LGE2024 CHADEMA yaomba michango kuzindua kampeni Nyamagana

LGE2024 CHADEMA yaomba michango kuzindua kampeni Nyamagana

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kazi kwenu wachangiaji mdai na risti!
Screenshot_20241120_174121_X.jpg
 
Wasaidiwe tu!
 

Attachments

  • 20241120_181849.jpg
    20241120_181849.jpg
    334.5 KB · Views: 5
Tia maji
 

Attachments

  • 20241120_181842.jpg
    20241120_181842.jpg
    397.5 KB · Views: 5
Dhofu lihali
 

Attachments

  • 20241120_181826.jpg
    20241120_181826.jpg
    501.3 KB · Views: 5
Wembe ni ule ule
 

Attachments

  • 20241120_173603.jpg
    20241120_173603.jpg
    538 KB · Views: 6
Wapinzani wataisoma namba
 

Attachments

  • 20241120_173559.jpg
    20241120_173559.jpg
    732.5 KB · Views: 4
Jabali la vyama africa na dunia!
 

Attachments

  • 20241120_173554.jpg
    20241120_173554.jpg
    683.8 KB · Views: 4
Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa John Pambalu amewaomba wananchi kuchangia fedha kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni Jimbo la Nyamagana Mwanza.

Chadema wazee wa michango halafu haijulikani inakwenda wapi msimu wa mavuno umeanza chama kinapenda sana michango.
Acha wivu,kwani hujui chama ni watu na watu ni chama.Wao sii kama nyie chama ni policcm na ccm ni policcm
 
Back
Top Bottom