Elections 2010 CHADEMA Yapeta Mpanda mjini; Yarudisha majimbo yake yote except 1!!

Elections 2010 CHADEMA Yapeta Mpanda mjini; Yarudisha majimbo yake yote except 1!!

Matokeo ya awali Mpanda Mjini Said Arfi wa Chadema anaongoza vituo 27 kati ya 28 mpaka sasa

Katika vituo vingine na kura za wagombea katika mabano ni
Azimio 1, Chadema (124), CCM (23),
Azimio 2, Chadema (72), CCM (62),
Azimio 3 Chadema (88), CCM (49),
Azimio 4, Chadema (72), CCM (55),
Azimio 5, Chadema (72), CCM (62).

Katika kituo cha Paradise 1, Chadema (64), CCM (62),
Paradise 2, Chadema (94), CCM (55),
Paradise 3, Chadema (100), CCM (68),
Paradise 4, Chadema (94), CCM (63),
Majengo Chadema (73), CCM (65),
Makanyagio 1, Chadema (64), CCM (63),
Makanyagio 2, Chadema (86), CCM (59).
Makanyagio 3, Chadema (103), CCM (73),
Makanyagio 4, Chadema (92), CCM (64),
Makanyagio 5, Chadema (88), CCM (69),
Isikama 1, Chadema (90), CCM (67),
Isikama 2, Chadema (108), CCM (78),
Isikama 3, Chadema (90), CCM (73).

Ninaomba mtu anikumbushe majina ya majimbo yote ambako uchaguzi ulifanyika leo.
 
Jamani,

Mnakumbuka nimepiga kelele sana kwamba uzembe wetu ilikuwa ni kuacha Tume ijumlishe kura za kituo kwa kituo wakati na sisi tunajua hesabu hiyo ndogo.

Wa Ndima katuletea matokeo ya vituo na mimi nimeyapanga ndani ya worksheet hii ambayo tuliileta tuitume kwenye uchaguzi mkuu uliochakachuliwa.

Mwanajamvi Wa Ndima, vituo ulivyotutajia kura zake hapo juu vituo juu nimeviweka na viko 19 na inaonyesha kwamba CHADEMA wanaongoza kwa 1,574 wakati CCM wanazo 1,110.

Ambayo ni kwamba CHADEMA wanaongoza kwa asilimia 58.64 na CCM wana asilimia 41.36.

Kama jumla ya vituo ni 28 basi tuleteeni matokeo ya vilivyobaki tisa tuwaonyeshe kuwa tuko mbele kiteknology na hatuwasubiri watujumlishie.

Kama kuna majimbo mengine leteni pia tuyajumlishe.

Fungueni sheet hii niliyo-attch humu muone uhondo wa kujijulishia wenyewe.

Hi ni rasharasha. Mwaka 2015 hii sheet inabidi iatwanywe kwa watanzania wote ifikapo February 2015 na ijadiliwe ili kil ammoja mwaka ule ajue kila mtanzania anahitaji kujijumlishia mwenyewe na kazi yake itakuwa ni kut-type tu kwenye komputer na kuingiza jina la kituo na idadi ya kura.
 

Attachments

Matokeo wameshahesabu mara mbili, wana,alizia mara ya tatu chadema a aongoza kwa kura 150 zaidi tu. Lisiingizwe sanduku feki angalieni wana mageuzi


kwa nini warudie mara tatu? hawaamini kama wamepigwa chini?

jimbo letu jingine hilo tushahesabu
 
Safi safi sana chadema, umaliziaji mzuri ebu tupeni mbunge wa 46
 
Jamani,

Mnakumbuka nimepiga kelele sana kwamba uzembe wetu ilikuwa ni kuacha Tume ijumlishe kura za kituo kwa kituo wakati na sisi tunajua hesabu hiyo ndogo.

Wa Ndima katuletea matokeo ya vituo na mimi nimeyapanga ndani ya worksheet hii ambayo tuliileta tuitume kwenye uchaguzi mkuu uliochakachuliwa.

Mwanajamvi Wa Ndima, vituo ulivyotutajia kura zake hapo juu vituo juu nimeviweka na viko 19 na inaonyesha kwamba CHADEMA wanaongoza kwa 1,574 wakati CCM wanazo 1,110.

Ambayo ni kwamba CHADEMA wanaongoza kwa asilimia 58.64 na CCM wana asilimia 41.36.

Kama jumla ya vituo ni 28 basi tuleteeni matokeo ya vilivyobaki tisa tuwaonyeshe kuwa tuko mbele kiteknology na hatuwasubiri watujumlishie.

Kama kuna majimbo mengine leteni pia tuyajumlishe.

Fungueni sheet hii niliyo-attch humu muone uhondo wa kujijulishia wenyewe.

