Jingalao bwana. Badala ya kufurahia kuwa unaenda kuzoa viti vyote unatoa mapovu. Tangu lini ukaumizwa na Chadema kutoshiriki chaguzi?Nimeona taarifa ya Chadema ya kukacha uchaguzi wa madiwani 14 huku wakitoa sababu za miaka ya nyuma.
kwa maoni yangu huu ni uhuni na ukinyonga wa hali ya juu ambao unaondoa kabisa credibility ya chama hiki.
nilitegemea Chaddema ilipoingia maridhiano ilijua na ilijadili maswala kadhaa muhimu...leo hii kususia uchaguzi kwa sababu za miaka ya nyuma inaonesha uhuni na kukosa ukomavu wa kisiasa.
Kama hawajajiandaa na hawana uhakika wa kushinda waweke wazi na sio kujificha kwenye sababu zilizopitwa na nyakati.Jingalao bwana. Badala ya kufurahia kuwa unaenda kuzoa viti vyote unatoa mapovu. Tangu lini ukaumizwa na Chadema kutoshiriki chaguzi?
It will be a good move ili tupate Bunge lingine la Hovyo kupindukia.Hao sasa tunawajuwa, turufu yao ni vurugu za kijinga.
Wewe unanufaikaje na Chadema kushiriki uchaguzi hewa?Nimeona taarifa ya Chadema ya kukacha uchaguzi wa madiwani 14 huku wakitoa sababu za miaka ya nyuma.
kwa maoni yangu huu ni uhuni na ukinyonga wa hali ya juu ambao unaondoa kabisa credibility ya chama hiki.
nilitegemea Chaddema ilipoingia maridhiano ilijua na ilijadili maswala kadhaa muhimu...leo hii kususia uchaguzi kwa sababu za miaka ya nyuma inaonesha uhuni na kukosa ukomavu wa kisiasa.
Kabisa kama uchaguzi wa 2020 Chadema hawakujiandaa ndio maana wakapata Wabunge wa Covid 19Kama hawajajiandaa na hawana uhakika wa kushinda waweke wazi na sio kujificha kwenye sababu zilizopitwa na nyakati.
Nimeona taarifa ya Chadema ya kukacha uchaguzi wa madiwani 14 huku wakitoa sababu za miaka ya nyuma.
kwa maoni yangu huu ni uhuni na ukinyonga wa hali ya juu ambao unaondoa kabisa credibility ya chama hiki.
nilitegemea Chaddema ilipoingia maridhiano ilijua na ilijadili maswala kadhaa muhimu...leo hii kususia uchaguzi kwa sababu za miaka ya nyuma inaonesha uhuni na kukosa ukomavu wa kisiasa.
Hivi kweli Magufuli angekubali kusaini mikataba ya hovyo ya kuuza Bandari?Nimeona taarifa ya Chadema ya kukacha uchaguzi wa madiwani 14 huku wakitoa sababu za miaka ya nyuma.
kwa maoni yangu huu ni uhuni na ukinyonga wa hali ya juu ambao unaondoa kabisa credibility ya chama hiki.
nilitegemea Chaddema ilipoingia maridhiano ilijua na ilijadili maswala kadhaa muhimu...leo hii kususia uchaguzi kwa sababu za miaka ya nyuma inaonesha uhuni na kukosa ukomavu wa kisiasa.
Nasikia Maza kauza Bandari zote za Bara!Hao sasa tunawajuwa, turufu yao ni vurugu za kijinga.
Nimeona taarifa ya Chadema ya kukacha uchaguzi wa madiwani 14 huku wakitoa sababu za miaka ya nyuma.
kwa maoni yangu huu ni uhuni na ukinyonga wa hali ya juu ambao unaondoa kabisa credibility ya chama hiki.
nilitegemea Chaddema ilipoingia maridhiano ilijua na ilijadili maswala kadhaa muhimu...leo hii kususia uchaguzi kwa sababu za miaka ya nyuma inaonesha uhuni na kukosa ukomavu wa kisiasa.
Ujinga huo.Nasikia Maza kauza Bandari zote za Bara!
Wewe umetusaidia Nini ktk hili??Hakuna chama cha upizani Tanzania..kuna makampuni..Lema katulia kwenye hili swala la bandari ni ishara ya kulamba asali...wapo kimaslahi manyanga'u hawa.
.
Mbowe kaenda kutoa mlio mbali..mnafiki tu..njooni uwanjani musimame jukwaani mpinge swala la bandari
Ni kweli kwamba mama yetu hawezi kuiongoza nchi? Mfano hili la kuuza Bandari zote isipokuwa hizi za zenjUjinga huo.
Kwa mara ya kwanza toka uhuru tunaona mkataba ukiwekwa wazi bila mbambamba. Uliona kipengele kipi kimeongelea bandari kuuzwa?
Mama anaupiga mwingi.