Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #41
Sisi tukisema siyo vya Uhakika wewe sema ni vya uhakika , halafu wananchi waamue""WAMEPEWA LIFT WANATAKA KUPIGA NA HORN""
°Watanzania sio wajinga kiasi hicho,
°Tumechoka watu ambao kila uchao, wamejawa na uchu, hawapendi kuona taifa likistawi, they are based unto nation negativities!..
How shits are them!?.
CCM, Chapa kazi, tatua kero za watanzania, it's a main key, that frustrate them.
°Umeme wa uhakika
°Maji ya uhakika
°Huduma za afya za uhakika
°masoko ya mazao ya uhakika
°Pembejeo kwa wakati,
~Hawana hoja ya msingi.
---AZIMIO UCHWARA - - -
Maandamano kila mkoaWhat next?
Huu ujinga ukichekewa taifa litaharibika, nimepata tetesi na ccm nao wanataka kuandamana kuyapinga maandamano yenu, sasa huoni hii ni vurugu,Sisi tukisema siyo vya Uhakika wewe sema ni vya uhakika , halafu wananchi waamue
Mtanikumbuka 😂😂😂😂Huu ujinga ukichekewa taifa litaharibika, nimepata tetesi na ccm nao wanataka kuandamana kuyapinga maandamano yenu, sasa huoni hii ni vurugu,
😀awa ni maandamano yote yapigwe marufuku kwa vyama vyote, CCM NA CHADEMA!
Kumbe Makonda alikuwa Sahihi Chadema wanataka majimbo yaongezweTundu Lissu asisitiza Mabonde, milima hayapigi kura bali ni watu na kuwa kura moja ya Dar es Salaam iwe sawa na kura moja Bukoba, Mbeya n.k na kurejea takwimu za Tume ya Uchaguzi :
bali watu Mtwara wapiga kura 930,000 marimba 10, huku Dar es Salaam watu 3,000,000 majimbo 10, Mbeya 1,000,000 majimbo 7
Kutoka maktaba :
SENSA NA DEMOKRASIA
Taarifa za idadi ya watu husaidia katika mamlaka za wilaya katika utekelezaji wa mipango ya maendeleo ambayo huakisi matakwa ya watu katika ngazi husika na kusaidia kwenye uwiano wa mgawanyo wa rasilimali;
Taarifa za msingi za hali ya kidemografia, kijamii na kiuchumi za idadi ya watu na makazi za mipango katika ngazi zote;
Kigawio katika kukokotoa viashiria vingine mfano Pato la mtu mmoja mmoja, Pato la Taifa, Ajira na ukosefu wa Ajira na kiwango cha uandikishaji wa wanafunzi;
Taarifa itakayowezesha serikali kujua ongezeko la idadi ya watu, kwa mgawanyo na viashiria vingine, ambavyo ni muhimu kwa usimamizi wa mazingira; na
Msingi wa utawala bora na ujumuishaji wa demokrasia. Takwimu sahihi za Sensa zinahitajika kwa ajili ya ugawaji wa majimbo ya uchaguzi kwa ufanisi, kurekebisha mipaka ya kiutawala katika serikali za mitaa.
Source : Hii ndiyo tofauti ya Sensa ya 2022 na zilizopita
Nadhani wamesikiaMakada na chawa watakuwa makini kusikiliza Mbowe atasema nini kuliko kupiga kelele kuhusu ugumu wa maisha.
Mmeona ?Tuone
No, sitajaribu tena kwasababu aliyepo unatosha, kipindi hiki kati ya sasa na uchaguzi wa 2025, najikita kwenye kupigania haki ya Mtanzania kugombea uongozi na sio sasa haki hiyo imeporwa!.Hivi mkuu utajaribu tena kalata yako ya Kawe?
Miaka zaidi ya 60 ya uhuru,ni kero gani ambayo CCM imeitatua!!??""WAMEPEWA LIFT WANATAKA KUPIGA NA HORN""
°Watanzania sio wajinga kiasi hicho,
°Tumechoka watu ambao kila uchao, wamejawa na uchu, hawapendi kuona taifa likistawi, they are based unto nation negativities!..
How shits are them!?.
CCM, Chapa kazi, tatua kero za watanzania, it's a main key, that frustrate them.
°Umeme wa uhakika
°Maji ya uhakika
°Huduma za afya za uhakika
°masoko ya mazao ya uhakika
°Pembejeo kwa wakati,
~Hawana hoja ya msingi.
---AZIMIO UCHWARA - - -
Mungu akubariki sana kwa kuwa na wazo hili.No, sitajaribu tena kwasababu aliyepo unatosha, kipindi hiki kati ya sasa na uchaguzi wa 2025, najikita kwenye kupigania haki ya Mtanzania kugombea uongozi na sio sasa haki hiyo imeporwa!.
P
Karibu kwenye maandamanoNo, sitajaribu tena kwasababu aliyepo unatosha, kipindi hiki kati ya sasa na uchaguzi wa 2025, najikita kwenye kupigania haki ya Mtanzania kugombea uongozi na sio sasa haki hiyo imeporwa!.
P
😆😆😆😆Mungu akubariki sana kwa kuwa na wazo hili.
Mimi nitakuwa wa kwanza kuwa mgombea binafsi ama mgombea wa "CCM" wakiruhusu kila mwanachama kugombea urais.
Mimi huwa nashiriki sana maandamano yenu ila sikai mstari wa mbele.Karibu kwenye maandamano
Safi sana !Mimi huwa nashiriki sana maandamano yenu ila sikai mstari wa mbele.
P
06 March 2024Freeman Mbowe na Tundu Lissu wanajibu maswali ya waandishi toka Azam Media, Radio Maria, Chama cha Waandishi mkoa wa Mtwara n.k