Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Unasemaje?CCM haichangishi michango ya kidwanzi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasemaje?CCM haichangishi michango ya kidwanzi!
Saccos inataka kuzindua hakuna mafuta ya jenereta!Unasemaje?
Chama cha MichangoMwenyekiti wa BAVICHA Taifa John Pambalu amewaomba wananchi kuchangia fedha kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni Jimbo la Nyamagana Mwanza.
Chadema wazee wa michango halafu haijulikani inakwenda wapi msimu wa mavuno umeanza chama kinapenda sana michango.
Join the chain zilipotea bila maelezo!Chama cha Michango
Mtu mzima hovyooo! Mbona makanisa kila siku yanakusanya sadaka na warming hawalalamiki? Unalalamika wewe ambaye siyo muumini?Saccos inataka kuzindua hakuna mafuta ya jenereta!
Na ESCROW, TWEEN TOWER Je?Join the chain zilipotea bila maelezo!
Ruzuku hiyo ndiyo kazi yake!Mtu mzima hovyooo! Mbona makanisa kila siku yanakusanya sadaka na warming hawalalamiki? Unalalamika wewe ambaye siyo muumini?
Habari ni nini sasa hapo?
Hizo zote ulizo orodhesha umetangaziwa kuna uwazi je join the chain taarifa zake ziko wapi?Na ESCROW, TWEEN TOWER Je?
Balali alizikwa wapi?
Unashangaa kupotea kwa pesa za join the chain wakati kuna gavana wa ccm alipotea mzima kama Ben sanane na anzory gwanda.
Akili zipo mzee?
Unapanga matumizi ya kwenye nyumba ya mwenzio?Ruzuku hiyo ndiyo kazi yake!
Wewe ni CAG? Chadema hakuna wahasibu? Pesa za ruzuku za ccm nazo huwa zinatangazwa mitaani na kwenye mitandao ili wewe ujue zinatumikaje?Hizo zote ulizo orodhesha umetangaziwa kuna uwazi je join the chain taarifa zake ziko wapi?
Kunywa maji utulie saccos inatafuta michango kama ipo toa na kama roho inauma nimetoa habari ya saccos basi sitopandisha tena uzi kuihusu saccos mpaka unipe kibali katibu mkuu,!Unapanga matumizi ya kwenye nyumba ya mwenzio?
Yaani hukuwa na jambo la kulitolea taarifa kama habari hii kwako ndo bonge ya habari na ukaona ita hit
Mbona wananchi mitaani wanalipa kodi na wanachangia pesa za taka na sungusungu hujawahi sema na kushadadi kwakuwa siyo chadema???
Mbona tunalipa kodi lakini standing tunalipia vyooo?
Akili ndogo ni sumu ya mwili mkuu
Kwahiyo inaonekana jazba imepanda sana kwa kuwa tunataka kujua michango yetu inatumikaje!Wewe ni CAG? Chadema hakuna wahasibu? Pesa za ruzuku za ccm nazo huwa zinatangazwa mitaani na kwenye mitandao ili wewe ujue zinatumikaje?
Kichwa maji wewe. Hujui hata maana ya habari una puyanga tu.Kunywa maji utulie saccos inatafuta michango kama ipo toa na kama roho inauma nimetoa habari ya saccos basi sitopandisha tena uzi kuihusu saccos mpaka unipe kibali katibu mkuu,!
Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa John Pambalu amewaomba wananchi kuchangia fedha kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni Jimbo la Nyamagana Mwanza.
Chadema wazee wa michango halafu haijulikani inakwenda wapi msimu wa mavuno umeanza chama kinapenda sana michango.
Kaulize kwanza kanisani ndo umalizie kwenye vyama. Uanze na ccm utoe taarifa ya bashiru kwanza ile ya Magufuli kisha uje kwenye vyama. Itafaa zaidinuKwahiyo inaonekana jazba imepanda sana kwa kuwa tunataka kujua michango yetu inatumikaje!
Wenyewe wakikuusikia watakutafuna!Mbowe amecheleweshwa sana maendeleo ya chama .
Pumbavu sana
Kanisa gani?Kaulize kwanza kanisani ndo umalizie kwenye vyama. Uanze na ccm utoe taarifa ya bashiru kwanza ile ya Magufuli kisha uje kwenye vyama. Itafaa zaidinu
yaani uchangie mwenyekiti anayefanyia biashara chama?Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa John Pambalu amewaomba wananchi kuchangia fedha kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni Jimbo la Nyamagana Mwanza.
Chadema wazee wa michango halafu haijulikani inakwenda wapi msimu wa mavuno umeanza chama kinapenda sana michango.
Duuuh kumbe mambo yapo hivyo!yaani uchangie mwenyekiti anayefanyia biashara chama?