CHADEMA yapata pigo, Chage Alex Chage ajiunga CCM

CHADEMA yapata pigo, Chage Alex Chage ajiunga CCM

Mpaka sasa mumetumia Dola TRA na Mabilioni ya hela za Walipakodi ili kuiuwa Chadema lakini wapi

Chadema is here to stay
jordansmoke.png
 
kunywa maji aliekua ananunua wapinzani hayupo tena hawa sjui watakua wamekuja kufanya nn uku
Bado watu wanahofu itachukua muda kidogo

Kama mnaona mnakubalika jipimeni na Chadema kwenye uwanja sawa hiyo tume ni joke

ufdup.png
 
Ndiyo nani huyo? Mwambieni aunge juhudi za moja kwa moja kwenda kuwa mpambe wa Jiwe kwenye kampeni za kuwania ukuu wa malaika. Mwenzenu kule anasafa analalamika mumeishia njiani kuunga mkono juhudi. Siyo poa mjue!
Wamemwachia JEHANAMU yote peke yake , kwa raha zake😂😂
 
Shaka nazidi kumtilia Mashaka!
Yaani haya maigizo anayaendeleza!
Huyo Chage ni nani?

Aje na mambo tofauti, Slowslow na Bashiru wana bahati, walipewa nafasi za kugonga meza, Shaka might not be so lucky kama mawazo yake ya kukirudisha chama kwa wananchi ni muendelezo wa komedi.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Acha kuposti Picha Ndugu iwapo CCM inakubalika kwanini isijipime nguvu kwenye Uwanja sawa inaogopa nini?

Jipimeni muone jinsi Watanzania wanavyowakubali na kama hawawakubali basi waacheni Chadema watuongoze

nguvu yenu ndo hio apo sasa
 
Eidha unajirusha fahamu au makusudi mbona mumefungia Mikutano ya Siasa za Majukwaani achieni muone

hata mkiachiwa mfanye siasa kila lisaa hakuna cha maaana mtakachoongea ni bora muendelee kukandamizwa tu mpaka mtakapokua na akili timam, yaliotokea kwa lowasa yasikuvuruge ukadhan ile ni nguvu ya chadema!
 
hata mkiachiwa mfanye siasa kila lisaa hakuna cha maaana
Sasa si bora tuachiwe tufanye siasa ili wananchi wakiona hatuna la maana wao ndio wenye kuamua na sio ccm

Ccm fanyeni Siasa hatukatai nasisi CHADEMA tuachiwe tufanye siasa halafu tuwaachie Wananchi ndio waamue
ufdup.png
Wananchi waamue
 
Back
Top Bottom