Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hili suala yafaa Lissu atusaidie kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama aheshimiwe Mama mwenye roho ya binaadamu mwenye moyo wa huruma sisi tuna muunga mkono kwa lutambua utu wake!Yani cdm ni mbuzi wa kafara!!😁😂
Mwigulu ana hesabiwa siku za uwaziri.Ngoja tusubiri na majibu kutoka kwa Mwigulu Nchemba.
hoja iliyo tolewa kistaarabu ndio hujibiwa kwa hoja kinyume chake utashughulikiwa kwa mujibu wa sheria.Angalau hawatopigwa risasi au kutekwa kwa kutoa tu hoja zao. Hoja inajibiwa kwa hoja
hongerenMama aheshimiwe Mama mwenye roho ya binaadamu mwenye moyo wa huruma sisi tuna muunga mkono kwa lutambua utu wake!
Ibara inazungumzia Rais akiwa nje ya nchi au akiwa amefariki au kupoteza sifa ya Urais?Kwani hawa wanaitambua hii serikali iliyopo madarakani mbona siwaelewi.
Ila katiba mbona imefuatwa au lazima tuyumbishe gari kwanza [emoji23][emoji23] hlf tuendeleeView attachment 1737654View attachment 1737657View attachment 1737655View attachment 1737656View attachment 1737658
Wewe ndio akili huna kabisa.hoja iliyo tolewa kistaarabu ndio hujibiwa kwa hoja kinyume chake utashughulikiwa kwa mujibu wa sheria.
Washaanza,yani hawa watu hawa![emoji2]Kwa hiyo Mama Samia hafuati katiba?
Mkuu CHADEMA wapo kikatiba?inaonekana chadema wanadhani ktk kipindi hiki chini Mhe. Rais Samia wanaweza kupenyeza ajenda zao na zikafaulu sijui!!!!
ni ngumu sana, labda kwanza waanze kujenga mahusiano mazuri na ushirikiano wa dhati vinginevyo watasubiria sana.
hakuna litakalo wezekana bila utii kwa mamlaka na unyenyekevu, vuruvuruu ndio inawa cost kila siku.
ndio maaana Hayati JPM aliwapotezea maaana aliamini kuwa hawana nia njema na serikali yake.
chadema mkitaka kweli kuijenga nchi yetu basi onyesheni utii na ushirikiano wa kujenga nchi, acheni malumbano yasiyo na tija. sote ni watanzania tuijenge nchi yetu kwa kutanguliza uzalendo mbele.
hakuna mshindi ktk kuijenga nchi bali kuna adui asiye itakia mema nchi yetu.
nchi ni yetu sote tuijenge nchi yetu sote kwa pamoja.
Dorothy Gwajima atoke tu😃
Mkuu CHADEMA wapo kikatiba?inaonekana chadema wanadhani ktk kipindi hiki chini Mhe. Rais Samia wanaweza kupenyeza ajenda zao na zikafaulu sijui!!!!
ni ngumu sana, labda kwanza waanze kujenga mahusiano mazuri na ushirikiano wa dhati vinginevyo watasubiria sana.
hakuna litakalo wezekana bila utii kwa mamlaka na unyenyekevu, vuruvuruu ndio inawa cost kila siku.
ndio maaana Hayati JPM aliwapotezea maaana aliamini kuwa hawana nia njema na serikali yake.
chadema mkitaka kweli kuijenga nchi yetu basi onyesheni utii na ushirikiano wa kujenga nchi, acheni malumbano yasiyo na tija. sote ni watanzania tuijenge nchi yetu kwa kutanguliza uzalendo mbele.
hakuna mshindi ktk kuijenga nchi bali kuna adui asiye itakia mema nchi yetu.
nchi ni yetu sote tuijenge nchi yetu sote kwa pamoja.
Mkuu CHADEMA wapo kikatiba?inaonekana chadema wanadhani ktk kipindi hiki chini Mhe. Rais Samia wanaweza kupenyeza ajenda zao na zikafaulu sijui!!!!
ni ngumu sana, labda kwanza waanze kujenga mahusiano mazuri na ushirikiano wa dhati vinginevyo watasubiria sana.
hakuna litakalo wezekana bila utii kwa mamlaka na unyenyekevu, vuruvuruu ndio inawa cost kila siku.
ndio maaana Hayati JPM aliwapotezea maaana aliamini kuwa hawana nia njema na serikali yake.
chadema mkitaka kweli kuijenga nchi yetu basi onyesheni utii na ushirikiano wa kujenga nchi, acheni malumbano yasiyo na tija. sote ni watanzania tuijenge nchi yetu kwa kutanguliza uzalendo mbele.
hakuna mshindi ktk kuijenga nchi bali kuna adui asiye itakia mema nchi yetu.
nchi ni yetu sote tuijenge nchi yetu sote kwa pamoja.
Akiwa amefariki au kukosa uwezo wa kuiongoza nchi halazimishwi kubadili baraza la mawaziri au teuzi ila kwa kutaka yeye au kwa katiba tuu yuko huru na sio lazima .Ibara inazungumzia Rais akiwa nje ya nchi au akiwa amefariki au kupoteza sifa ya Urais?
Na kupiga X kubwaaa taarifa hiyo ya chademaTena akisikia Chadema atakuja harakaharaka kukanusha
Kwani hawa wanaitambua hii serikali iliyopo madarakani mbona siwaelewi.
Ila katiba mbona imefuatwa au lazima tuyumbishe gari kwanza [emoji23][emoji23] hlf tuendeleeView attachment 1737654View attachment 1737657View attachment 1737655View attachment 1737656View attachment 1737658