Kwani hawa wanaitambua hii serikali iliyopo madarakani mbona siwaelewi.
Ila katiba mbona imefuatwa au lazima tuyumbishe gari kwanza [emoji23][emoji23] hlf tuendeleeView attachment 1737654View attachment 1737657View attachment 1737655View attachment 1737656View attachment 1737658
Kwa hiyo Mama Samia hafuati katiba?
Kwani hapa linazungumziwa suala gani?Katika suala gani?
Stupid argument, Katiba imeandikwa na Jaji Warioba na Piusi Msekwa wako hai. Wanaweza kishauri vizuri zaidi kuliko huyo Puffy KibarakaNadhani Lisu asaidie mawazo kuliweka sawa hili
Propaganda mpya za kijinga mnazotaka kuanzisha sijui kama zitaingia kichwani mwa huyu mama intelijent😂😂😂😂😂😂Chadema ni chama cha wachaga.
Siku hizi wameanzisha vita na kanda ya ziwa.
Zanzibar sasa wamepata nafasi... Ngoja ajaze ijumaa tu.. Siunajua walivyo wadini
inaonekana chadema wanadhani ktk kipindi hiki chini Mhe. Rais Samia wanaweza kupenyeza ajenda zao na zikafaulu sijui!!!!
ni ngumu sana, labda kwanza waanze kujenga mahusiano mazuri na ushirikiano wa dhati vinginevyo watasubiria sana.
hakuna litakalo wezekana bila utii kwa mamlaka na unyenyekevu, vuruvuruu ndio inawa cost kila siku.
ndio maaana Hayati JPM aliwapotezea maaana aliamini kuwa hawana nia njema na serikali yake.
chadema mkitaka kweli kuijenga nchi yetu basi onyesheni utii na ushirikiano wa kujenga nchi, acheni malumbano yasiyo na tija. sote ni watanzania tuijenge nchi yetu kwa kutanguliza uzalendo mbele.
hakuna mshindi ktk kuijenga nchi bali kuna adui asiye itakia mema nchi yetu.
nchi ni yetu sote tuijenge nchi yetu sote kwa pamoja.
Hii ndio serikali ya Kwanza ya kikatiba Toka vyama vingi vianze 1995 ...wote waliopita waliiba kuraKwani hawa wanaitambua hii serikali iliyopo madarakani mbona siwaelewi.
Ila katiba mbona imefuatwa au lazima tuyumbishe gari kwanza [emoji23][emoji23] hlf tuendeleeView attachment 1737654View attachment 1737657View attachment 1737655View attachment 1737656View attachment 1737658
Walioapa kwa JPM nj mawaziri tu? Vipi kuhusu mabalozi, wakuu wa mikoa?CHADEMA wako sahihi kwa 100 pc kulingana na Katiba ya JMT.
CCM wasipoangalia wataiingiza nchi kwene mgogoro mkubwa wa Kikatiba.
Kuna wana CCM wanataka kupotosha Katiba makusudi kulinda nyadhifa walizo apa kwa Marehemu...JPM!!!!
Nchi haiwexi kuongozwa na viapo vya Rais Hayati au mwenda zake. Mama Rais Samia angalia Katiba wasije makada wako wakakuingiza choo cha kiume!!!
Na wewe na Lissu sawa na BAK na MwamakulaNadhani Lisu asaidie mawazo kuliweka sawa hili
Weka japo kakifungu ka katibaSamia ni ccm anatekeleza ilani ya ccm chini ya mfumo unaosimamiwa na ccm
Ni wazi kuwa umeshafilisika hoja. Ambae alikuwa anapenda hoja mfu kama hizo nae tangu 17/3/2021 hayupo.Chadema ni chama cha wachaga.
Siku hizi wameanzisha vita na kanda ya ziwa.
Ni kipengele gani kwenye katiba kinasema avunje Baraza la mawaziri?Ni kweli katiba ifuatwe na kama samia anataka hao hao waendelee basi avunje baraza la mawaziri awateu tena wale wale na waape mbele yake...Hatuna shida na mtu sisi tuna shida na katiba maana akivunja katiba wazi wazi ni hatari.
Ni kipengele gani kwenye katiba kinasema avunje Baraza la mawaziri?