Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
RC, KKT, na yote ya Kroho ukianza na kiboko ya wachawi.Kanisa gani?
Kisha hoji pesa za mwenge wanazo changsha watumishi wakati mwengu una bajeti iliyopitishwa na bunge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RC, KKT, na yote ya Kroho ukianza na kiboko ya wachawi.Kanisa gani?
Ndiyo mama samiaNi muda wa Pumbulu kula hela za wajinga watakaochangia.. kweli nyumbu ni janga la kitaifa.
Unajua mengi sana lakini wananchi wanataka kujua pesa zao zinazochangishwa kupitia laini za simu ghafla tu saccos inaomba michango ya uzinduzi!RC, KKT, na yote ya Kroho ukianza na kiboko ya wachawi.
Kisha hoji pesa za mwenge wanazo changsha watumishi wakati mwengu una bajeti iliyopitishwa na bunge
Wewe usitoe. Hao wananchi watatoa. Ukienda kwenye maziko na kutoa lambilambi inaonekana usipopewa chakula huwa una lalamika sana wewe?Unajua mengi sana lakini wananchi wanataka kujua pesa zao zinazochangishwa kupitia laini za simu ghafla tu saccos inaomba michango ya uzinduzi!
Lissu analala kwenye mahoteli ya kifahari ulaya na marekani kwa kutumia fedha za chamaMwenyekiti wa BAVICHA Taifa John Pambalu amewaomba wananchi kuchangia fedha kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni Jimbo la Nyamagana Mwanza.
Chadema wazee wa michango halafu haijulikani inakwenda wapi msimu wa mavuno umeanza chama kinapenda sana michango.
Haziitwi lambi lambi=rambi rambi .zilijenga hospital je za join the chain zilofanya nini!Wewe usitoe. Hao wananchi watatoa. Ukienda kwenye maziko na kutoa lambilambi inaonekana usipopewa chakula huwa una lalamika sana wewe?
Zile pesa za tetemeko la kagera zilienda wapi? Na hao wananchi walipo lalamika walijibiwa nn?
Hatari sana hawa watu!Lissu analala kwenye mahoteli ya kifahari ulaya na marekani kwa kutumia fedha za chama
Kwani ni kazi ya chama cha upinzani kujenga hospitali? Hujui maana na dhima za vyama vya upinzani?Haziitwi lambi lambi=rambi rambi .zilijenga hospital je za join the chain zilofanya nini!
Mbona hata ccm wamewaandikia barua wadau kuwaomba michango!!!!Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa John Pambalu amewaomba wananchi kuchangia fedha kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni Jimbo la Nyamagana Mwanza.
Chadema wazee wa michango halafu haijulikani inakwenda wapi msimu wa mavuno umeanza chama kinapenda sana michango.
Lete hiyo barua!Mbona hata ccm wamewaandikia barua wadau kuwaomba michango!!!!
Hiyo ni kawaida sehemu zote.
Unaonyesha unavyopigia promo starehe yako tuzi yako!unagongwa wewe wameombwa wananchi Tena sio CHADEMA Wala ccm, mwanaccm bila haya kinakuuma nn
Sasa wewe upo ccm ila hujui ccm level ya kata na tawi wagombea wako dhofuli hali????Lete hiyo barua!
CCM haina michango ya kidwanzi mitandaoni!Sasa wewe upo ccm ila hujui ccm level ya kata na tawi wagombea wako dhofuli hali????
Naunga mkono.....Haya CHADEMA huwa wanafanya kazi ya kushindana kuchangisha pesa na kuomba michango kwa wananchi.ila huwezi kuwasikia wakitoa mrejesho wa kiasi gani wamekipata. Watanzania msithubutu kuwachangia maana hadi leo pesa za join the chain haijulikani zipo wapi.
Wewe so ndo Wala michangoTutachanga sana ,wewe inakuuma nini?
Tunakushukuru kwa kutufahamisha uwepo wa mchango huu maana wengine tusingejua. Ngoja niwarushia japo laki 1 hawa wapambania demokrasia na haki za raia.Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa John Pambalu amewaomba wananchi kuchangia fedha kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni Jimbo la Nyamagana Mwanza.
Chadema wazee wa michango halafu haijulikani inakwenda wapi msimu wa mavuno umeanza chama kinapenda sana michango.
itoe wapi watu wakuchangia labda hao wakwepa Kodi mnaowaandaagaCCM haina michango ya kidwanzi mitandaoni!