Jingalao bwana. Badala ya kufurahia kuwa unaenda kuzoa viti vyote unatoa mapovu. Tangu lini ukaumizwa na Chadema kutoshiriki chaguzi?Nimeona taarifa ya Chadema ya kukacha uchaguzi wa madiwani 14 huku wakitoa sababu za miaka ya nyuma.
kwa maoni yangu huu ni uhuni na ukinyonga wa hali ya juu ambao unaondoa kabisa credibility ya chama hiki.
nilitegemea Chaddema ilipoingia maridhiano ilijua na ilijadili maswala kadhaa muhimu...leo hii kususia uchaguzi kwa sababu za miaka ya nyuma inaonesha uhuni na kukosa ukomavu wa kisiasa.