I wish uchaguzi ungekuwa unafanyika mkoa kwa mkoa na kwa awamu
mm nipo kawajense ila kuna habar zakutatanisha sasa eti tume inadai ilitaka kutangaza kabla yakutangaza wafuas wa chadema wakaanza kushangilia kwasabab kilakitu kikowazi chademawameshinda kwakura 67,sasa wamemvuta ndani arfi wa chadema ambae ameshinda wanasema wanachek mahesab yakituo kimoja,kwakweli nimkanganyiko mkubwa sanahapa mpanda watu wako mitaani wanashangilia huku tume imezua lake jambo lingine,hapa sasa wanataka kuchakachua,ila nahic wakimtangaza wa ccm itakua balaa,watu wanahesabu yakura zakituo kwakituo arfi ameshinda kwakura 67,kama upo hapa mpanda pita uone matokeo yaliyobandikwa vituoni utaona kama chadema wameshinda,lakin mmmhhh!
confirmed chadema imeshinda sumbawanga mjini, nimeongea na reliable source bravo chadema:israel:
mkuu samora mimi nipo mpanda kwasasa nafatilia hatua kwahatua ila kuna shangwe kubwasana watu wanashangilia ushindi ila tume wamegeuka wadai wanahesabu kura zakituo kimoja,wamesharudia zaid yamara 5 chadema wameshinda ila maraya6 eti wamehesabu eti mgombea wa chadema anaongoza kwa kura 40 badala yazile 67 wamekata 27,sasa nirasmi wanachakachua,nakuna jamaayangu kigogo 1 kaniibia siri wanasema iwe isiwe watamtangaza ccm ameshinda,yaani niutata mtupu,napenda kukwambia kua sasa rasmi wanachakachua matokeo,tusubir tuone itakuaje,ila kwamahesabu yavituoni chadema wameshinda,nahic yatakua kama yale yazenj cuf matokeo yavituoni wanashinda lakin matangazo yatume wanatangaza watu wao wa ccmhii ndio kitu nakataa kila siku kwa nini chadema ikishinda kunakua na mizengwe mingi katika suala zima la kumtangaza mshindi halali?
kama wananchi wameamua wao ni nani kupingana na maamuzi ya wananchi?
mkuu samora mimi nipo mpanda kwasasa nafatilia hatua kwahatua ila kuna shangwe kubwasana watu wanashangilia ushindi ila tume wamegeuka wadai wanahesabu kura zakituo kimoja,wamesharudia zaid yamara 5 chadema wameshinda ila maraya6 eti wamehesabu eti mgombea wa chadema anaongoza kwa kura 40 badala yazile 67 wamekata 27,sasa nirasmi wanachakachua,nakuna jamaayangu kigogo 1 kaniibia siri wanasema iwe isiwe watamtangaza ccm ameshinda,yaani niutata mtupu,napenda kukwambia kua sasa rasmi wanachakachua matokeo,tusubir tuone itakuaje,ila kwamahesabu yavituoni chadema wameshinda,nahic yatakua kama yale yazenj cuf matokeo yavituoni wanashinda lakin matangazo yatume wanatangaza watu wao wa ccm
Bulunga umepost haraka hapa halafu unapotea ghafla, tafadhali jibu swali la mwanajamvi hapa, najua umekosea ukaandika sumbawanga mjini badala ya mpanda mjini.confirmed chadema imeshinda sumbawanga mjini, nimeongea na reliable source bravo chadema:israel:
said arfi ni mtanzania mwarabu mwenye asili yaoman,amezaliwa mpanda amekulia mpanda ila ni mwenye asili yakiarabu toka omanGood news! Arfi ni mwarabu/mhindi? - just curious.. Ingependeza kama angepatikana angalau mbunge mwarabu/mhindi.
source? statistics? kama ni kweli basi ni faraja sanaconfirmed chadema imeshinda sumbawanga mjini, nimeongea na reliable source bravo chadema:israel:
Acheni kurupuka mbona hivyo,mpanda aliyeshinda ni ccm
:yield:Sumbawanga Mjini au Mpanda Mjini?
sorry wadau ni mpanda mjini, :bowl:
sorry wadau ni mpanda mjini, :bowl:
Ndugu mbona unatuchanganya? nilidhani ile habari uliyoandika mwanzo ni confirmed na kwamba ni matokeo toka tume ya uchaguzi? tafadhali tunakuomba ufuatilie kwani wewe upo huko najaribu kwapigia watu huko sipati mawasiliano. Isije tokea kama sumbawanga mjini
Please try to look for official info