Hi ni rasharasha. Mwaka 2015 hii sheet inabidi iatwanywe kwa watanzania wote ifikapo February 2015 na ijadiliwe ili kil ammoja mwaka ule ajue kila mtanzania anahitaji kujijumlishia mwenyewe na kazi yake itakuwa ni kut-type tu kwenye komputer na kuingiza jina la kituo na idadi ya kura.

Asante sana "Nikupateje"...Hivyo ndio ilivyotakiwa kufanya katika kuhesabu kura za awali,maana Tume nao huja na hesabu zao za Uongo.Nakumbuka RO Geita alimtangaza Slaa mshindi kwa kura 22,000+ lakini Bwana Makame na NEC yake wakatangaza kuwa Dr.Slaa ameshinda kwa kura 3,700+ sasa unajiuliza wamepeleka wapi jumla ya kura 17,000 unashindwa kugundua.
Ni kura ulizoziorodhesha hapo ni wazi Mzee Said Amour Arfi anarudi Bungeni kuwawakilisha Wanachi wa Mpanda Mjini.
 
Jamani,

Mnakumbuka nimepiga kelele sana kwamba uzembe wetu ilikuwa ni kuacha Tume ijumlishe kura za kituo kwa kituo wakati na sisi tunajua hesabu hiyo ndogo.

Wa Ndima katuletea matokeo ya vituo na mimi nimeyapanga ndani ya worksheet hii ambayo tuliileta tuitume kwenye uchaguzi mkuu uliochakachuliwa.

Mwanajamvi Wa Ndima, vituo ulivyotutajia kura zake hapo juu vituo juu nimeviweka na viko 19 na inaonyesha kwamba CHADEMA wanaongoza kwa 1,574 wakati CCM wanazo 1,110.

Ambayo ni kwamba CHADEMA wanaongoza kwa asilimia 58.64 na CCM wana asilimia 41.36.

Kama jumla ya vituo ni 28 basi tuleteeni matokeo ya vilivyobaki tisa tuwaonyeshe kuwa tuko mbele kiteknology na hatuwasubiri watujumlishie.

Kama kuna majimbo mengine leteni pia tuyajumlishe.

Fungueni sheet hii niliyo-attch humu muone uhondo wa kujijulishia wenyewe.

Hi ni rasharasha. Mwaka 2015 hii sheet inabidi iatwanywe kwa watanzania wote ifikapo February 2015 na ijadiliwe ili kil ammoja mwaka ule ajue kila mtanzania anahitaji kujijumlishia mwenyewe na kazi yake itakuwa ni kut-type tu kwenye komputer na kuingiza jina la kituo na idadi ya kura.

Safi sana, hii inafaa kutumiwa na kila mtu mwaka 2015
 
Taarifa nilizozipokea sasa hivi kutoka kwa Mhe Zitto aliyepo huko Mpanda Mjini ni kwamba CHADEMA wameshinda kwa tofauti ya kura 607 kwa majumuisho ya kura kutoka katika vituo. Kinachosubiriwa ni msimamizi kutangaza matokeo na kwa uzoefu kutoka uchaguzi uliopita hapo ndipo songombingo ilipo!
 
Taarifa nilizozipokea sasa hivi kutoka kwa Mhe Zitto aliyepo huko Mpanda Mjini ni kwamba CHADEMA wameshinda kwa tofauti ya kura 607 kwa majumuisho ya kura kutoka katika vituo. Kinachosubiriwa ni msimamizi kutangaza matokeo na kwa uzoefu kutoka uchaguzi uliopita hapo ndipo songombingo ilipo!

Safi sana, tusubiri tuone watakavyotangazo ilhali matokeo tunayo vibindoni
 
Asante sana.

Pasco. tuko interested kuona ni nini itakuwa outcome ya analysis yako uliyoitoa. Bado tunaikumbuka. Tukumbushane hapa chini:

Salaam wanabodi,
Uchaguzi wa marudio katika majimbo 7 yaliyobakia unafanyika Jumapili hii, ambapo Chadema iko kwenye hatihati ya kulipoteza jimbo la Mpanda Kati kwa CCM, wakati CUF itajivunia majimbo mengine 3 ya Wete ambalo ni lao, lakini pia watavuna jimbo la Magogoni na Mtoni.

Hii ni tathmini yangu ya hali halisi kwa mujibu wa matokeo ya kura za urais kama ifuatavyo...

