LGE2024 CHADEMA yajipanga kuzuia watoto kupiga kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, wabaini madudu haya

LGE2024 CHADEMA yajipanga kuzuia watoto kupiga kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, wabaini madudu haya

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Katika maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, chama cha CHADEMA kimebaini udanganyifu katika mchakato wa uandikishaji wa wapiga kura. Mawakala wa chama hicho wamegundua kuwa kuna wanafunzi ambao wamejiandikisha ili kupiga kura, ingawa hawajafikisha umri wa miaka 18. Wanafunzi hawa wameripotiwa kupelekwa na walimu wao na katika vituo na walipoulizwa kuhusu umri wao, wengi walijibu kuwa wamezaliwa mwaka 2005 na 2006.


Akizungumza kuhusu hali hiyo, kiongozi wa CHADEMA amesema, "Tunawatahadharisha wazazi, watoto hawatapiga kura siku ya tarehe 27 Novemba. Kama chama, tumejiandaa kuwazuia watoto kupiga kura, kwani ni kinyume cha sheria."

Pia soma: LGE2024 - Special Thread: Hali ya Vituo vya Kujiandikisha kupiga Kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 kwa Picha na Video
 
Unashangaa kuwa haiwexekani watoto wote wakazaliwa mwaka unaofanana

Umri wa kuanza shule uko kisheria kwa hiyo kama walianza mwaka mmoja mfano wakiwa na miaka saba ni obvious miaka 18 watafika kwa pamoja unashangaa nini

Huna hoja
Unalazimisha jambo.Hivi hata kwa akili ya kitoto,ukiulizwa kama 1 na 12 zinafanana utajibu nini?
 
Katika maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, chama cha CHADEMA kimebaini udanganyifu katika mchakato wa uandikishaji wa wapiga kura. Mawakala wa chama hicho wamegundua kuwa kuna wanafunzi ambao wamejiandikisha ili kupiga kura, ingawa hawajafikisha umri wa miaka 18. Wanafunzi hawa wameripotiwa kupelekwa na walimu wao na katika vituo na walipoulizwa kuhusu umri wao, wengi walijibu kuwa wamezaliwa mwaka 2005 na 2006.

Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mrema ametoa kauli hiyo alipokuwa akizungumzia mchakato wa uandikishaji wa Wapiga Kura wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024 kuwa; "Tunawatahadharisha wazazi, watoto hawatapiga kura siku ya tarehe 27 Novemba. Kama chama, tumejiandaa kuwazuia watoto kupiga kura, kwani ni kinyume cha sheria."
Pia soma:LGE2024 - Special Thread: Hali ya Vituo vya Kujiandikisha kupiga Kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 kwa Picha na Video
 
Katika maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, chama cha CHADEMA kimebaini udanganyifu katika mchakato wa uandikishaji wa wapiga kura. Mawakala wa chama hicho wamegundua kuwa kuna wanafunzi ambao wamejiandikisha ili kupiga kura, ingawa hawajafikisha umri wa miaka 18. Wanafunzi hawa wameripotiwa kupelekwa na walimu wao na katika vituo na walipoulizwa kuhusu umri wao, wengi walijibu kuwa wamezaliwa mwaka 2005 na 2006.

Akizungumza kuhusu hali hiyo, kiongozi wa CHADEMA amesema, "Tunawatahadharisha wazazi, watoto hawatapiga kura siku ya tarehe 27 Novemba. Kama chama, tumejiandaa kuwazuia watoto kupiga kura, kwani ni kinyume cha sheria."
SI MSUBIRI KATIBA NA TUME MPYA YA UCHAGUZI MMEKUBALI KWANINI KUSHIRIKI ?
 
Katika maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, chama cha CHADEMA kimebaini udanganyifu katika mchakato wa uandikishaji wa wapiga kura. Mawakala wa chama hicho wamegundua kuwa kuna wanafunzi ambao wamejiandikisha ili kupiga kura, ingawa hawajafikisha umri wa miaka 18. Wanafunzi hawa wameripotiwa kupelekwa na walimu wao na katika vituo na walipoulizwa kuhusu umri wao, wengi walijibu kuwa wamezaliwa mwaka 2005 na 2006.

Akizungumza kuhusu hali hiyo, kiongozi wa CHADEMA amesema, "Tunawatahadharisha wazazi, watoto hawatapiga kura siku ya tarehe 27 Novemba. Kama chama, tumejiandaa kuwazuia watoto kupiga kura, kwani ni kinyume cha sheria."
Pia soma:LGE2024 - Special Thread: Hali ya Vituo vya Kujiandikisha kupiga Kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 kwa Picha na Video
Hawa siku zote ni sehemu ya mfumo unaotawala, wanaitumia siasa kama sehemu ya upigaji wa pesa nyingi.
 
Back
Top Bottom