katika kukata majimbo ya uchaguzi. gerund or present participle: gerrymandering manipulate the boundaries of (an electoral constituency) so as to favour one party or class "


Ramani ikionesha mikoa mipya ya Simiyu, Geita, Katavi, Njombe, Songwe na ule mpya unaopigiwa chapuo mkoa wa Chato uanzishwe.
1709776212679.png

Ni kweli kwa ajili ya kupeleka huduma karibu na wananchi au ni kwa ajili ya kujiongezea viti vya ubunge na nafasi zingine za kuendelea kutawala?

1709776243566.png



Gerrymandering ni kutengeneza mipaka ya majimbo bunge mengi lengo ili kuhakikishia kupata wabunge wengi na kushinda uchaguzi.

Gerrymandering is to manipulate district boundaries, for political advantage.
 
""WAMEPEWA LIFT WANATAKA KUPIGA NA HORN""
°Watanzania sio wajinga kiasi hicho,
°Tumechoka watu ambao kila uchao, wamejawa na uchu, hawapendi kuona taifa likistawi, they are based unto nation negativities!..
How shits are them!?.
CCM, Chapa kazi, tatua kero za watanzania, it's a main key, that frustrate them.
°Umeme wa uhakika
°Maji ya uhakika
°Huduma za afya za uhakika
°masoko ya mazao ya uhakika
°Pembejeo kwa wakati,
~Hawana hoja ya msingi.
---AZIMIO UCHWARA - - -
🤔
 
Huu ujinga ukichekewa taifa litaharibika, nimepata tetesi na ccm nao wanataka kuandamana kuyapinga maandamano yenu, sasa huoni hii ni vurugu,
Maandamano yote yapigwe marufuku kwa vyama vyote, CCM NA CHADEMA!
-Kibaya zaidi na CCM wamepanga tarehe hiyo hiyo, sasa unfortunately yagongane, hapa ni maafa waziwazi,
Tufute maandamano kwa wakati huu kwa usalama na amani ya Taifa letu.
Mkuu usichanganye mambo kati ya maandamano na vurugu. Maandamano yapo kikatiba tofauti na vurugu. Maandamano sio vurugu!

Kila mtanzania anahiki ya kuandamana ili mradi amefuata utaratibu.

CCM ina haki ya kuandamana hali kadhalika Chadema!
 
Mkuu huwa unapataje picha hasa ya mbele ya maandamano inayotumia kwenye habari yako bila kuwa mbele au kutangulia???
Mimi niliisha staafu active media siku nyingi toka mwaka 2020, tena siku naacha, nilitangaza rasmi na kuaga rasmi,
View: https://youtu.be/Qr6j25jFGyI?feature=shared

Hivyo siku hizi mimi sikai front, sasa huwa natuma tuu vijana fronti, na mimi kubaki nyuma yao.
P
 
Nadhani Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe angetupa " mkeka" mzima wa Maridhiano jinsi walivyobeti

Dunia ya Leo inaamini katika Mazungumzo siyo Nguvu na kama anabisha awaulize Israel wanawapataje Mateka wao kule Hamas

Mungu wa Mbinguni awabariki sana
 
Mbowe akubali amezeeka mikikiki mikiki ya siasa hawezi tena amwachie chama mwanae Rodney akiendeleze kutaka kuwaingiza wafuasi wako vichwa maji waingie msituni baada ya watanzania kupotezea maandamano na mikutano yenu hafanyi sawa ni ugaidi huo
 
nani kawaambia chadema kwamba maoni yao ndio maoni ya watanzania wengi? wasipandishe mabega hawa wahuni
 
Lissu hoja yake ni mfano ikubalike kwa Tanganyika majimbo bunge yalingane idadi ya watu, hiyo ndiyo itafanya kura kuwa una uzito unaolingana. Kwa maneno mengine mipaka ya eneo jimbo bunge linatakiwa kuwa na wapiga kura 300,000 haijalishi ukubwa wa eneo bali idadi ya binadamu.
Duh tofauti na Tz hii ishu ipo kwenye nchi ipi.?
 
Mkuu usichanganye mambo kati ya maandamano na vurugu. Maandamano yapo kikatiba tofauti na vurugu. Maandamano sio vurugu!

Kila mtanzania anahiki ya kuandamana ili mradi amefuata utaratibu.

CCM ina haki ya kuandamana hali kadhalika Chadema!
Unadhani nini kitatokea mahasimu hawa watakapo kutana? Obviously (GHASIA)
MARUFUKU KUFANYA MAANDAMANO KWA KIPINDI HIKI.
 
Mwanahistoria nguli Mohamed Said wa JamiiForums anatukumbusha - ''Zanzibar chini ya utawala Waingereza hapakuwa na wizi wa kura. ASP walikuwa wanashindwa kupitia gerrymandering. Huu ni ujanja katika kukata majimbo ya uchaguzi. gerund or present participle: gerrymandering manipulate the boundaries of (an electoral constituency) so as to favour one party or class "


Ramani ikionesha mikoa mipya ya Simiyu, Geita, Katavi, Njombe, Songwe na ule mpya unaopigiwa chapuo mkoa wa Chato uanzishwe.
View attachment 2926702
Ni kweli kwa ajili ya kupeleka huduma karibu na wananchi au ni kwa ajili ya kujiongezea viti vya ubunge na nafasi zingine za kuendelea kutawala?

View attachment 2926703


Gerrymandering ni kutengeneza mipaka ya majimbo bunge mengi lengo ili kuhakikishia kupata wabunge wengi na kushinda uchaguzi.

Gerrymandering is to manipulate district boundaries, for political advantage.
Aiseeeeee
 
No, sitajaribu tena kwasababu aliyepo unatosha, kipindi hiki kati ya sasa na uchaguzi wa 2025, najikita kwenye kupigania haki ya Mtanzania kugombea uongozi na sio sasa haki hiyo imeporwa!.
P
Sawa mkuu..ila kwa mtazamo wako wale wajumbe walitenda haki kwakifupi, The primary elections were free & fair??
 
Sawa mkuu..ila kwa mtazamo wako wale wajumbe walitenda haki kwakifupi, The primary elections were free & fair??
Primaries are free and fair kwa mujibu wa utamaduni uliozoeleka, lazima unyooshe mkono, utoe takrima ili ulambwe, mkono mtupu haulambwi!, mimi mkono wangu mfupi au ukiwa na mkono wa birika, unaambulia patupu!
P
 
Primaries are free and fair kwa mujibu wa utamaduni uliozoeleka, lazima unyooshe mkono, utoe takrima ili ulambwe, mkono mtupu haulambwi!, mimi mkono wangu mfupi au ukiwa na mkono wa birika, unaambulia patupu!
P
Sasa mkuu au sijakuelewa vizuri ...unamanisha ili ushinde chaguzi za primary our general election lazima utumie maburuguti ya pesa au bribery? Kama nikweli huwo utamaduni uliozoeleka huoni mda umefika kwa sasa tuoboleshe katiba ili haki zote ziheshimiwe jumla na electoral justice ⚖️ ??
 
Back
Top Bottom