Jimbo ................KIKWETE (CCM) ................Dr. SLAA (CHADEMA)............. Prof. LIPUMBA(CUF) ......Mshindi
Mpanda Urban 9,526 (57.11%) ....................6,523 (39.11%) ........................168 (1.01%) ......................CCM


Mpanda Rural 7,817 (62.87%) .....................3,669 (29.51%) ........................378 (3.04%) ......................CCM


Nkenge.......... 26,836 (63.78%) ..................13,593 (32.31%) .......................276 (0.66%) .....................CCM


Mwanakwerekwe 1,646 (51.23%) ...............32 (1.00%) ..............................1,416 (44.07%)................. CCM


Mtoni ................2,417 (37.74%) ................139 (2.17%) ............................3,492 (54.53%).................. CUF


Magogoni .........4,606 (46.93%) ..................94 (0.96%) .............................4,791 (48.82%).................. CUF


Wete.............. 1,293 (16.18%) ...................64 (0.80%) .............................6,354 (79.51%) ...................CUF

Namna pekee ya kulilinda jimbo la Mpanda Kati lisiangukie mikononi mwa CCM ni kwa wale walioko Mpanda kati na hayo majimbo mengine ya Mpanda Mjini na Nkenge, kupigiwa kwa nguvu zote lile tangazo la Utajiri wa Tanzania, kwa nini sisi ni masikini, na lile tangazo jingine la Tamwa la 'Dudu liumalo usilipe kidole', lisambazwe nyumba kwa nyumba, vinginevyo Uchaguzi huo, ni kuhalalisha tuu uchakachuaji uliokwishwa tendekeka.

Kwa upande wa CUF, ushindi ni dhashiri, kwa sababu ya tofauti kubwa kati ya mgombea wa CCM na yule wa CUF, hata wachakachue vipi, kura bado zinabaki za kutosha!.

Kwa wale wapenzi wa Chadema, naombeni sana, msinishambulie mimi, shumbulieni hoja niliyoiweka na data na sio kumshambulia mtoa hoja!.

Angalizo: Ushindi wa Chadema bado unawezekana, kama wananchi wa eneo hilo wanaweza kuwa wamempa kura nyingi JK kama rais wao, lakini wakanyima kura mbunge wa CCM au vise versa kama walivyofanya wapiga kura wa Bokoba Mjini, wamempa kura nyingi Dr. Slaa kwenye kura za urais, halafu wakanyima kura mgombea wa Chadema kwenye ubunge na bado wakampigia kura nyingi mgombea wa CCM!.

Nawasilisha.

Pasco.
 
kama bado vituo 9 tu mbona idadi ya watu ni dogo sana je ni kweli vituo viko 28 tu?
 
Taarifa nilizozipokea sasa hivi kutoka kwa Mhe Zitto aliyepo huko Mpanda Mjini ni kwamba CHADEMA wameshinda kwa tofauti ya kura 607 kwa majumuisho ya kura kutoka katika vituo. Kinachosubiriwa ni msimamizi kutangaza matokeo na kwa uzoefu kutoka uchaguzi uliopita hapo ndipo songombingo ilipo!


Kitila, tunashauri Ulinzi wa Kura kama ilivyofanyika Mwanza, Mbeya, Arusha, Kawe, Ubungo na Iringa.

Ikiwezekana Makamanda wakuu wa CHADEMA waende huko.

Ikumbukwe kuwa CHADEMA ikishinda na viti maalumu vitaongezeka kama niliwasikia Vema NEC.
 
Matokeo ya awali Mpanda Mjini Said Arfi wa Chadema anaongoza vituo 27 kati ya 28 mpaka sasa

Katika vituo vingine na kura za wagombea katika mabano ni
Azimio 1, Chadema (124), CCM (23),
Azimio 2, Chadema (72), CCM (62),
Azimio 3 Chadema (88), CCM (49),
Azimio 4, Chadema (72), CCM (55),
Azimio 5, Chadema (72), CCM (62).

Katika kituo cha Paradise 1, Chadema (64), CCM (62),
Paradise 2, Chadema (94), CCM (55),
Paradise 3, Chadema (100), CCM (68),
Paradise 4, Chadema (94), CCM (63),
Majengo Chadema (73), CCM (65),
Makanyagio 1, Chadema (64), CCM (63),
Makanyagio 2, Chadema (86), CCM (59).
Makanyagio 3, Chadema (103), CCM (73),
Makanyagio 4, Chadema (92), CCM (64),
Makanyagio 5, Chadema (88), CCM (69),
Isikama 1, Chadema (90), CCM (67),
Isikama 2, Chadema (108), CCM (78),
Isikama 3, Chadema (90), CCM (73).

mgombea wa chadema said amur arfi ameshinda na amemzidi mgombea wa ccm kwa kura 67 tu,na ameshatangazwa na tume na mpanda yote imelipuka kwa shangwe,niko mitaani hapa mjini mpanda ni shangwe na nderemo.
 
mgombea wa chadema said amur arfi ameshinda na amemzidi mgombea wa ccm kwa kura 67 tu,na ameshatangazwa na tume na mpanda yote imelipuka kwa shangwe,niko mitaani hapa mjini mpanda ni shangwe na nderemo.

Mwera hizo ni habari njema sana.

Na mimi napata kikombe cha kahawa hapa huku shemeji yenu akinichezea "Yori Yori"
 
Back
Top Bottom