mkuu samora mimi nipo mpanda kwasasa nafatilia hatua kwahatua ila kuna shangwe kubwasana watu wanashangilia ushindi ila tume wamegeuka wadai wanahesabu kura zakituo kimoja,wamesharudia zaid yamara 5 chadema wameshinda ila maraya6 eti wamehesabu eti mgombea wa chadema anaongoza kwa kura 40 badala yazile 67 wamekata 27,sasa nirasmi wanachakachua,nakuna jamaayangu kigogo 1 kaniibia siri wanasema iwe isiwe watamtangaza ccm ameshinda,yaani niutata mtupu,napenda kukwambia kua sasa rasmi wanachakachua matokeo,tusubir tuone itakuaje,ila kwamahesabu yavituoni chadema wameshinda,nahic yatakua kama yale yazenj cuf matokeo yavituoni wanashinda lakin matangazo yatume wanatangaza watu wao wa ccm