Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Unajuwa tatizo lako kumbe ndo maana badala ya kujibu hoja unakimbilia kuattack wazazi.Hayo ndiyo madhara ya kuzaliwa kwenye mkesha wa mbio za mwenge
Mpendwa,Nawapongeza sana wale19
Chage alishatoka chadema siku nyingi sana kabla ya uchaguzi Mkuu akaamia Nccr mageuzi.mwezake mzurikwao akaenda ccm. Kwa hiyo kaenda ccm akitokea nccr siyo chadema.
Njaa hufisha na kuondoa hekima na busaraMiaka 5 ndani ya Bunge na maslahi yake si haba!
Kumbe mwanaharakati
Kamuulize Nduguyai atakupa taarifa za uhakika zaidiKwani leo ipo! Ahahahahahahahah!!!
Usisahau kuna walioisubiria hio nafasi anayo iacha kwa nguvu zote!Tuliza mshono we kibaraka wa Mbowe, Chadema inapukutika kama mahindi yanapukuchuliwa.
Mjumbe wa hamashauri kuu huko kwenu, Nduguyai, hapati hata lepe la usingizi kwa kuweweseka. Kapate ufafanuzi kwao?Sawa. Inajihusisha na nini dogo?
Chage ndio kirusi gani chage?! Pigo lisiwe covid19 wanaojulikana sembuse corona mmoja!
Wewe yaonekana ni wa aina ya akina Ole Sabaya, masalia ya mwendakuzimu. Usipoamua kukubakiana mwendo wa wakati na nyakati za MM, hauna muda utajinyonga kwa frustration.hata mkiachiwa mfanye siasa kila lisaa hakuna cha maaana mtakachoongea ni bora muendelee kukandamizwa tu mpaka mtakapokua na akili timam, yaliotokea kwa lowasa yasikuvuruge ukadhan ile ni nguvu ya chadema!
mbna magufuli alikua mpole tu, ingekua ni mm najenga fly over kama pale ubungo, wananchi waseme inawasaidia nyie muaze kuja kusema hazina kazina, pale darajani ungevuka kwa kadi ya uanachama tu!Wewe yaonekana ni wa aina ya akina Ole Sabaya, masalia ya mwendakuzimu. Usipoamua kukubakiana mwendo wa wakati na nyakati za MM, hauna muda utajinyonga kwa frustration.
Kumbe nyumbu ni watumwa wanauzwa Sasa mnunuzi keshanunua mwanachama mwingine.
Mngeweka na Bei ya kila mmoja iwe rahisi kuchagua mtumwa wa kununua.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Kwa mitazamo 'duni' ya kujitoa fahamu kama hiyo ndio wazidi kuthibitisha unavyofanana na Ole Sabaya,mbna magufuli alikua mpole tu, ingekua ni mm najenga fly over kama pale ubungo, wananchi waseme inawasaidia nyie muaze kuja kusema hazina kazina, pale darajani ungevuka kwa kadi ya uanachama tu!
Kwa mitazamo 'duni' ya kujitoa fahamu kama hiyo ndio wazidi kuthibitisha unavyofanana na Ole Sabaya,
Wakati wa mungu wa Burigi ungeweza kuzawadiwa japo kacheo ili ukaendeleze udhalimu, kama akina Makonda et al. Lakini Mungu mwenye upendo aliamua kuwaepusha watz na gharika ya ukandamizaji ambayo ingetujia kwenye mitano tena.
AMEN
Mpandisha uzi ni mpuuzi wa kiwango cha mwendazake
Ahahahahahah!!Wacha kujipamba wewe mushuti wa Rwanda
Kama unaamini Chadema bado iko hai, basi wewe ni bonge LA genius!!!Mwendazake Alipambana kwa kutumia Majeshi yote matokeo Chadema haikufa Akafa yeye
Utaendelea kusoma koments zangu hadi unastaafu pamoja na kupunguza umri!Lazima nawewe corona ikusombe