Toosweet
JF-Expert Member
- May 27, 2012
- 2,141
- 1,982
BittertabletKufika 2025 hakuna Chadema. Itabaki JF tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BittertabletKufika 2025 hakuna Chadema. Itabaki JF tu!
Asante sana mkuu kwa ufafanuzi na kutuondoa kwenye mtego wa kudanganywa na hawa wahamiaji haramu wa lumumbaMods rekebisheni heading. Bwana Chage Alex Chage ni mwanachama wa Nccr mageuzi, alihamia kwenye chama hicho akitokea chadema mwaka jana kabla ya uchaguzi mkuu. Aligbea ubunge kupitia Nccr mageuzi.
Corona inajuaNi kweli nchi inahitaji upinzani imara, lakini sio huu wa kipumbavu wa Chadema.
Mimi natoka Kiziba kule kwa akina nshomile pure. Kata moja na Balozi Liberatha Mulamula. Jirani na Kata anayotoka Mexence Melo!Mushuti wa Ngara
Kwani leo ipo! Ahahahahahahahah!!!Mwendazake aijitapa ataiua chadema 🤣🤣🤣
Tunahitaji upinzani imara, siyo huu wa sasa hivi ambao umejaa porojo bila hoja zozote za maana wala sera zinazowakilisha mahitaji yetu wananchiHivi nyie mabumunda ya ccm mnadhani nchi isipokuwa na upinzani imara,mambo yataenda?
Ipo kwako labdaJiwe aliishafariki ila legacy yake ipo Jana, leo na kesho! Kingine?
Ahahahahahahahahah! Always tablets are bitter, but I provide the sweet ones! Ahahahahahahahah!!!Bittertablet
Kwisha habari yako!Corona inajua
Fake news. Huyu hama hama alikuwa NCCR-Mageuzi baada ya kuhama Chadema mwaka jana
Inakuaje sasa mnaanzisha thread na kujadili kitu ambacho hakipo 🤣🤣🤣Kwani leo ipo! Ahahahahahahahah!!!
Ipo kwako, mtaani kwako, katani kwako, tarafani kwako, wilayani kwako, mkoani kwako, taifani kwako, Afrika na dunia nzima. Huna jinsi ya kuikwepa LEGACY YA JPM!!!!!Ipo kwako labda
Huu uzi nimeanzisha Mimi? Pumbavu!!Inakuaje sasa mnaanzisha thread na kujadili kitu ambacho hakipo 🤣🤣🤣
Umataga huwa ni unguruwe pori flani hivi.
Miaka 5 ndani ya Bunge na maslahi yake si haba!
Yote haya ila mkisikia tume huru, matumbo yanachafuka na kukimbilia msalani.
ndio nani huyo jamaa , mbona hatumjui , au ndio yaleyale kwamba ukitaka kutafuna hela ya ccm ni lazima ujifanye Chadema ?