LGE2024 CHADEMA yaomba michango kuzindua kampeni Nyamagana

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Huyo kijana Pambalu anatukana watu ni maskini kila siku halafu maskini hao hao wamchangie? Hana akili!!!
 
Msima huu ungeuonyesha tarehe 23/9 wa tisa ningejua kweli una uchungu lakini hukusogeza hata kisigino unaonyesha ni wale wale kelele za bure kutumia vidole!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…