Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Ndio maana wanawakomalia akina Mdee baada ya kugundua wamewapiga bonge la bao!Kila mwanachadema anafanyia kazi maslahi yake binafsi kwa bidii
Mwenyekiti anafanyia maslahi yake ya kudumu
Tundu na lema wanafanyia maslahi yao ya kula bata ughaibuni
Tuwaache hawa na wafanye maslahi😅😅😅😅