CHADEMA yapoteza ushawishi mitaani. Sare zake hazivaliki

 
Hata wewe mwenyewe humu jukwaani huna ushawishi wowote ule! Zaidi unaonekana tu kama bongotole fulani hivi asiye jielewa.
 
Umekula uyoga Nini ukaona uje kuhalisha Huku makamanda tupo Tena tupo imala kuliko Jana kama tuliweza kivuka kipindi Cha mwenda zake Huku na marisasi yalikuwepo Leo hii tunaogopa Nini Sasa ? Kwanza yapaswa ifulahie uwepo wa chama hiki Chadema sababu bila Chadema hakina na wewe ajira huna mbwiga wewe
 
Nani kakudanganya mbona Mimi Bado navaa gwanda?na Bado Kuna wanachama wengi tu tofauti na fikra zako,
Jitekenye Basi ufurahi
Labda Kama unavaa wakati wa kwenda kulala Ila huku mitaani Hakuna sare za chadema huku
 
Hata wewe mwenyewe humu jukwaani huna ushawishi wowote ule! Zaidi unaonekana tu kama bongotole fulani hivi asiye jielewa.
Nashukuru Kama umekubali kuwa nipo sahihi kuhusu Chadema kupoteza ushawishi wake mitaani na kubakiwa na wababaishaji waliojaa mihemuko tu
 
Hakuna chadema huku mitaani, Ni Kama magwanda yote yalishachanika na kutupwa jalalani maana hayaonekani kabisa mitaani baadaa ya kuwa chama limekosa mvuto wa kisera kwa watanzania
 
Mama anatakiwa alete katiba mpyaa tuu,na si vinginevyo,hatakuja tokea rais kama kikwete duniani
Kuhusu katiba mpya Nazani unajuwa hatua tuliyofikia kwa Sasa, ngoja serikali yetu pendwa ipitie maoni na mapendekezo ya kikosi kazi
 
Nani avae sare zenye nuksi, zenye laana damu zawatu yaani kama lema anadai nipo kwa ajili ya wananchi wanafungwa wote halafu yeye anatolewa na chama na wanawaacha wafuasi wao ndani .

Kimya , nani ashangilie chama ambacho viongozi wanafungwa fungwa hovyoo huo ni uchuro uchivu bora ubaki njia kuu penda usipende
 
Umeme tokea nchi ianze tunashida nayo acheni samia wawatu this isn enough mh. Wawatu ajiwekee sawa amalize miaka yake kumi achana na hawa ni wanadamu
 
Kuhusu katiba mpya Nazani unajuwa hatua tuliyofikia kwa Sasa, ngoja serikali yetu pendwa ipitie maoni na mapendekezo ya kikosi kazi
Sisi kama Chadema tutaenderea kuwapambania machawa kama nyinyi Hadi ukombozi wa pili Toka Kwa mkoloni mweusi CCM upatikane
 
Sisi kama Chadema tutaenderea kiwapambania machawa kama nyinyi Hadi ukombozi wa pili Toka Kwa mkoloni mweusi CCM upatikane
CCM ndio Tumaini la watanzania katika kuwaletea maendeleo, Ndio Sababu ya Kuendelea kupigiwa kura kila chaguzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…